Atacms
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 4,884
- 8,924
pole sana karibu mtaani tuuze vyomboWakuu leo nimetenguliwa mwenzenu hapo morogoro
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pole sana karibu mtaani tuuze vyomboWakuu leo nimetenguliwa mwenzenu hapo morogoro
Acha chuki kwa Rais kibaka wa kisukuma weweMuulize
Dar anakaa siku ngapi zaidi ya Dodoma makao makuu???
Huyo kaishaishiwa
Tuuze vyombo tenapole sana karibu mtaani tuuze vyombo
Hahaaaaaaa............😀😂Umetenguliwa kiuno, nyonga au madaraka?
Ujinga mtupuHapo zamani za kale kuna mtawala matata wa Tanzania aliwahi kukaa na kufanya kazi za kiserikali nyumbani kwao kwa zaidi ya miezi kadhaa... Aliwaapisha watendaji wake na kuwapokea wageni nashuhuri kwenye mazingira ya kienyeji enyeji sana kule kwao!
Na wote walijifanya kumkubali...
Alivyoenda zake kuzimu hakuna aliyetaka kufuata nyendo zake ovu!
Hadithi yangu imeishia hapo.
Fundisho: tujenge taasisi imara na si miungu-watu
Hayo maneno ya shukurani hata wewe au yeyote anaweza kuyatoa kwa wazi au kimoyo moyo.
Na Kuna mwingine alifanyia kazi za nchi yake akiwa nchi za ugenini. Hadi watu wake wakaamua kuweka kumbukumbu za idadi ya Safari zake nje ya nchi.Hapo zamani za kale kuna mtawala matata wa Tanzania aliwahi kukaa na kufanya kazi za kiserikali nyumbani kwao kwa zaidi ya miezi kadhaa... Aliwaapisha watendaji wake na kuwapokea wageni nashuhuri kwenye mazingira ya kienyeji enyeji sana kule kwao!
Na wote walijifanya kumkubali...
Alivyoenda zake kuzimu hakuna aliyetaka kufuata nyendo zake ovu!
Hadithi yangu imeishia hapo.
Fundisho: tujenge taasisi imara na si miungu-watu
Wewe ndo yule mama? LUKUBAWakuu leo nimetenguliwa mwenzenu hapo morogoro
basi endelea kusubiri kupangiwa kazi nyengineTuuze vyombo tena
Eti nyumbani kwao pale pale Kijijini kwao pale... Karibu na JJ lodge jamaa alipafanya kuwa Ikulu na kufanyika kazi za kiserikali... Akiwapokea wageni mashuhuri na kuapisha wateule wake... Very pathetic!!Unajua siku zote Mtu Mbinafsi hutafuta sababu zisizo za msingi ili kuwaaminisha watu kuwa yeye yupo sahihi na hivi ndivyo alivyofanya awamu ya tano.
Huwezi kuniambia walioweka utaratibu walikosea mpka wewe uje useme kuwa popote inawezekana mmh!
Okay Ahsante mama kwa kuturudisha kwenye utaratibu na sheria.
Tutaona mengi ambayo yaliliwa na mwingine
hii pcha naona kama inamhusu huyo mwamba alie tenguka[emoji41]Umetenguliwa kiuno, nyonga au madaraka?
Wewe unasumbuliwa na ulimbukeni, ungetafuta kwanza sheria inayoipa nguvu kauli yake kuliko kushadadia kiu kisichokuwepo.Mabibi na mabwana mheshimiwa Rais wetu mpendwa mama Samia amepasua mbarika tena leo.
Akiongea na vijana Mwanza, mh. Rais katamka angependa kuendelea kukaa zaidi Mwanza, ila taratibu na sheria hazimruhusu kukaa zaidi ya siku 3 katika mkoa mmoja.
Bila shaka akimaanisha kukaa siku 3 mkoani nje ya ofisi rasmi za magogoni au chamwino.
Hizi sheria au taratibu ni mpya zilizoanza baada ya awamu ya sita kuingia ofisini au ndiyo ilivyo ila ilikuwa kupigana ma-changa ya macho?
Kumbukumbu zingali hai kwani si zamani tulipoaminishwa katika awamu ile kuwa rais anaweza kuweka kambi popote na kazi ikaendelea bila ukomo!
Kama aliyosema mama leo ndiyo ukweli wenyewe basi pongezi sana mama Samia kwa kuzingatia maadili, taratibu na sheria.
Unatudhihirishia kwa vitendo kuwa unauo nia ya dhati ya kuhakikisha kuwa wewe kama tunavyowajibika sote kwa mujibu wa sheria wewe kama rais siyo exceptional.
Hongera sana mama Samia Ku kuzingatia utawala wa sheria kazi inapoendelea!
Wewe ndio umekosa pa kumkosoa. Mama ameleta matumaini makubwa sana!Muulize
Dar anakaa siku ngapi zaidi ya Dodoma makao makuu???
Huyo kaishaishiwa
Dodoma kuna Ikulu, Dar kuna IkuluMuulize
Dar anakaa siku ngapi zaidi ya Dodoma makao makuu???
Huyo kaishaishiwa
Kitambo sana