Abuu Dharr
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 2,911
- 3,016
HhhhhhMama Samia anaeleweka lakini haeleweki!
Umemaliza Chief......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HhhhhhMama Samia anaeleweka lakini haeleweki!
Wa hizo division wengi wanakuwa wameshachagua kada nyingine, kama ualimu, unesi, udaktari n.k.Na wao kwanini wawatake watu wenye division 4 pekee wakati wa division 1 na 2 na 3 wapo wengi?
My point is kuna factors nyingi sana zinaweza kuchangia mtu kupata division 0 or 4, mojawapo inaweza kuwa hiyo ya ubongo kutokuwa na uwezo, lakini zipo nyingine nyingi mnoo
Tumepigwa hapo...hamna rais humo.WE mama yetu mama wa ajabu. We concern yako ni gharama za serikali na si haki za watu? Very strange indeed. Mungu mbona unatuonea, tuonee huruma wewe.
Obvious mtu mwenye Div 1 kwanza hawazi kuwa polisi.....na ukweli ni kwamba mtu anaenda kuwa polisi baada ya kwamba amefeli hivyo hana option.Na wao kwanini wawatake watu wenye division 4 pekee wakati wa division 1 na 2 na 3 wapo wengi?
Kuna watu watakuwa fired mda si mrefu wewe subiri 🤣 🤣 🤣 ,Wamemdanganya Rais kwa maslahi yao binafsi,Kesi ya Mbowe kwa washauri wenye akili haikupaswa kufika hapo ilipoMaza kasoma mchezo juu ya kesi ya Mbowe inapoelekea, 'katonywa' .
Sisi tuna comment kilichowekwa hapa na sio kingine.Ni vyema kabla ya kuhukumu ungesikiliza hotuba yote, huyu John yeye kachomoa kakipande kadogo sana katika hili, Rais kaongea kirefu zaidi, nimemsikiliza mwanzo mwisho, ingia you tube ya tbc kuna hiyo hotuba yote, then utacomment ukiwa full informed
Ndio hana akili hata kidogo. Unatusumbua hapa na maswali ya kijinga. Nasoma comment za maana na wewe unakomaa kutetea division IV yako hapa. BangladeshHujajibu swali, mtu kupata div 4 maana yake hana akili?
Utaalamu mwingine walionao polisi ni kunyoa pank kichwani,ndo mambo wanayoyawezaNi lazima tukubali kama 90% ya jeshi letu la police na la ulinzi wakosa elimu, wakosa malezi, wahuni, wavuta bangi na majambazi yaliyojificha ndani ya uniform.
Hata ukiwaona wanavyo behave hata kwenye public huwezi kupingana na hoja yangu.
Sio kutakuwa na fisadi au mafisadi anayajengea mazingira ya kutolewaInatafutwa mbinu za mbowe kutolewa,
Mbona humwamini tena Rais yakheee 🤣 🤣 🤣Sio kutakuwa na fisadi au mafisadi anayajengea mazingira ya kutolewa
Tusikilizie
Hajui hata Rais wake alipata hiyo hiyo karibia na divisheni five kumbeReasoning yako ipo chini sana, kwa hiyo mtu kupata division 4 ina maana hana akili?
Wanabrand nchi na kutufungulia duniaIla Samia bwana,Ila kusafiri na kundi kubwa la watu si gharama kwa serikali.
Suluhisho: Katiba Mpya ambayo itarekebisha sheria na taratibu zote zilizopinda kwa kuwa katiba ndiyo shina la sheria zote.Rais Samia ameliagiza jeshi la polisi kuhakikisha linakamilisha upelelezi kwa haraka na kuwaachia huru watuhumiwa ambao kesi zao hazina mashiko.
Rais amesema hivi sasa idadi ya wafungwa inakaribiana kuwa sawa na idadi ya mahabusu.
Kadhalika Rais Samia amemtaka IGP Sirro kuhakikisha hawatumii mabavu bila tija na tabia ya mahabusu kufia rumande hayatoi picha nzuri kwa jeshi hilo.
Chanzo: TBC
=======
Rais Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Polisi kukaa na wadau wengine kuangalia uwezekano wa kurekebisha Sheria ya kuweka watu mahabusu, akisema kwenye Nchi nyingine mtu hakamatwi mpaka upelelezi utimie
Ameeleza Kesi nyingi zinakwama Mahakamani kutokana na kucheleweshwa kwa upelelezi au kukosekana ushahidi akisema, "Hizi tunaita kesi za kubambikiza"
Amesisitiza, "Kama kesi haina mwelekeo watu watolewe. Kwa kesi ambazo mna uhakika upelelezi utatimia basi uharakishwe"
Wakati nasoma shule zile njemba zilizokuwa zinashinda mstuni na kushika mikia darasani wengi walikuwa wanasema wataenda japo upolisi. Sijui kama walishaingia huko? may be ndio sababuJeshi la Polisi limejaa wahuni wengi waliokuwa Green Guard, ambao hawana mafunzo, sifa wala weledi kwa kazi nyeti ya upolisi.
Hata urais wa Tanzania hauhitaji mtu smart, now proved!Unakuwa na Reasoning alafu unapata assessment IV or zero [emoji1787] [emoji1787] ? Jeshi la polisi halihitaji mtu smart hata siku moja,na huu ndo ukweli mchungu.
Kwani kuna mtu kasema huyo rais ana akili?Hajui hata Rais wake alipata hiyo hiyo karibia na divisheni five kumbe
Nadhani alitaka kulisema kaona aibu kwani naye ni mmoja wa wavunja haki Ndio katumia kigezo cha gharamaYaani yeye kaona la muhimu ni pesa tu. Haki za binadamu wanaokaa maabusu miaka na miaka haoni kabisa!!
🤣🤣Kwani kuna mtu kasema huyo rais ana akili?