crocodile
JF-Expert Member
- Apr 11, 2011
- 3,864
- 2,955
Unazijua 😀Haaaa ila inzi na nyuki wote ni wadudu warukao(mvuto wa harufu zipi)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unazijua 😀Haaaa ila inzi na nyuki wote ni wadudu warukao(mvuto wa harufu zipi)
Kuna maswali ya papo kwa papo ambapo kabla hajaondoka nchini lazima wataalam wamweke shule ingawa naye anatakiwa kuwa na kichwa cha kupokea haraka.Rais siyo mtaalamu wa kila kitu, ukiona hotuba haijakaa sawa wataalamu waliobobea kwenye hilo eneo hawajawa consulted kutoa mitazamo yao au chambuzi zao kuhusu hilo eneo kabla ya kuandaa hotuba......
CCM wanadai ni hotuba ya karne tumshauri hawe anachukua airbus ya watu 250 wa CCM afu akifika huko anawaweka wakae upande moja ili chochote atachoongea wao kazi yao kushangilia tu. Make wao ilimradi wewe ni Rais hata ukiongea pumba watakushangilia hadi uzimie.Suala la hotuba zisizo na mvuto limekuwa ni tatizo sugu kwa awamu zote nne zilizopita na sasa hii ya tano zimeendelea kusikika, nimeondoa awamu ya Nyerere.
Wakati wa Magufuli hazikujitokeza kabisa kwa kuwa hakusafiri nje ya nchi. Rais Samia ameingia na tabia ya kusafiri nje kwa kujitangaza, kuifungua nchi. Tatizo ni ubora duni wa hotuba zake.
Hatukuhitaji hotuba ya kueleza madhara ya Climate change. Hii ni mikutano ya kuwaambia waharibifu kubeba mzigo. FINITO! COP ni tofauti na jukwaa la Dodoma unaposhangiliwa kwa kila sentensi unayozungumza.
Huyu ndo Samia wa TZ
Huyu ni Mia wa Barbados
Ngosha ilikuwa hata akiandikiwa Bado hawezi kutamkaKuna utofauti kati ya hotuba ya kuandikiwa na ya kujiandalia
Kweli mkuu, mchawi wa lugha ni kuwa na misamiati ya kutosha kichwani vinginevyo fluency inakosekana, unakuwa unapiga goko....Lugha lugha hii ya kigeni tujifunze, ukiwa na vocabulary chache sana inakuwa ngumu kucheza na lugha ya kigeni ukaleta mvuto wa kusikilizwa.
Haimaanishi kuwa na misamiati migumu, ila ni kuwa na maneno mengi mbadala au tungo mbadala kuongelea hoja au mantiki ile ile.........kwa maana nyingine unacheza na lugha...mimi nadhani kwenye hotuba hutakiwi kutumia misamiati migumu-gumu.
..ukiwasikiliza maraisi kama Obama au Biden hotuba zau huwa zina misamiati ya kawaida ambayo inaeleweka hata na mtu mwenye elimu ya kawaida.
..Maza hakujiandaa kwa hii kazi na ndio maana anaonekana anapwaya.
Duhh, bonge la falsafaMvuto nao ni relative. Anachopenda na kuvutiwa inzi na nyuki ni tofauti!
..asante. umeiweka vizuri hoja ya bagamoyo.Haimaanishi kuwa na misamiati migumu, ila ni kuwa na maneno mengi mbadala au tungo mbadala kuongelea hoja au mantiki ile ile.........kwa maana nyingine unacheza na lugha.
Ooh yes exactBora Mama katufikisha hapo... Tuliko toka ni kubaya zaidi!
Oooh yes exactly!Bora Mama katufikisha hapo... Tuliko toka ni kubaya zaidi!
Yote ni saw a kabisa. Lakini kwa kuongezea tu ni;Kwa kawaida Rais anapozungumzia masuala yanayohusu jumuiya ya kimataifa anakuwa anazungumza kwa niaba ya sisi Watanzania kwa maana kuwa anaueleza Ulimwengu Tanzania inasema nini katika agenda inayojadiliwa. Ushauri wangu wa dhati kabisa ni kila mikutano hii mikubwa ambayo Rais wetu anategemewa kuzungumza kwa niaba yetu wote basi atumie hazina ya vipaji vyote vya Watanzania kuhusu somo hilo. Draft ya kwanza (zero draft) itokane na jopo la wataalam wa somo husika. (Ni jukumu mojawapo la Idara ya Utumishi kuwa na data bank ya wataalam mbali mbali waliobobea na wenye uzoefu wa taaluma mbali mbali).Wasaidizi wapendwa wa Rais na Rais mwenyewe watumie hiyo draft ya kwanza kuifinyanga hutoba kwa kuqeka lugha rafiki kwa msomaji, Rais wetu kama anavyotaka lakini substance ya jambo analoongelea itokane na wataalam wa kiwango cha juu kabisa. Uzoefu wa kawaida unaonesha hakuna mtaalam mwenye hekima ya wastani ambaye hawezi kuwa radhi kusaidia Rais wake afanye vizuri kwenye masuala ya heri kama haya. Tusitengeneze, kwa mfano, timu ya mpira ya taifa inayokwenda kwenye mashindano ya world cup inayotokana na ligi ya mpira kutoka daraja la tatu! Watanzania lazima tukubali kuwa kutumia uwezo na vipaji vyote tulivyonavyo ndiyo siri ya hao viongozi wenzetu ambao tunaona wanafanya vizuri!
Mama kazungukwa na wapigaji tuKwa kawaida Rais anapozungumzia masuala yanayohusu jumuiya ya kimataifa anakuwa anazungumza kwa niaba ya sisi Watanzania kwa maana kuwa anaueleza Ulimwengu Tanzania inasema nini katika agenda inayojadiliwa. Ushauri wangu wa dhati kabisa ni kila mikutano hii mikubwa ambayo Rais wetu anategemewa kuzungumza kwa niaba yetu wote basi atumie hazina ya vipaji vyote vya Watanzania kuhusu somo hilo.
Draft ya kwanza (zero draft) itokane na jopo la wataalam wa somo husika. (Ni jukumu mojawapo la Idara ya Utumishi kuwa na data bank ya wataalam mbali mbali waliobobea na wenye uzoefu wa taaluma mbali mbali).Wasaidizi wapendwa wa Rais na Rais mwenyewe watumie hiyo draft ya kwanza kuifinyanga hutoba kwa kuqeka lugha rafiki kwa msomaji, Rais wetu kama anavyotaka lakini substance ya jambo analoongelea itokane na wataalam wa kiwango cha juu kabisa.
Uzoefu wa kawaida unaonesha hakuna mtaalam mwenye hekima ya wastani ambaye hawezi kuwa radhi kusaidia Rais wake afanye vizuri kwenye masuala ya heri kama haya. Tusitengeneze, kwa mfano, timu ya mpira ya taifa inayokwenda kwenye mashindano ya world cup inayotokana na ligi ya mpira kutoka daraja la tatu! Watanzania lazima tukubali kuwa kutumia uwezo na vipaji vyote tulivyonavyo ndiyo siri ya hao viongozi wenzetu ambao tunaona wanafanya vizuri!
But she's good at platform than our president who leading a millions of peopleOooh yes exactly!
Kwanza huwezi kumlinganisha mama yetu SSH na Waziri Mkuu wa Barbados anaeongoza kainchi kenye jumla ya watu 287,000.[emoji38][emoji38][emoji38]