Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

Rais Samia: Nina taarifa ya kikao chao cha Arusha, wanapanga uhalifu, Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo

Inasikitisha sana kwamba Mheshimiwa Rais Samia anarudia makosa yale yale ya awali ambayo yalishusha mno hadhi ya Nchi yetu.

Kibaya zaidi Waliomdanganya Wakati ule ndio wale wale Wanaomdanganya leo, Sijui kwanini hajang'amua Uongo wao.

Ikulu ni mzigo - JK NYERERE
Na waliomdanganya na kusuka kesi ile ya kutunga ndiyo leo wanaongoza jeshi la polisi.
 
Amiri Jeshi Mkuu ameapa kuilinda na kuitetea URT, 1977.

Anazo clip zote za uhaini zilizo nyuma ya pazia.

Amiri Jeshi Mkuu ameongea huku mm nikiwa natetemeka .

Amiri Jeshi mkuu hajawahi kuongea vile tangu nimjue

Ameonea mnafanya mzaha na utani against her 4R

Sasa jichanganyeni tarehe 23 mnayotaka kuingia Barabarani

Hongera sana Amiri Jeshi Mkuu, sisi Vijana wako tunaokuunga mkono tuko tayr kwa maelekezo yako.

Wao wake zao wako Canada halaf wanataka kutuletea za kuleta, mipango michafu kabisa ilikuwa inasukwa, leo walijfanya wana kikao cha kamati kuu kumbe wap, uhaini mtupu
We jamaa huoni aibu ulisha Isha kwa gongo unatetemeka kwa shida zako
 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan Akifunga Mkutano Mkuu wa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Polisi kwa Mwaka 2024 na Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi Tanzania, Viwanja vya Jeshi la Polisi CCP Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba, 2024.

View attachment 3098792
View attachment 3098793
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki kwenye kilele cha Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Moshi Mkoani Kilimanjaro, leo tarehe 17 Septemba 2024.
View attachment 3098802
View attachment 3098805
View attachment 3098806
View attachment 3098807
Gwaride la heshima lililoandaliwa na Jeshi la Polisi Tanzania likipita mbele ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Dkt. Samia Suluhu Hassan kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi hilo yaliyofanyika katika Shule ya Polisi Tanzania (TPS), Moshi Mkoani Kilimanjaro tarehe 17 Septemba, 2024.

View attachment 3098810

View attachment 3098811
View attachment 3098812

View attachment 3098834
Rais #SamiaSuluhuHassan akizungumza katika Maadhimisho ya Miaka 60 ya Jeshi la Polisi yaliyofanyika katika Shule ya Polisi Moshi (TPS), amesema Serikali ina taarifa ya kikao cha chama cha Siasa anachodai kinalenga kufanya Siasa chonganishi na kuwa Serikali haitakubali hilo kwa kulinda Katiba na kuimarisha ulinzi wa maisha ya Watanzania.

Amesema “Kumepangwa kushusha moto hadi Samia aseme basi naondoka, hiyo Serikali au Serikali ya Samaki? Maana Samaki kadiri anavyokuwa mkubwa na akili inafanyaje? Serikali ya Tanzania haiondoshwi hivyo.”

Sasa ndo tunafumbuliwa macho, kuuuuuuuuuuuuuuumbe watu wanataka kufanya mabaya hili kusitulie siyo. Hapo lazima wapigwe pini hasa. Tumeshajiimarisha kimaisha hatutaki kurudi nyuma ata kwa dawa.
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika BWANA

Rais wetu kipenzi mimi sijamuelewa kabisa


Ndo kakemea au ndo katoa ruhusa ya kuendelea kutekwa na kuuwawa maana kasema kifo ni kifo tu

LONDON BOY
Mimi nimeelewa kuwa hao wanaotskwa na kuuwawa
Umemsikiliza Rais kweli? Amesema mambo hayo tangu day one na Leo pia.

Ila amesema haikubaliki kupangiana Cha kufanya kama kwamba Serikali haijui Cha Kufanya
Au hao ndiyo walipanga mipango Arusha hebu tusubiri picha la kihindi stering anafia kwenye maua
 
Inasikitisha sana kwamba Mheshimiwa Rais Samia anarudia makosa yale yale ya awali ambayo yalishusha mno hadhi ya Nchi yetu.

