Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawashauri waende na hapo Nzega DC wakamsweke ndani DED!
Hiyo Halmashauri inadaiwa na wastaafu wa toka 2019,mwajiri hapeleki michango PSSSF wanapata mafao pungufu.
Mleta mada hujui mkuu wa mkoa na wilaya ni akina nani
Hao kwanza ni viongozi wawakilishi wa Raisi kwenye maeneo yao Ni maamiri jeshi wa maeneo yao ndio maana hupigiwa saluti na vyombo vya ulinzi na usalama
Wao ndio viongozi wakuu wa kusimamia taasisi za serikali katika maeneo yao
Kuajiriwa Chuo kikuu cha Dar hakumfanyi yeye kuwa juu ya mkuu wa mkoa au wilaya yuko chini yao kama alivyo chini ya Raisi
Kama ambavyo mkuu wa UDSM yuko chini ya Raisi
Tuliza makalio hakuna unachojua, umeandika upupu. Huelewi ht RC ni nani. RC yuko kwa niaba ya Rais ktk eneo lake la utawala. Tuambie mipaka ya Rais? Anahitaji pongezi kubwa sana amani ingevunjika eneo lile ungeenda wewe? Ur empty headed
Hujaelewa, hicho chuo cha madini kipo eneo lao la kazi means Kiko Tabora. Fikiria kukitokea uvunjifu wa amani na hao wachimbaji wadogo wadogo wataita FFU wa UDSM?
Hii ni democratic country hayo mambo ya kikoloni yaliyorithiwa ni ya kufutilia mbali.Mleta mada hujui mkuu wa mkoa na wilaya ni akina nani
Hao kwanza ni viongozi wawakilishi wa Raisi kwenye maeneo yao Ni maamiri jeshi wa maeneo yao ndio maana hupigiwa saluti na vyombo vya ulinzi na usalama
Wao ndio viongozi wakuu wa kusimamia taasisi za serikali katika maeneo yao
Kuajiriwa Chuo kikuu cha Dar hakumfanyi yeye kuwa juu ya mkuu wa mkoa au wilaya yuko chini yao kama alivyo chini ya Raisi
Kama ambavyo mkuu wa UDSM yuko chini ya Raisi
Machawa na kupe wako empty headed😅😅😅😅Hujaelewa hoja iliyopo. Chuo kipo kwenye eneo la kiutawala la RC na DC. Na hao wawili ni wenyeviti wa kamati za ulinzi na usalama. Kwenye masuala ya usalama, ndio wahusika wakuu.
Lakini unatakiwa ujiulize, huyo mkuu wa chuo kushindwa kujibu swali, alikuwa anahatarisha usalama gani, kiasi kwamba asipowekwa ndani angesababisha maafa gani?
Wapo wanaosema kuwa mkuu huyo wa chuo alishindwa kujibu maswali ya mkuu wa mkoa kwa sababu alikuwa amelewa. Kama ni kweli alikuwa amelewa, tena muda wa kazi, ni kosa. Lakini mamlaka ya kumwajibisha kwa kosa hilo siyo RC au DC, na adhabu yake siyo kuwekwa lockup!!
Kama ni watu kuingia kuchimba madini ndani ya leseni ya chuo, kuna mamlaka nyingine pia inahusika, Tume ya madini. Tume ya madini ndiyo yenye mamlaka ya kusimamia sekta ya madini, na ndiyo yenye uwezo wa kumhoji mmiliki wa leseni ambaye ni UDSM, kama kuna ukiukaji wowote ya masharti ya leseni. Kama kuna uvamizi, na kunahitajika nguvu ya kuwaondoa wavamizi, ni mwenye leseni (ambaye ni chuo) au Tume ya madini ndio wanaowajibika kuomba nguvu za dola ili kuwaondoa kwa nguvu wavamizi.
Kama hukuzingatia hayo, na mwenye leseni hajalalamika, utakuwa na uhakika gani kuwa wanaochimba ni wavamizi? Je, UDSM, Tume ya Madini au Wizara ya Madini, waliwapelekea malalamiko RC na DC kuwa leseni yao imevamiwa au kuna uchimbaji haramu unaendekea kwenye leseni hiyo ya chuo?
Wakahojiane OFISINI.Hizi drama mbele ya kamera hazina afya.Ofisi ndio mahali pekee pa kujadiliana mkishindwana mnalimana barua.Huo ndio utaratibu.Hizi DRAMA za uongozi hazina afya acheni maigizo wananchi wanataka maendeleo sio MATAMASHA ya kutoana nishai.Wewe ndio limbukeni na mbumbumbu wa utawala. Yani mkuu wa wilaya aache kuhoji taasisi yeyote ya serikali iliyopo katika wilaya yake hivi una akili timamu kweli wewe? Unajua majukumu ya mkuu wa wilaya kikatiba.?
Ndio muanze kufata miongozo ya kiuongozi.Mtaendelea kudhalilishana mpaka lini vyeo vyenyewe leo upo kesho haupo.Kuna siku mtahitajiana kwanini muishi kwa mabavu na mabifu.Yule mkuu wa chuo alionyesha utovu wa nidhamu wa Hali ya juu sana Tena mbele ya halaiki.
Sijajua alipewaje kuwa mkuu wa chuo kwa nidhamu ile
Labda ni msanii😀RC wa Tabora anapenda kamera hatari
Tangu akiwa DC Misungwi ni kamera tuLabda ni msanii😀
Anatafuta kutoka huko mbwinde asogee mjini!!!
Watu wa uteuzi wamuone sasa kiu yake ya Kutaka kuonekana inaweza ikapungua.Tangu akiwa DC Misungwi ni kamera tu
Umechanganya Mambo. Huyo unayesema alikuwa njwii NI meneja wa GPSA.Mkuu wa chuo alikuwa "ndwii" yule hajitambui!
RC na DC wako Sahihi walikuwa wanatekeleza majukumu yao katika eneo lao la kazi!
Unakuwa kiongoz halafu huwaheshimu viongozi wa juu yako Sasa ww unakuwa kiongoz au takataka ndo maana tunapata mashaka aliteuliwaje mtu mwenye kibuli namna Ile kuwa mkuu wa chuoNdio muanze kufata miongozo ya kiuongozi.Mtaendelea kudhalilishana mpaka lini vyeo vyenyewe leo upo kesho haupo.Kuna siku mtahitajiana kwanini muishi kwa mabavu na mabifu.
Vyeo ni dhamani,viongozi wajifunze kujishusha kuna siku hata huyo Dc au RC WANANAWEZA KUWA ORDINARY CITIZEN MTAA UNAHITAJI UNYENYEKEVU HAKUNA WAKUMLETEA MABAVU HUKO.
Nyumbani ili familia iwe na utii na adabu inabidi baba, mama na watu wazima wengine wawe mfano bora kwa kila jambo.Tofauti na hapo watoto watakuwa viburi na watukutu.Adabu,utii na heshima vinaanzia juu kwenda chini.Unakuwa kiongoz halafu huwaheshimu viongozi wa juu yako Sasa ww unakuwa kiongoz au takataka ndo maana tunapata mashaka aliteuliwaje mtu mwenye kibuli namna Ile kuwa mkuu wa chuo