Rais Samia, Serikali kusimamisha ghafla uuzaji wa chakula nje ya nchi ni unyama dhidi ya wafanyabiashara na wakulima

Rais Samia, Serikali kusimamisha ghafla uuzaji wa chakula nje ya nchi ni unyama dhidi ya wafanyabiashara na wakulima

Ndugu yangu watanzania wengi ni wajinga ndio maana tunaona sawa tu kutopewa taarifa. Na wewe inaonekana ni mjinga pia.
Ujamaa umetulemaza kuongoza watanzania ni kama kuongoza maiti watu wapo dar wamejazana kwenye ofisi za kubeti wanataka kupata msosi wa buku hawa si mapunguani
 
Ni Bora wamesimamisha ghafla, najua mnaopinga mna maslahi binafsi
 
Sijawahi kupigia kura CCM wakati wowote.
serikali ipo sahihi kwasababu ukiangalia takwimu za uzalishaji wa chakula umepungua kwa kiasi hivyo ni bora hicho kiasi kitumike ndani ya nchi kuliko kuuzwa nje ya nchi au unataka tufe kwa njaa nini
 
serikali ipo sahihi kwasababu ukiangalia takwimu za uzalishaji wa chakula umepungua kwa kiasi hivyo ni bora hicho kiasi kitumike ndani ya nchi kuliko kuuzwa nje ya nchi au unataka tufe kwa njaa nini
Unaona ni sawa kupiga stop ghafla wakati magari yalishafika mpakani? Hiyo hasara ya wafanyabiashara unaona sawa tu wewe?
 
Unaona ni sawa kupiga stop ghafla wakati magari yalishafika mpakani? Hiyo hasara ya wafanyabiashara unaona sawa tu wewe?
Wakauze kwenye mghara ya Taifa
Chakula kikipanda bei maisha nayo yanapanda
 
Hivi huwaonei huruma wananchi bei ya vyakula imepanda? Unaangalia upande wako na majirani zako, je! Kwa watanzania! Nimefurahi sana mama kuzuia kupeleka nje
Mwanzo ulifurahi aliporuhusu kuuzwa nje? Ni kama sigara kali
 
Unakuta mfanyabiashara amechukua mkopo 200M benki, ameweka watu wamkusanyie mahindi semi 10 kutoka Dodoma, Manyara, Arusha, etc.

Semi zimesheheni chakula kuelekea mpakani ghafla unasikia serikali imesimamisha usafirishaji wa vyakula nje ya nchi na hapo gari zipo tayari mpakani.

Jamani, hivi serikali inawajali wafanyabiashara au ndio chanzo cha matatizo na kufilisika kwa wafanyabiashara? Mtu atarejeshaje mkopo kwa utaratibu huu? Kwanini serikali isiwe na utaratibu wa kutoa notisi angalau ya mwezi mmoja kabla ya kisitishwa kwa vibali? Hivi serikali kwanini inatuadhibu hivi na wakati sisi tunafanya biashara halali na leseni tunazo?

Mkulima wa Tanzania naye hana uhakika na soko la mazao yake mara leo bei nzuri kesho bei mbovu. Serikali inamtumia mkulima kwa ajili ya food security tu bila kujali anafaidika vipi na kilimo chake.

Serikali mnafanya unyama mkubwa kwa wafanyabiashara na wakulima acheni unyama huu! Mama Samia tusaidie tafadhali wekeni utaratibu mzuri wa kutoa taarifa kabla la sivyo mnatuumiza mno wafanyabiashara na wakulima!
Mkulima anakomaa mwenyewe shambani, kulima, mbolea, viatilifu wadudu na gharama zingine. Mwishowe anazuiwa kujitafutia soko zuri la mazao yake nje ya nchi. Huu ni uonevu!!!
 
Hivi huwaonei huruma wananchi bei ya vyakula imepanda? Unaangalia upande wako na majirani zako, je! Kwa watanzania! Nimefurahi sana mama kuzuia kupeleka nje
Huna akili pmbafuuu[emoji706],ngoja siku wakuguse kwenye hicho kimradi chako
 
Back
Top Bottom