Kibaya zaidi Waliomdanganya Wakati ule ndio wale wale Wanaomdanganya leo, Sijui kwanini hajang'amua Uongo wao.

Ikulu ni mzigo - JK NYERERE
Wanamdanganya nini?
Kwanini msiwataje tu?

=====
Ukweli ni kwamba hizi vurugu mechi za Kisiasa huwa zinatokea wakati wa Chaguzi, kwanini?

Kwamba CHADEMA ikitengeneza haya mazingira, basi hili na lile likitokea basi serikali ilaumiwe tu... ianguke, halafu wao ndio washike Dola? Hapana.

Uzeni sera na sio kufanya siasa za uharakati, na kama mkishindwa, mjisajili tu kama NGO tu.
Aisee

CHADEMA katika ubora wao. Ni kuchafua hali ya kisiasa nchini.🤡

Hawachaguliki, sio 2024 na wala sio 2025.
 
Sasa ndo tunafumbuliwa macho, kuuuuuuuuuuuuuuumbe watu wanataka kufanya mabaya hili kusitulie siyo. Hapo lazima wapigwe pini hasa. Tumeshajiimarisha kimaisha hatutaki kurudi nyuma ata kwa dawa.
Unajiona kama umegundua jambo la maana kweli!
 
Huyo unayemwita Amri jshi mkuu na kumpigia saluti,

Sisi wananchi tumemwajiri, tunamlipa mshahara, na tumemtuma KAZI ya kufanya, na akienda kinyume tunamkosoa tutakavyo, na asiposikia, tunamuwajubisha kupitia Sanduku la kura.

Kila Mmoja afuate Katiba na Sheria za nchi.
Nitajie mara ya mwisho Rais wa nchi hii kawajibishwa kupitia sanduku la kura?
 
Nawashauri CHADEMA waachane na 'samia must go' hiyo septemba 23 maana watatembezewa kichapo 'heavy' mno
Mimi nawaamini Hamas tu. Licha ya Isreal kupewa silaha zote za dunia lkn jamaa wanapigania ardhi yao na heshima yao.
 
Chadema Kwa muda sasa wamejaribu kuiga Kenya kwenye slogan wakati wa maandamano Kwa mfano maisha magumu na sasa must go,polisi wa tz nao waige polisi wa Kenya baada ya maandamano jioni iwe hesabu ya 39 wafa Tena barabarani next maandamano 23 wafa
Wapuuzi sana hao
 
Amiri Jeshi Mkuu ameapa kuilinda na kuitetea URT, 1977.

Anazo clip zote za uhaini zilizo nyuma ya pazia.

Amiri Jeshi Mkuu ameongea huku mm nikiwa natetemeka .

Amiri Jeshi mkuu hajawahi kuongea vile tangu nimjue

Ameonea mnafanya mzaha na utani against her 4R

Sasa jichanganyeni tarehe 23 mnayotaka kuingia Barabarani

Hongera sana Amiri Jeshi Mkuu, sisi Vijana wako tunaokuunga mkono tuko tayr kwa maelekezo yako.

Wao wake zao wako Canada halaf wanataka kutuletea za kuleta, mipango michafu kabisa ilikuwa inasukwa, leo walijfanya wana kikao cha kamati kuu kumbe wap, uhaini mtupu
Yaan wewe kwa akili zako watu wapange uahaini kukiwa nabushahidi hadi leo wasitiwe nguvuni.
 
Wanamdanganya nini?
Kwanini msiwataje tu?

=====
Ukweli ni kwamba hizi vurugu mechi za Kisiasa huwa zinatokea wakati wa Chaguzi, kwanini?

Kwamba CHADEMA ikitengeneza haya mazingira, basi hili na lile likitokea basi serikali ilaumiwe tu... ianguke, halafu wao ndio washike Dola? Hapana.

Uzeni sera na sio kufanya siasa za uharakati, na kama mkishindwa, mjisajili tu kama NGO tu.
Aisee

CHADEMA katika ubora wao. Ni kuchafua hali ya kisiasa nchini.🤡

Hawachaguliki, sio 2024 na wala sio 2025.
Wakati Mbowe anapewa Ugaidi kulikuwa na Uchaguzi gani?
 
Back
Top Bottom