Rais Samia, Ruvuma tumekukosea nini?

 
🤣🤣Wangoni bwana!amkeni,eti hata wasipokuja kufanya kampeni watapita tu!Kwa Nini Sasa?,wanawasaidoa Nini?
 
Chawa Jenista Mhagama leo hatolala MAANA umepiga kwenye MSHONO...ila yote kwa yote MJUMBE ana HOJA..fika Ruvuma ,ukimaliza uje na Singida tukupe zawadi ya Mafuta ya Alizeti Mh Rais!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…