Rais Samia, Serikali kusimamisha ghafla uuzaji wa chakula nje ya nchi ni unyama dhidi ya wafanyabiashara na wakulima

Rais Samia, Serikali kusimamisha ghafla uuzaji wa chakula nje ya nchi ni unyama dhidi ya wafanyabiashara na wakulima

fazili

JF-Expert Member
Joined
Jun 10, 2011
Posts
16,427
Reaction score
22,418
Unakuta mfanyabiashara amechukua mkopo 200M benki, ameweka watu wamkusanyie mahindi semi 10 kutoka Dodoma, Manyara, Arusha, etc.

Semi zimesheheni chakula kuelekea mpakani ghafla unasikia serikali imesimamisha usafirishaji wa vyakula nje ya nchi na hapo gari zipo tayari mpakani.

Jamani, hivi serikali inawajali wafanyabiashara au ndio chanzo cha matatizo na kufilisika kwa wafanyabiashara? Mtu atarejeshaje mkopo kwa utaratibu huu? Kwanini serikali isiwe na utaratibu wa kutoa notisi angalau ya mwezi mmoja kabla ya kisitishwa kwa vibali? Hivi serikali kwanini inatuadhibu hivi na wakati sisi tunafanya biashara halali na leseni tunazo?

Mkulima wa Tanzania naye hana uhakika na soko la mazao yake mara leo bei nzuri kesho bei mbovu. Serikali inamtumia mkulima kwa ajili ya food security tu bila kujali anafaidika vipi na kilimo chake.

Serikali mnafanya unyama mkubwa kwa wafanyabiashara na wakulima acheni unyama huu! Mama Samia tusaidie tafadhali wekeni utaratibu mzuri wa kutoa taarifa kabla la sivyo mnatuumiza mno wafanyabiashara na wakulima!
 
Unakuta mfanyabiashara amechukua mkopo 200M benki, ameweka watu wamkusanyie mahindi semi 10 kutoka Dodoma, Manyara, Arusha, etc.

Semi zimesheheni chakula kuelekea mpakani ghafla unasikia serikali imesimamisha usafirishaji wa vyakula nje ya nchi na hapo gari zipo tayari mpakani.

Jamani, hivi serikali inawajali wafanyabiashara au ndio chanzo cha matatizo na kufilisika kwa wafanyabiashara? Mtu atarejeshaje mkopo kwa utaratibu huu? Kwanini serikali isiwe na utaratibu wa kutoa notisi angalau ya mwezi mmoja kabla ya kisitishwa kwa vibali? Hivi serikali kwanini inatuadhibu hivi na wakati sisi tunafanya biashara halali na leseni tunazo?

Mkulima wa Tanzania naye hana uhakika na soko la mazao yake mara leo bei nzuri kesho bei mbovu. Serikali inamtumia mkulima kwa ajili ya food security tu bila kujali anafaidika vipi na kilimo chake.

Serikali mnafanya unyama mkubwa kwa wafanyabiashara na wakulima acheni unyama huu! Mama Samia tusaidie tafadhali wekeni utaratibu mzuri wa kutoa taarifa kabla la sivyo mnatuumiza mno wafanyabiashara na wakulima!
Utakuta hata wewe uliipigia CCM kura halafu unalialia.
 
Hii ya ghafla ndio sio nzuri wangepewa muda, ila kuzuia kuuza chakula nje ya nchi ni suala jema, ili kupunguza ukali wa maisha. Kumbuka nchi yetu chakula hakijitoshelezi.

Na bei ya vyakula itashuka sio mkuu? Mf mchele, maharage n.k!
 
Kama taifa tunapaswa kuwa na sera na miongozo zinazotabirika.Haya matamko ya dharula ni aibu na fedheha kwa taifa kubwa Kama Tanzania.
 
