Rais Samia Raia wa Uganda wamekupenda mno hivyo ukienda Kesho katika Ziara yako ya Kwanza waambie haya..,.

Rais Samia Raia wa Uganda wamekupenda mno hivyo ukienda Kesho katika Ziara yako ya Kwanza waambie haya..,.

Safari njema sana Mh. Samia Suluhu Hassan.

Make Tanzania Happy Again=MATHA
 
Upuuzi tupu Rais anapoteza hela za walipa kodi kwa kutembelea Uganda??! Really?? Uganda nchi maskini kuliko tz itatusaidia nini?? Hatuna Rais hapa
Dhumuni lake labda ni kama la mataifa ya magharibi yanavyokujaga Tz. Tunataka tukawanyonye waganda.
 
Waambie..." Tanzania ni ile ile tu anayoijua Rais Museveni isipokuwa hii ya sasa iliyo chini yako ni ya Kiustaraabu, Makini na ya Kiungwana zaidi..."

Pia waambie..." Tanzania ya sasa imejikita zaidi katika Kuimarisha zaidi Uhusiano wake na Majirani zake tofauti na ile ya 25 Oktoba,2015 hadi 17 Machi,2021 iliyohatarisha mno huo Uhusiano..."

Mwisho waambie..." Tunawaomba Matajiri Wakubwa wa Uganda akina Mukwano na wengineo waje Kuwekeza Tanzania kwani tayari TRA chini yako wameshaambiwa waache Ukatili wao katika Ukusanyaji wa Kodi ambao walifanya Kipindi cha Mtangulizi wako... "

Ukimaliza mwambie Rais Museveni kuwa... " Unaomba ule Ujenzi wa Bomba la Mafuta sasa uanze mara Moja kwani zile Pesa zilizotengwa na Tanzania ambazo zikaelekezwa Kibinafsi kuijenga Chato zimerudishwa katika Bajeti hiyo ya Ujenzi huo Muhimu kwa Uchumi wa Tanzania na Uganda
..."

Generalist nakutakia Safari njema Kesho huko nchini Uganda na Waganda waliposikia Kesho Jumapili tarehe 11 April 2021 unaenda Kwao ( kwa Ziara ya Kikazi ) wamekufurahia wakisema kuwa hata Sura yako inaonyesha Furaha, Upendo, Amani na Matumaini.
hauna akili mkuu, acha kumshauri Rais anajua mwenyewe cha kufanya. Tumia akili yako vizuri shauri mambo ya msingi na sio kuanza kumfundisha Rais wetu ya kusema.
 
Kama walishindwa kumshauri mwenda zake mama ndio mmeona mteremko? Huo ushauri mbona hatukuuona kwa mwenda zake ?

Kama hutaki tumshauri Rais na Wewe inakuwaje unakereka mpaka Kutuzuia Sisi tusimshauri? Unapata wapi huu Uhalali? Swine kabisa!!
 
Waambie..." Tanzania ni ile ile tu anayoijua Rais Museveni isipokuwa hii ya sasa iliyo chini yako ni ya Kiustaraabu, Makini na ya Kiungwana zaidi..."

Pia waambie..." Tanzania ya sasa imejikita zaidi katika Kuimarisha zaidi Uhusiano wake na Majirani zake tofauti na ile ya 25 Oktoba,2015 hadi 17 Machi,2021 iliyohatarisha mno huo Uhusiano..."

Mwisho waambie..." Tunawaomba Matajiri Wakubwa wa Uganda akina Mukwano na wengineo waje Kuwekeza Tanzania kwani tayari TRA chini yako wameshaambiwa waache Ukatili wao katika Ukusanyaji wa Kodi ambao walifanya Kipindi cha Mtangulizi wako... "

Ukimaliza mwambie Rais Museveni kuwa... " Unaomba ule Ujenzi wa Bomba la Mafuta sasa uanze mara Moja kwani zile Pesa zilizotengwa na Tanzania ambazo zikaelekezwa Kibinafsi kuijenga Chato zimerudishwa katika Bajeti hiyo ya Ujenzi huo Muhimu kwa Uchumi wa Tanzania na Uganda
..."

Generalist nakutakia Safari njema Kesho huko nchini Uganda na Waganda waliposikia Kesho Jumapili tarehe 11 April 2021 unaenda Kwao ( kwa Ziara ya Kikazi ) wamekufurahia wakisema kuwa hata Sura yako inaonyesha Furaha, Upendo, Amani na Matumaini.
Jamaa una ID nyingi sana.
Umeandika point nzuri sana.
Kongole popoma.
 
Kumbe Mukwano ni mtu, basi jamaa ana makampuni mengi
Nikama akina mo na bakresa ana viwanda balaa alafu huwa nashangaa Wa bongo Kwa kubeza nchi nyingine wanadhani wanganda ni masikini kama tuambiavyo?kwanza baada ya miaka kadhaa Uganda watatuacha mbali waoo mwendokasi wao wanatumia basi yao ya kutumia umeme kiira motors sisi hata baiskeli hatuundi
 
Upuuzi tupu Rais anapoteza hela za walipa kodi kwa kutembelea Uganda??! Really?? Uganda nchi maskini kuliko tz itatusaidia nini?? Hatuna Rais hapa
Kwani bado tunahitaji misaada kutoka nchi zingine? Kwani bado tu hatujawa dona kantri licha ya jitihada zote za Jiwe?
 
Jamaa una ID nyingi sana.
Umeandika point nzuri sana.
Kongole popoma.

ID's nyingi kama zipi labda? Kama una uhakika wa 100% kuwa ni zangu zote tafadhali zianike ( zitaje ) hapa upesi sawa?

Hili neno Popoma huwa naliona mno hapa JamiiForums ila sijajua maana yake. Hebu nieleweshe nijue.

Kuhusu Kuandika points nzuri ( Madini ) sijaanza leo na ni desturi yangu Kufanya hivyo niwapo JF.

Signature yangu tu isemayo " Gifted Intellectually, Knowledgeable and Well Informed " ina Majibu tosha.
 
Upuuzi tupu Rais anapoteza hela za walipa kodi kwa kutembelea Uganda??! Really?? Uganda nchi maskini kuliko tz itatusaidia nini?? Hatuna Rais hapa
We Fala'""""1s..... Tuachie rais wetu na hayo ni maon yako binafs!!!

Jagul!!!!
 
Back
Top Bottom