Rais Samia, Ruvuma tumekukosea nini?

Rais Samia, Ruvuma tumekukosea nini?

Samia Ruvuma tumekukosea Nini?

Hili swali Nilimuuliza magufuli na Leo na kuuliza wewe. Tumekukosea Nini? Wewe na serikali yako hawa wangoni, wayao, wandendeule na wamatengo wamekukosea Nini? Inakuwaje hivi licha ya upendo wote tunaowapa wewe na chama chako
Kipaumbele ni Kwa wajanja si Kwa machawa, wangoni ni malaika Sana tumezombika. Hebu mpigie ndumbaro atuelezee, kama huna namba njoo inbox
 
🤣🤣Wangoni bwana!amkeni,eti hata wasipokuja kufanya kampeni watapita tu!Kwa Nini Sasa?,wanawasaidoa Nini?
 
Chawa Jenista Mhagama leo hatolala MAANA umepiga kwenye MSHONO...ila yote kwa yote MJUMBE ana HOJA..fika Ruvuma ,ukimaliza uje na Singida tukupe zawadi ya Mafuta ya Alizeti Mh Rais!
 
Back
Top Bottom