Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Rais Samia akitoa hotuba katika kongamano la kumuenzi Hayati Benjamini Mkapa linalofanyika Zanzibar leo 14/ 7/ 2022 amesema kuwa watu wa sekta binafsi ni muhimu katika kufanikisha kasi ya maendeleo ya taifa letu.
Lakini Serikali imekuwa na uzito katika kuwaamini sekta binafsi, wanapotaka kufanya mashirikiano na Serikali wamekuwa wakizungushwa sana hadi wanakata tamaa na kuondoka, hiyo inakuwa tofauti kwa kuwa Seriakali imekuwa inaimba wimbo wa sekata binafsi lakini kiuhalisia hautendei kazi wimbo huo.
Kumekuwa na misingi ya kutoamini sekta binafsi hali inayochelewesha maendeleo kwani ili kuendana na kasi ya kiuchumi Sekta binafsi haikwepeki, ametoa wito kwa Serikali kuwa na ushirikiano na sekta binafsi.
RAIS SAMIA: SEKTA BINAFSI ZIZINGATIE AFYA NI STAHILI YA UMMA NA SIO BIASHARA
Amesema, “Kwa upande wa Sekta Binafsi natarajia watapokea wito wetu na kutoa ushirikiano na kwamba watazingatia kuwa Afya ni stahili ya Umma na sio biashara, hivyo lazima mzingatie urari kati ya kupata faida kiasi na kuwekeza katika kutoa huduma endelevu za Afya kwa Wananchi na kuwekeza pale kwenye mahitaji makubwa zaidi kwa maslahi ya Umma”
Amesema Serikali imejipambanua wazi kushirikiana na Sekta binafsi kwa tija na kwa mkakati bayana na kwa maslahi mapana ya taifa na anatarajia Sekta Binafsi wataitikia wito wa Kutoa ushirikiano kwa Serikali
Vile vile ametoa wito kwa Sekta hizo kutopoteza lengo kuu la kufikisha huduma bora za afya, kwa wote, popote na kwa gharama inayohimilika
Lakini Serikali imekuwa na uzito katika kuwaamini sekta binafsi, wanapotaka kufanya mashirikiano na Serikali wamekuwa wakizungushwa sana hadi wanakata tamaa na kuondoka, hiyo inakuwa tofauti kwa kuwa Seriakali imekuwa inaimba wimbo wa sekata binafsi lakini kiuhalisia hautendei kazi wimbo huo.
Kumekuwa na misingi ya kutoamini sekta binafsi hali inayochelewesha maendeleo kwani ili kuendana na kasi ya kiuchumi Sekta binafsi haikwepeki, ametoa wito kwa Serikali kuwa na ushirikiano na sekta binafsi.
RAIS SAMIA: SEKTA BINAFSI ZIZINGATIE AFYA NI STAHILI YA UMMA NA SIO BIASHARA
Amesema, “Kwa upande wa Sekta Binafsi natarajia watapokea wito wetu na kutoa ushirikiano na kwamba watazingatia kuwa Afya ni stahili ya Umma na sio biashara, hivyo lazima mzingatie urari kati ya kupata faida kiasi na kuwekeza katika kutoa huduma endelevu za Afya kwa Wananchi na kuwekeza pale kwenye mahitaji makubwa zaidi kwa maslahi ya Umma”
Amesema Serikali imejipambanua wazi kushirikiana na Sekta binafsi kwa tija na kwa mkakati bayana na kwa maslahi mapana ya taifa na anatarajia Sekta Binafsi wataitikia wito wa Kutoa ushirikiano kwa Serikali
Vile vile ametoa wito kwa Sekta hizo kutopoteza lengo kuu la kufikisha huduma bora za afya, kwa wote, popote na kwa gharama inayohimilika