Nyie mnaotaka chakula kishuke bei, hiyo nguvu mngeitumia kulalamikia serikali iwapandishie mishahara ili muweze kukidhi mahitaji yenu ya chakula, mnataka kulalia mgongo wa mkulima kwa kushushiwa bei, mnajua mkulima anatumia gharama kiasi gani kuandaa shamba, kulima, palizi , mpaka mavuno? Pembejeo ni za bure?. Huu ulimwengu ni wa kibepari usitake kulalia mgongo wa mwenzako pambana na hali yako.
Hii ya ghafla ndio sio nzuri wangepewa muda, ila kuzuia kuuza chakula nje ya nchi ni suala jema, ili kupunguza ukali wa maisha. Kumbuka nchi yetu chakula hakijitoshelezi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzlisoea vya kunyonga Sasa kufeni njaa wanyonge tupone. Asante Mama kwa kutujali wanyonge
 
Unakuta mfanyabiashara amechukua mkopo 200M benki, ameweka watu wamkusanyie mahindi semi 10 kutoka Dodoma, Manyara, Arusha, etc.

Semi zimesheheni chakula kuelekea mpakani ghafla unasikia serikali imesimamisha usafirishaji wa vyakula nje ya nchi na hapo gari zipo tayari mpakani.

Jamani, hivi serikali inawajali wafanyabiashara au ndio chanzo cha matatizo na kufilisika kwa wafanyabiashara? Mtu atarejeshaje mkopo kwa utaratibu huu? Kwanini serikali isiwe na utaratibu wa kutoa notisi angalau ya mwezi mmoja kabla ya kisitishwa kwa vibali? Hivi serikali kwanini inatuadhibu hivi na wakati sisi tunafanya biashara halali na leseni tunazo?

Mkulima wa Tanzania naye hana uhakika na soko la mazao yake mara leo bei nzuri kesho bei mbovu. Serikali inamtumia mkulima kwa ajili ya food security tu bila kujali anafaidika vipi na kilimo chake.

Serikali mnafanya unyama mkubwa kwa wafanyabiashara na wakulima acheni unyama huu! Mama Samia tusaidie tafadhali wekeni utaratibu mzuri wa kutoa taarifa kabla la sivyo mnatuumiza mno wafanyabiashara na wakulima!
Sazingine hii serikali ni kigeugeu, ukiwa waziri unajikuta una wakati mgumu sana, Rais ana washauri sijui wangapi, hakuna msimamo wala sera inayoeleweka. Kwanini mkulima anaendelea kunyanyaswa hivi? Au kwasababu hawawezi kuandamana? Maana makundi mengine yakiguswa tu yanafunga biashara na serikali inakubali kucheza ngoma wanayoitaka. Wakulima ni wa wa kuwawekea wafanyabiashra na wafanyakazi akiba ya chakula. Mkulima wa nchi hii ataendelea kuwa maskini na vijana watajazana tu mijini hakuna namna. Huyu rais hana msimamo akitishwa kidogo na kundi fulani lazima abadili msimamo.

Serikali mwaka jana ilitangaza haitarudia kumpangia mkuolima pa kuuza mazao yake, mwaka uliofuata ambao ndio mmefunga mipaka. Hii ndio tuiiteje? Mi siyo mkulima ila sipendi kabisa mtu aonewe, siyo mtu hata mnyama sipendi kuona akionewa. Kwanini hakuna huruma na hawa wakulima? Wakulima wengi hawana muda wala access na hivi mitandao, serikali ikisikia tu kelele kutoka kwa hawa wavivu wa mtandaoni lazima ikimbilie kwa wakulima wasio na sauti inauma sana. Je serikali inanunua kwa bei sawa na hizo za nje? utaratibu umewekwa vipi. Rais uwe na msimamo.
 
Nyie mnaotaka chakula kishuke bei, hiyo nguvu mngeitumia kulalamikia serikali iwapandishie mishahara ili muweze kukidhi mahitaji yenu ya chakula, mnataka kulalia mgongo wa mkulima kwa kushushiwa bei, mnajua mkulima anatumia gharama kiasi gani kuandaa shamba, kulima, palizi , mpaka mavuno? Pembejeo ni za bure?. Huu ulimwengu ni wa kibepari usitake kulalia mgongo wa mwenzako pambana na hali yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi sera za kijamaa za hovyo kabisa ndio imewafanya watanzania wavivu, walalamishi, wapenda meteremko kwa gharama za wenzao
 
Back
Top Bottom