Rais Samia Raia wa Uganda wamekupenda mno hivyo ukienda Kesho katika Ziara yako ya Kwanza waambie haya..,.

Rais Samia Raia wa Uganda wamekupenda mno hivyo ukienda Kesho katika Ziara yako ya Kwanza waambie haya..,.

Waambie..." Tanzania ni ile ile tu anayoijua Rais Museveni isipokuwa hii ya sasa iliyo chini yako ni ya Kiustaraabu, Makini na ya Kiungwana zaidi..."

Pia waambie..." Tanzania ya sasa imejikita zaidi katika Kuimarisha zaidi Uhusiano wake na Majirani zake tofauti na ile ya 25 Oktoba,2015 hadi 17 Machi,2021 iliyohatarisha mno huo Uhusiano..."

Mwisho waambie..." Tunawaomba Matajiri Wakubwa wa Uganda akina Mukwano na wengineo waje Kuwekeza Tanzania kwani tayari TRA chini yako wameshaambiwa waache Ukatili wao katika Ukusanyaji wa Kodi ambao walifanya Kipindi cha Mtangulizi wako... "

Ukimaliza mwambie Rais Museveni kuwa... " Unaomba ule Ujenzi wa Bomba la Mafuta sasa uanze mara Moja kwani zile Pesa zilizotengwa na Tanzania ambazo zikaelekezwa Kibinafsi kuijenga Chato zimerudishwa katika Bajeti hiyo ya Ujenzi huo Muhimu kwa Uchumi wa Tanzania na Uganda
..."

Generalist nakutakia Safari njema Kesho huko nchini Uganda na Waganda waliposikia Kesho Jumapili tarehe 11 April 2021 unaenda Kwao ( kwa Ziara ya Kikazi ) wamekufurahia wakisema kuwa hata Sura yako inaonyesha Furaha, Upendo, Amani na Matumaini.
Kumbe Mukwano ni mtu, basi jamaa ana makampuni mengi
 
Ni wakati wa kuachana na marafiki wazembewazembe na kushikamana na watu wanaijielewa. Watu kama Uganda na Burundi ni marafiki wa Hovyohovyo. Tujenge sana urafiki na Kenya.
 
Upuuzi tupu Rais anapoteza hela za walipa kodi kwa kutembelea Uganda??! Really?? Uganda nchi maskini kuliko tz itatusaidia nini?? Hatuna Rais hapa

Kabla Hayati Dkt. Magufuli Umauti haujamkuta ilikuwa anatakiwa kwenda Kumaliza kwa mara ya mwisho Makubaliano ya Kuanza rasmi kwa Mradi wa Bomba la Mafuta.

Kwa bahati mbaya Rais Dkt. Magufuli Umauti ukamkuta ghafla. Je, asipoenda Rais wa sasa Mama Samia Suluhu Hassan unataka aende Bibi yako wa Nanjilinji?

Halafu ulivyo Mpumbavu ( Juha ) unasema hii Ziara haina Faida wakati Mradi ukianza tu utatoa Ajira za Moja kwa Moja kwa Watanzania 1000 na Vibarua 3000.

Je, Kwako Wewe hii siyo Faida ya hii Ziara kwa Uchumi wa Taifa letu la Tanzania na kwa Wananchi wengi wenye tatizo la Ajira Kupata Kipato? Swine!!

Kila Siku huwa niwaambieni hapa kama unajijua una IQ ndogo acha ( koma ) kabisa Kufungua na Kusoma ' Nyuzi ' zangu kwani kwa 100% huwa nazianzisha kwa ' Brainiacs ' Wenzangu tu na siyo Wapuuzi kama Wewe.

Huu Uzi ukiwa na Uhayawani ulionao unaweza kama ni wa Kijinga ila hapa nimewasilisha nadharia Kuu Tatu za Kifalsafa ambazo ukiwa na Akili fupi kama zako na za Wenzako baadhi hapa hutoweza Kuziona ( Kuzibaini ) pia.

Nikiwadharau hamna Akili msinichukie.
 
Upuuzi tupu Rais anapoteza hela za walipa kodi kwa kutembelea Uganda??! Really?? Uganda nchi maskini kuliko tz itatusaidia nini?? Hatuna Rais hapa
Uelewa wako katika masuala ya uchumi una walakini.

China inapiga hatua kwa sababu ya kufanya biashara zaidi na nchi maskini, ambazo nyingi zipo Afrika.
 
Ni jambo jema na uimalishaji bora wa mahusiano kama taifa unaweza kuanzia huko kisha na majirani zetu wengine mambo yakawa sawa
 
Kabla Hayati Dkt. Magufuli Umauti haujamkuta ilikuwa anatakiwa kwenda Kumaliza kwa mara ya mwisho Makubaliano ya Kuanza rasmi kwa Mradi wa Bomba la Mafuta.

Kwa bahati mbaya Rais Dkt. Magufuli Umauti ukamkuta ghafla. Je, asipoenda Rais wa sasa Mama Samia Suluhu Hassan unataka aende Bibi yako wa Nanjilinji?

