Rais Samia, ruhusu watu wanywe bia 24/7 ukuze uchumi

Rais Samia, ruhusu watu wanywe bia 24/7 ukuze uchumi

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Mama, kabla ya 2015 watu walikuwa wanakunywa bia masaa yote. Pombe ni miongoni mwa vyanzo vikuu vya mapato vya nchi yetu pendwa.

Pombe inanywewa wakati wote, wakati wa misiba na wakati wa harusi, wakati wa furaha na wakati wa huzuni.

Pombe ni kiburudisho baada ya kazi. Kuna kazi mbalimbali nchini. Sio wote wanafanya kazi masaa ya asubuhi hadi jioni.

Wengine kazini huingia usiku na kutoka asubuhi, kwa katazo la watu hawa kunywa mchana tunakuwa hatuwatendei haki na nchi inapoteza kipato.

Hebu hili liangaliwe upya kwa ustawi mpana wa uchumi wa taifa letu.
 
Nawe kwa ulevi huo kuna mtu atakusikiliza kweli? Hakuna sehemu pombe inazuiliwa kuuzwa muda wote ila kuna utaratibu na aina ya biashara. Miji yote mikubwa gambe liko masaa 24 we sijui uko mji gani
 
Nawe kwa ulevi huo kuna mtu atakusikiliza kweli? Hakuna sehemu pombe inazuiliwa kuuzwa muda wote ila kuna utaratibu na aina ya biashara. Miji yote mikubwa gambe liko masaa 24 we sijui uko mji gani
Bar gani inauza 24/7? Pombe ipigwe life ban
 
Mama.
Kabla ya 2015 watu walikuwa wanakunywa bia masaa yote. Pombe ni miongoni mwa vyanzo vikuu vya mapato vya nchi yetu pendwa.

Pombe inanywewa wakati wote, wakati wa misiba na wakati wa harusi, wakati wa furaha na wakati wa huzuni.

Pombe ni kiburudisho baada ya kazi. Kuna kazi mbalimbali nchini. Sio wote wanafanya kazi masaa ya asubuhi hadi jioni.

Wengine kazini huingia usiku na kutoka asubuhi, kwa katazo la watu hawa kunywa mchana tunakuwa hatuwatendei haki na nchi inapoteza kipato.

Hebu hili liangaliwe upya kwa ustawi mpana wa uchumi wa taifa letu.
Polisi wanajipigia pesa, ukikamatwa unakunywa ukiwa huna pesa cha moto utakiona kuingia bure kutoka na pesa.
 
Mama, kabla ya 2015 watu walikuwa wanakunywa bia masaa yote. Pombe ni miongoni mwa vyanzo vikuu vya mapato vya nchi yetu pendwa.

Pombe inanywewa wakati wote, wakati wa misiba na wakati wa harusi, wakati wa furaha na wakati wa huzuni.

Pombe ni kiburudisho baada ya kazi. Kuna kazi mbalimbali nchini. Sio wote wanafanya kazi masaa ya asubuhi hadi jioni.

Wengine kazini huingia usiku na kutoka asubuhi, kwa katazo la watu hawa kunywa mchana tunakuwa hatuwatendei haki na nchi inapoteza kipato.

Hebu hili liangaliwe upya kwa ustawi mpana wa uchumi wa taifa letu.
Njoo polisi maturubai Mbagala bia ni saa 24, usalama upo saa 24.
 
Mama, kabla ya 2015 watu walikuwa wanakunywa bia masaa yote. Pombe ni miongoni mwa vyanzo vikuu vya mapato vya nchi yetu pendwa.

Pombe inanywewa wakati wote, wakati wa misiba na wakati wa harusi, wakati wa furaha na wakati wa huzuni.

Pombe ni kiburudisho baada ya kazi. Kuna kazi mbalimbali nchini. Sio wote wanafanya kazi masaa ya asubuhi hadi jioni.

Wengine kazini huingia usiku na kutoka asubuhi, kwa katazo la watu hawa kunywa mchana tunakuwa hatuwatendei haki na nchi inapoteza kipato.

Hebu hili liangaliwe upya kwa ustawi mpana wa uchumi wa taifa letu.
FB_IMG_1676107241106.jpg
 
Nchi zinazoendekeza pombe, raia wao wengi wako ohe hahe, maana hawana muda wa kufanya kazi zaidi ya kushinda na pombe tu vichwani.
 
Nawe kwa ulevi huo kuna mtu atakusikiliza kweli? Hakuna sehemu pombe inazuiliwa kuuzwa muda wote ila kuna utaratibu na aina ya biashara. Miji yote mikubwa gambe liko masaa 24 we sijui uko mji gani
Mzee haipo hivyo mim Nina bar hapa dar lakin polisi wasumbufu muda wote
 
Back
Top Bottom