- Thread starter
- #41
Ujinga wako ni mkubwa sana!Majirani si huwa mnajiona wajanja mwaka huu mtakula sukuma week na mtura,mahindi na mchele hatuuzi nje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga wako ni mkubwa sana!Majirani si huwa mnajiona wajanja mwaka huu mtakula sukuma week na mtura,mahindi na mchele hatuuzi nje
Sijawahi kupigia kura CCM wakati wowote.Utakuta hata wewe uliipigia CCM kura halafu unalialia.
Ujamaa umetulemaza kuongoza watanzania ni kama kuongoza maiti watu wapo dar wamejazana kwenye ofisi za kubeti wanataka kupata msosi wa buku hawa si mapunguaniNdugu yangu watanzania wengi ni wajinga ndio maana tunaona sawa tu kutopewa taarifa. Na wewe inaonekana ni mjinga pia.
serikali ipo sahihi kwasababu ukiangalia takwimu za uzalishaji wa chakula umepungua kwa kiasi hivyo ni bora hicho kiasi kitumike ndani ya nchi kuliko kuuzwa nje ya nchi au unataka tufe kwa njaa niniSijawahi kupigia kura CCM wakati wowote.
Unaona ni sawa kupiga stop ghafla wakati magari yalishafika mpakani? Hiyo hasara ya wafanyabiashara unaona sawa tu wewe?serikali ipo sahihi kwasababu ukiangalia takwimu za uzalishaji wa chakula umepungua kwa kiasi hivyo ni bora hicho kiasi kitumike ndani ya nchi kuliko kuuzwa nje ya nchi au unataka tufe kwa njaa nini
Wakauze kwenye mghara ya TaifaUnaona ni sawa kupiga stop ghafla wakati magari yalishafika mpakani? Hiyo hasara ya wafanyabiashara unaona sawa tu wewe?
Mwanzo ulifurahi aliporuhusu kuuzwa nje? Ni kama sigara kaliHivi huwaonei huruma wananchi bei ya vyakula imepanda? Unaangalia upande wako na majirani zako, je! Kwa watanzania! Nimefurahi sana mama kuzuia kupeleka nje
Mkulima anakomaa mwenyewe shambani, kulima, mbolea, viatilifu wadudu na gharama zingine. Mwishowe anazuiwa kujitafutia soko zuri la mazao yake nje ya nchi. Huu ni uonevu!!!Unakuta mfanyabiashara amechukua mkopo 200M benki, ameweka watu wamkusanyie mahindi semi 10 kutoka Dodoma, Manyara, Arusha, etc.
Semi zimesheheni chakula kuelekea mpakani ghafla unasikia serikali imesimamisha usafirishaji wa vyakula nje ya nchi na hapo gari zipo tayari mpakani.
Jamani, hivi serikali inawajali wafanyabiashara au ndio chanzo cha matatizo na kufilisika kwa wafanyabiashara? Mtu atarejeshaje mkopo kwa utaratibu huu? Kwanini serikali isiwe na utaratibu wa kutoa notisi angalau ya mwezi mmoja kabla ya kisitishwa kwa vibali? Hivi serikali kwanini inatuadhibu hivi na wakati sisi tunafanya biashara halali na leseni tunazo?
Mkulima wa Tanzania naye hana uhakika na soko la mazao yake mara leo bei nzuri kesho bei mbovu. Serikali inamtumia mkulima kwa ajili ya food security tu bila kujali anafaidika vipi na kilimo chake.
Serikali mnafanya unyama mkubwa kwa wafanyabiashara na wakulima acheni unyama huu! Mama Samia tusaidie tafadhali wekeni utaratibu mzuri wa kutoa taarifa kabla la sivyo mnatuumiza mno wafanyabiashara na wakulima!
Kama alivyo mama yakoUjinga wako ni mkubwa sana!
Wakulima kwanza, tunataka bei nzuriKuwa mzalendo. Tanzania kwanza!
Si unaona?Kama alivyo mama yako
Mbona vishaanza kushusha sana tuNa bei ya vyakula itashuka sio mkuu? Mf mchele, maharage n.k!
Unafurahia bei ya chakula kushuka ila humfikirii huyo mkulima,kama sio ubinafsi ni nin ?Ahsante mkuu
Huna akili pmbafuuu[emoji706],ngoja siku wakuguse kwenye hicho kimradi chakoHivi huwaonei huruma wananchi bei ya vyakula imepanda? Unaangalia upande wako na majirani zako, je! Kwa watanzania! Nimefurahi sana mama kuzuia kupeleka nje