Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tunafuatilia kwa karibu sanaRais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifungua na kushiriki Mkutano wa 14 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) katika Ukumbi wa Kikwete - Ikulu Dar es Salaam leo tarehe 09 Juni, 2023.
Poa poa ngoja niachane na kilimo nikatumikie muarabu mjomba wake mazeri.Jaza fomu za ajira online acha kukomaza shingo.
Bado hajahamia Dodoma?Rais wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifungua na kushiriki Mkutano wa 14 wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) katika Ukumbi wa Kikwete - Ikulu Dar es Salaam leo tarehe 09 Juni, 2023.
Au njoo migodini umtumikie Mzungu.Poa poa ngoja niachane na kilimo nikatumikie muarabu mjomba wake mazeri.
Kila mahali ni kutumikishwa tu.Au njoo migodini umtumikie Mzungu.
Bila mijeledi.Kila mahali ni kutumikishwa tu.
Ww ni Rashford wa MAN Umama chapa kazi tuko na wewe begakwabega
😀 😀 😀 umenikumbusha Lonyangapuo wa Kenya#️⃣kimama kifupi kinene
Kichwa anafanana na Rashford wa MAN U hasa nyuma ya kichwakwa nini?
Said Stuard Shily
Dona kantri ilikuwa mbwembwe za mwendazakeJaman Jaman, this donor kantre kwisha
Mmepata nchi kwa bahat mbaya mnataka kuuza bandari si ndio?Samia had 2040, wagalatia hatuwapi tena nchi wauaji