Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
@Generalist kuna mtu ametoa jibu hapa.Nasikia wote ni mashabikibwa simba sc
Dhumuni lake labda ni kama la mataifa ya magharibi yanavyokujaga Tz. Tunataka tukawanyonye waganda.Upuuzi tupu Rais anapoteza hela za walipa kodi kwa kutembelea Uganda??! Really?? Uganda nchi maskini kuliko tz itatusaidia nini?? Hatuna Rais hapa
Nchi majiran Ni muhimu sana kwa uchumi wetu, next anaweza kwenda Kenya au kongoUpuuzi tupu Rais anapoteza hela za walipa kodi kwa kutembelea Uganda??! Really?? Uganda nchi maskini kuliko tz itatusaidia nini?? Hatuna Rais hapa
hauna akili mkuu, acha kumshauri Rais anajua mwenyewe cha kufanya. Tumia akili yako vizuri shauri mambo ya msingi na sio kuanza kumfundisha Rais wetu ya kusema.Waambie..." Tanzania ni ile ile tu anayoijua Rais Museveni isipokuwa hii ya sasa iliyo chini yako ni ya Kiustaraabu, Makini na ya Kiungwana zaidi..."
Pia waambie..." Tanzania ya sasa imejikita zaidi katika Kuimarisha zaidi Uhusiano wake na Majirani zake tofauti na ile ya 25 Oktoba,2015 hadi 17 Machi,2021 iliyohatarisha mno huo Uhusiano..."
Mwisho waambie..." Tunawaomba Matajiri Wakubwa wa Uganda akina Mukwano na wengineo waje Kuwekeza Tanzania kwani tayari TRA chini yako wameshaambiwa waache Ukatili wao katika Ukusanyaji wa Kodi ambao walifanya Kipindi cha Mtangulizi wako... "
Ukimaliza mwambie Rais Museveni kuwa... " Unaomba ule Ujenzi wa Bomba la Mafuta sasa uanze mara Moja kwani zile Pesa zilizotengwa na Tanzania ambazo zikaelekezwa Kibinafsi kuijenga Chato zimerudishwa katika Bajeti hiyo ya Ujenzi huo Muhimu kwa Uchumi wa Tanzania na Uganda..."
Generalist nakutakia Safari njema Kesho huko nchini Uganda na Waganda waliposikia Kesho Jumapili tarehe 11 April 2021 unaenda Kwao ( kwa Ziara ya Kikazi ) wamekufurahia wakisema kuwa hata Sura yako inaonyesha Furaha, Upendo, Amani na Matumaini.
Nchi majiran Ni muhimu sana kwa uchumi wetu, next anaweza kwenda Kenya au kongo
hauna akili mkuu, acha kumshauri Rais anajua mwenyewe cha kufanya. Tumia akili yako vizuri shauri mambo ya msingi na sio kuanza kumfundisha Rais wetu ya kusema.
Kama walishindwa kumshauri mwenda zake mama ndio mmeona mteremko? Huo ushauri mbona hatukuuona kwa mwenda zake ?
Jamaa una ID nyingi sana.Waambie..." Tanzania ni ile ile tu anayoijua Rais Museveni isipokuwa hii ya sasa iliyo chini yako ni ya Kiustaraabu, Makini na ya Kiungwana zaidi..."
Pia waambie..." Tanzania ya sasa imejikita zaidi katika Kuimarisha zaidi Uhusiano wake na Majirani zake tofauti na ile ya 25 Oktoba,2015 hadi 17 Machi,2021 iliyohatarisha mno huo Uhusiano..."
Mwisho waambie..." Tunawaomba Matajiri Wakubwa wa Uganda akina Mukwano na wengineo waje Kuwekeza Tanzania kwani tayari TRA chini yako wameshaambiwa waache Ukatili wao katika Ukusanyaji wa Kodi ambao walifanya Kipindi cha Mtangulizi wako... "
Ukimaliza mwambie Rais Museveni kuwa... " Unaomba ule Ujenzi wa Bomba la Mafuta sasa uanze mara Moja kwani zile Pesa zilizotengwa na Tanzania ambazo zikaelekezwa Kibinafsi kuijenga Chato zimerudishwa katika Bajeti hiyo ya Ujenzi huo Muhimu kwa Uchumi wa Tanzania na Uganda..."
Generalist nakutakia Safari njema Kesho huko nchini Uganda na Waganda waliposikia Kesho Jumapili tarehe 11 April 2021 unaenda Kwao ( kwa Ziara ya Kikazi ) wamekufurahia wakisema kuwa hata Sura yako inaonyesha Furaha, Upendo, Amani na Matumaini.
Nikama akina mo na bakresa ana viwanda balaa alafu huwa nashangaa Wa bongo Kwa kubeza nchi nyingine wanadhani wanganda ni masikini kama tuambiavyo?kwanza baada ya miaka kadhaa Uganda watatuacha mbali waoo mwendokasi wao wanatumia basi yao ya kutumia umeme kiira motors sisi hata baiskeli hatuundiKumbe Mukwano ni mtu, basi jamaa ana makampuni mengi
Kwani bado tunahitaji misaada kutoka nchi zingine? Kwani bado tu hatujawa dona kantri licha ya jitihada zote za Jiwe?Upuuzi tupu Rais anapoteza hela za walipa kodi kwa kutembelea Uganda??! Really?? Uganda nchi maskini kuliko tz itatusaidia nini?? Hatuna Rais hapa
Jamaa una ID nyingi sana.
Umeandika point nzuri sana.
Kongole popoma.
Popoma
Nimekutukana tusi KUBWA mnoUpuuzi tupu Rais anapoteza hela za walipa kodi kwa kutembelea Uganda??! Really?? Uganda nchi maskini kuliko tz itatusaidia nini?? Hatuna Rais hapa
We Fala'""""1s..... Tuachie rais wetu na hayo ni maon yako binafs!!!Upuuzi tupu Rais anapoteza hela za walipa kodi kwa kutembelea Uganda??! Really?? Uganda nchi maskini kuliko tz itatusaidia nini?? Hatuna Rais hapa
Popoma! Hivi ile id yako nyingine wamekupiga ban kwa muda gani? Sasa naona unarudia lugha zako za uchochoroni ili wa kupige ban tenaUna Ratiba nae ya Kubeba Mimba yake?
Popoma! Hivi ile id yako nyingine wamekupiga ban kwa muda gani? Sasa naona unarudia lugha zako za uchochoroni ili wa kupige ban tena
Hoja ya nini kwenye ujinga..?
SawaNimeuona kwako zaidi