Sir robby
JF-Expert Member
- Jun 22, 2022
- 2,396
- 4,080
Labda Wafanya kazi wa Kenya au Afrika ya Kusini WAFANYAKAZI wa TANZANIA ni Wapiga kura Wazuri wa CcmWafanyakazi waende mahakamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda Wafanya kazi wa Kenya au Afrika ya Kusini WAFANYAKAZI wa TANZANIA ni Wapiga kura Wazuri wa CcmWafanyakazi waende mahakamani
Unaongea tu, unajua formula ya kikokotoo weww?? Hela iëiyoongezeka ni ndogo sana haifanani hata na uhalisia uliopo.. kikokotoo ni maumivu makubwa Kwa mfanyakaziNinachojua.
Take home imeshushwa ili kuongeza pensheni ya kila mwezi.
Zamani take home ilikuwa kubwa halafu pensheni ya kila mwezi ilikuwa ndogo sana.
Kitu kilicho waumiza baadhi ya wafanyakazi ambao humaliza take home yao haraka na kuteseka muda mrefu.
Wengine wanaibiwa au kuisha kwenye ujenzi na kujikuta wanashindwa kukabiliana na maisha.
Sasa hivi take home imeshushwa lakini pensheni ya kila mwezi imeongezwa kwa kiasi kikubwa sana ambacho mstaafu anaweza kukidhi mahitaji yake vizuri baada ya kustaafu kazi.
Labda ningeshauri mfanyalazi apewe uhuru wa kuchagua.
Achukue take home kubwa na alipwe pensheni kidogo au kinyume chake.
Akiondoe pamoja na waliokiweka ni kama kiliwekwa na mizimu maana binadamu wenye akili timamu hawezi kufanya ujinga huoJuzi hapa mbunge Heche kaeleza jinsi Wabunge wanavyopata lumpsum ya milioni 272 kwa kazi ya miaka Mitano. Wewe Rais hukatwi kodi katika mshahara wako na Ukistaafu unaendelea kupata 80% ya mshahara wa rais aliyeko madarakani na bado unaenda kupata mabenefit kibao ikiwemo kujengewa nyumba na Pensheni.
Rais hebu Muogope Mungu. Wafikirie watu wa chini. Kikokowa cha 33% ni dhulma kubwa, iondoe mara moja.
Umeongea point sana.Kuanza kupangia watu wazima namna ya kutumia pesa ni kujipa kazi nyingine, kwa nini wabunge nao wasipangiwe namna ya kutumia ile milioni 272, wawe wanawapa kidogo kidogo.......watu walipwe stahili zao matumizi mara zote ni swala binafsi.
Kwanza kitendo cha kukata pesa ya mfanyakazi na kuipeleka NSSF ni cha lazima. Kama kingekuwa cha hiari wachache wangekubali kukatwa au hakuna ambaye angekubali.Mtu mzima hutakiwi kumpangia matumizi ya pesa yake.
Wewe mpe pesa yake, atajijua mbele kwa mbele
Hawatakaa wafanye huu uamuzi hawa mabaradhuliKikotoo hakina faida yoyote kwa mfanyakazi aliyekatwa pesa zikatumika na mifuko jamii kufanyia biashara lakini lakini yeye anaambulia 1% riba kila mwisho wa mwaka kwa kiasi alichokiweka na inafanyiwa kazi riba hiyo kwa si zaidi ya miaka 10 ya utumishi hata kama kafanya zaidi ya hiyo.
Kikokotoo kiondolewe na mfanyakazi anapoacha kazi yake apewe pesa zake zote ili afanyie biashara au mradi atakaouanzisha mwenyewe sio kupangiwa haki yake namna atakavyoitumia.
Duh, kama hukubahatika kuweka kibanda wakati unafanya kazi, hapo lazima ukaishi kwa wanaoAliyekuwa karani wangu kakutana na 15M. Haamin macho yake!
