Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 1,198
- 2,695
Kwa hili lililochoma January to March km sio bwawa la magufuli mafisadi yangekata umeme kwa siku zote tisini ili yapige pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnataka Raisi atembee Kariako ndio mjue yupo? By MajaliwaNchi ya ajabu sana Mara tuna ziada ya umeme Hadi wa kuuza nje,Mara tutanunua kutoka nje tushike lipi? Ccm must go
Shocking news!!!"Umeme unakatikatika maeneo ya Kaskazini huku lakini Serikali yenu inachukua hatua ya kununua umeme nje maalum kwa Mikoa hii ya Kaskazini ili umeme upatikane masaa 24 muda wote bila kukatikakatika"
"Tuko kwenye hatua za mwisho kusaini mikataba ili tuweze kununua umeme ule uungwe Kanda ya Kaskazini na Wananchi wafaidi na umeme, kwahiyo tutakuwa na umeme wa uhakika, maji ya uhakika kila pahali, Vijiji vyote vina umeme tunakwenda Vitongojo na umeme wa kutosha tunaununua unaingia ili kazi za maendeleo ziendelee"
Tumpe Mpina tu hata kwa mwezi mmoja anaweza, huko kwa EM mbali mnoHivi mfano sisi wa Tanzania tukamuomba Elon Musk awe raisi wa taifa letu kwa mkabata maalumu wa miaka 10 wenye kufungu cha kumtoa kama atakiuka,hivi inashindikana?
Atupeleke mchaka mchaka wa miaka 10 akituachia tuwe hatua tatu nyuma ya china.
Tunadanganywa sana mkuu! Hadi inatia hasira sana!Kuna kiongozi aliwahi kusema 2025 tutakuwa na umeme wa kutosha kutumia nchi nzima na tutauza hadi nje.
Walisema tutakuwa na umeme wa ziada wa kuuza nje.Kuna kiongozi aliwahi kusema 2025 tutakuwa na umeme wa kutosha kutumia nchi nzima na tutauza hadi nje.
Gharama kupeleka Toka unapozalishwa heri kuchukulia MoiBwawa la Nyerere kulikoni? Si umeme tuliambiwa uko mwingi wa ziada, kuna jambo sijaelewa
Tunadanganywa sana mkuu! Hadi inatia hasira sana!
Hakuna mtanzania anaweza simamia system kama wenzetu wa nje.Tumpe Mpina tu hata kwa mwezi mmoja anaweza, huko kwa EM mbali mno
Pale same upepo mwingi na jua la kutoshwa kwann tusifunge mitambo ya umeme kwa njia ya upepo na jua..?Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema Serikali ipo kwenye hatua za mwisho za kusaini mikataba ya kununua umeme nje maalum kwa Mikoa ya Kaskazini ili Mikoa hiyo ipate umeme wa uhakika na iondokane na adha ya umeme kukatikakatika.
View attachment 3264483
Rais Samia amesema hayo baada ya kufungua mradi wa Maji wa Same-Mwanga-Korogwe kwenye hafla iliyofanyika Mwanga Mkoani Kilimanjaro leo March 09, 2025.
Soma: Rais Samia: Tanzania inayo nafasi ya kuuza umeme nje
Rais Samia amesema "Umeme unakatikatika maeneo ya Kaskazini huku lakini Serikali yenu inachukua hatua ya kununua umeme nje maalum kwa Mikoa hii ya Kaskazini ili umeme upatikane masaa 24 muda wote bila kukatikakatika"
"Tuko kwenye hatua za mwisho kusaini mikataba ili tuweze kununua umeme ule uungwe Kanda ya Kaskazini na Wananchi wafaidi na umeme, kwahiyo tutakuwa na umeme wa uhakika, maji ya uhakika kila pahali, Vijiji vyote vina umeme tunakwenda Vitongojo na umeme wa kutosha tunaununua unaingia ili kazi za maendeleo ziendelee"
Chanzo: Millard Ayo
Kuwa na Grid Ni salama zaidi usisahau Pia Energy ni National security matters Muunganiko na Majirani Ni kitu Kizuri sana kwasbabu kitakupa wide range ya Choice incase pakitokea Blackout ila Pia Kuhakikisha Nchi Iko Connected yote Na Grid ni Swala zuri zaidi na Majirani iwe kama Back Up kwasababu leo tupo salama Kesho ikitokea Vita na Hao Majirani wanaokuuzia Umeme tegemea Kukatiwa Umeme Ili uwe GizaniGharama kupeleka Toka unapozalishwa heri kuchukulia Moi
Sisi tunaangalia namna mtu anavyofunga kilembaSifa moja inawafanya wenzetu kupiga hatua ni kuwa na mfumo wa kiutendaji unaoendana na uhalisia.