Halafu ulivyo Mpumbavu ( Juha ) unasema hii Ziara haina Faida wakati Mradi ukianza tu utatoa Ajira za Moja kwa Moja kwa Watanzania 1000 na Vibarua 3000.

Je, Kwako Wewe hii siyo Faida ya hii Ziara kwa Uchumi wa Taifa letu la Tanzania na kwa Wananchi wengi wenye tatizo la Ajira Kupata Kipato? Swine!!

Kila Siku huwa niwaambieni hapa kama unajijua una IQ ndogo acha ( koma ) kabisa Kufungua na Kusoma ' Nyuzi ' zangu kwani kwa 100% huwa nazianzisha kwa ' Brainiacs ' Wenzangu tu na siyo Wapuuzi kama Wewe.

Huu Uzi ukiwa na Uhayawani ulionao unaweza kama ni wa Kijinga ila hapa nimewasilisha nadharia Kuu Tatu za Kifalsafa ambazo ukiwa na Akili fupi kama zako na za Wenzako baadhi hapa hutoweza Kuziona ( Kuzibaini ) pia.

Nikiwadharau hamna Akili msinichukie.
Waambie hawa vibushuti wa akili.
 
Uelewa wako katika masuala ya uchumi una walakini.

China inapiga hatua kwa sababu ya kufanya biashara zaidi na nchi maskini, ambazo nyingi zipo Afrika.

Huyo ni Kipimo tosha cha Elimu mbovu ya Tanzania na ndiyo maana kila Siku tu nalia na Mfumo mzima wa Elimu ya Tanzania kwa sasa.

Elimu ya Tanzania kwa sasa inazalisha Candidates wengi wenye Ufaulu mzuri wa katika Result Slips zao na Academic Credentials zao ila Vichwani ni Watupu na kumejaa Uozo tu mtupu.

Nimeshampa Dozi yake itamunyoosha!!!
 
Ni jambo jema na uimalishaji bora wa mahusiano kama taifa unaweza kuanzia huko kisha na majirani zetu wengine mambo yakawa sawa

Kuna Mtu Mmoja hapa ambaye Ubongo wake umekaa Makalioni mwake anasema hii Ziara haina Faida Kwetu na kwamba Mheshimiwa Rais anapoteza Pesa za Walipa Kodi za Watanzania.
 
Kumbe Mukwano ni mtu, basi jamaa ana makampuni mengi

Najua siyo Mtu kama Mtu ila ni Mmiliki wa Makampuni ya Mukwano na Neno Mukwano ( la Kiganda ) kwa Kiswahili linamaanisha Rafiki. Na nimetumia Jina Mukwano kama ' Kiwakilishi ' tu ila ulivyo Pimbi ukajua kuwa simjui.

Ni Raia wa Asia ila ameishi sana nchini Uganda na amesaidia mno Kukuza Uchumi wa Uganda na kutoa Ajira nyingi tu kwa Waganda. Mukwano kwa Uganda ni kama kwa Bakhressa Tanzania hasa Kiuwekezaji.

JF Signature yangu isemayo..' Gifted Intellectually, Knowledgeable and Well Informed '...inatosha Kukuambia Generalist Mimi ni Mtu wa aina gani sawa?
 
Kuna Mtu Mmoja hapa ambaye Ubongo wake umekaa Makalioni mwake anasema hii Ziara haina Faida Kwetu na kwamba Mheshimiwa Rais anapoteza Pesa za Walipa Kodi za Watanzania.
Hajui asemalo asamehewe bure
 
Waambie..." Tanzania ni ile ile tu anayoijua Rais Museveni isipokuwa hii ya sasa iliyo chini yako ni ya Kiustaraabu, Makini na ya Kiungwana zaidi..."

Pia waambie..." Tanzania ya sasa imejikita zaidi katika Kuimarisha zaidi Uhusiano wake na Majirani zake tofauti na ile ya 25 Oktoba,2015 hadi 17 Machi,2021 iliyohatarisha mno huo Uhusiano..."

Mwisho waambie..." Tunawaomba Matajiri Wakubwa wa Uganda akina Mukwano na wengineo waje Kuwekeza Tanzania kwani tayari TRA chini yako wameshaambiwa waache Ukatili wao katika Ukusanyaji wa Kodi ambao walifanya Kipindi cha Mtangulizi wako... "

Ukimaliza mwambie Rais Museveni kuwa... " Unaomba ule Ujenzi wa Bomba la Mafuta sasa uanze mara Moja kwani zile Pesa zilizotengwa na Tanzania ambazo zikaelekezwa Kibinafsi kuijenga Chato zimerudishwa katika Bajeti hiyo ya Ujenzi huo Muhimu kwa Uchumi wa Tanzania na Uganda
..."

Generalist nakutakia Safari njema Kesho huko nchini Uganda na Waganda waliposikia Kesho Jumapili tarehe 11 April 2021 unaenda Kwao ( kwa Ziara ya Kikazi ) wamekufurahia wakisema kuwa hata Sura yako inaonyesha Furaha, Upendo, Amani na Matumaini.
Ushuzi mtupu.....
very low IQ.....
 
Back
Top Bottom