Hatari sana. Na happy si uombe uwe ulipata wanaoemeweka. Wengine hiyo hiyo na wao wanaisubiri!Duh, kama hukubahatika kuweka kibanda wakati unafanya kazi, hapo lazima ukaishi kwa wanao
Labda Wafanya kazi wa Kenya au Afrika ya Kusini WAFANYAKAZI wa TANZANIA ni Wapiga kura Wazuri wa Ccm
Ulichoongea ni sahihi kabisa ila tatizo ni pale utakapo pewa take home kidogo na pensheni ya Kila mwezi isiweze kufanya jambo lolote zaidi ya kula na kuvaa. Mfanyajazi hawezi kufanya project km kujenga nyumba standard kwa kutegemea pesa ya Kila mwezi. Hilo liko wazi.Ninachojua.
Take home imeshushwa ili kuongeza pensheni ya kila mwezi.
Zamani take home ilikuwa kubwa halafu pensheni ya kila mwezi ilikuwa ndogo sana.
Kitu kilicho waumiza baadhi ya wafanyakazi ambao humaliza take home yao haraka na kuteseka muda mrefu.
Wengine wanaibiwa au kuisha kwenye ujenzi na kujikuta wanashindwa kukabiliana na maisha.
Sasa hivi take home imeshushwa lakini pensheni ya kila mwezi imeongezwa kwa kiasi kikubwa sana ambacho mstaafu anaweza kukidhi mahitaji yake vizuri baada ya kustaafu kazi.
Labda ningeshauri mfanyakazi apewe uhuru wa kuchagua.
Achukue take home kubwa na alipwe pensheni kidogo au kinyume chake.
Inategemea anafanya kazi na ana majukumu gani ya kifamilia. Hivi unajua kima Cha chini Cha mfanyajazi wa umma ni sh. Ngapi. We acha tu. Wafanyakazi kazi wanayo.Mfanyakazi wa Serikali kufanya kazi miaka zaidi ya 25 bila kujenga nyumba ya kuishi
ni poor planning na kushindwa uwajibikaji.
Nyumba sio lazima iwe ya vyumba kumi.
Kama mstaafu anategemea kununua kiwanja na kujenga nyumba kwa pesa za mafao ya kustaafu basi hapo amepotea njia, hata alipwe ngapi bado kuangamia kutakuwa pale pale.Mheshimiwa Rais.
Nakuandikia waraka maalum juu ya hali ya mfanyakazi, hususan anayestaafu.
Nataka nikueleze kuwa, hiki kikotowo ulichokiweka hakina masilahi kwa mfanyakazi anayestaafu. Kiufupi ni dhuluma ya wazi.
Hali ya maisha imekuwa ngumu, gharama za maisha zinazidi kupanda. Kiufupi , hii 33% lumpsum unayotoa kupitia kikotowo, haitoshi, haikidhi, na ni dhulma kubwa mno kwa mfanyakazi.
Ndugu Rais, Jasho la mtu halipaswi kupangiwa masharti magumu. Haiwezekani Mfanyakazi afanye kazi miaka 30 au 35 kisha aje akutane na vijisent vya milioni 50 kama mafao ya kustaafu. Hivi ni vihela vidogo sana na siku hizi havitoshi hata kununua kiwanja na hapohapo kujenga nyumba ya vyumba vitatu.
Ndugu Rais, Hicho chama unachokiongoza kina alama ya jembe na nyundo. Nyundo ikiwakilisha wafanyakazi. Haiwezekani serikali unayoiongoza ikawa ni ya kuwagandamiza wafanyakazi.
Juzi hapa mbunge Heche kaeleza jinsi Wabunge wanavyopata lumpsum ya milioni 272 kwa kazi ya miaka Mitano. Wewe Rais hukatwi kodi katika mshahara wako na Ukistaafu unaendelea kupata 80% ya mshahara wa rais aliyeko madarakani na bado unaenda kupata mabenefit kibao ikiwemo kujengewa nyumba na Pensheni.
Rais hebu Muogope Mungu. Wafikirie watu wa chini. Kikokowa cha 33% ni dhulma kubwa, iondoe mara moja.
Wako katika ujenzi wa Taifa
Missile of the Nation