Rais Samia, Serikali kusimamisha ghafla uuzaji wa chakula nje ya nchi ni unyama dhidi ya wafanyabiashara na wakulima

Rais Samia, Serikali kusimamisha ghafla uuzaji wa chakula nje ya nchi ni unyama dhidi ya wafanyabiashara na wakulima

Unakuta mfanyabiashara amechukua mkopo 200M benki, ameweka watu wamkusanyie mahindi semi 10 kutoka Dodoma, Manyara, Arusha, etc.

Semi zimesheheni chakula kuelekea mpakani ghafla unasikia serikali imesimamisha usafirishaji wa vyakula nje ya nchi na hapo gari zipo tayari mpakani.

Jamani, hivi serikali inawajali wafanyabiashara au ndio chanzo cha matatizo na kufilisika kwa wafanyabiashara? Mtu atarejeshaje mkopo kwa utaratibu huu? Kwanini serikali isiwe na utaratibu wa kutoa notisi angalau ya mwezi mmoja kabla ya kisitishwa kwa vibali? Hivi serikali kwanini inatuadhibu hivi na wakati sisi tunafanya biashara halali na leseni tunazo?

Mkulima wa Tanzania naye hana uhakika na soko la mazao yake mara leo bei nzuri kesho bei mbovu. Serikali inamtumia mkulima kwa ajili ya food security tu bila kujali anafaidika vipi na kilimo chake.

Serikali mnafanya unyama mkubwa kwa wafanyabiashara na wakulima acheni unyama huu! Mama Samia tusaidie tafadhali wekeni utaratibu mzuri wa kutoa taarifa kabla la sivyo mnatuumiza mno wafanyabiashara na wakulima!
Majirani si huwa mnajiona wajanja mwaka huu mtakula sukuma week na mtura,mahindi na mchele hatuuzi nje
 
WWe
Unakuta mfanyabiashara amechukua mkopo 200M benki, ameweka watu wamkusanyie mahindi semi 10 kutoka Dodoma, Manyara, Arusha, etc.

Semi zimesheheni chakula kuelekea mpakani ghafla unasikia serikali imesimamisha usafirishaji wa vyakula nje ya nchi na hapo gari zipo tayari mpakani.

Jamani, hivi serikali inawajali wafanyabiashara au ndio chanzo cha matatizo na kufilisika kwa wafanyabiashara? Mtu atarejeshaje mkopo kwa utaratibu huu? Kwanini serikali isiwe na utaratibu wa kutoa notisi angalau ya mwezi mmoja kabla ya kisitishwa kwa vibali? Hivi serikali kwanini inatuadhibu hivi na wakati sisi tunafanya biashara halali na leseni tunazo?

Mkulima wa Tanzania naye hana uhakika na soko la mazao yake mara leo bei nzuri kesho bei mbovu. Serikali inamtumia mkulima kwa ajili ya food security tu bila kujali anafaidika vipi na kilimo chake.

Serikali mnafanya unyama mkubwa kwa wafanyabiashara na wakulima acheni unyama huu! Mama Samia tusaidie tafadhali wekeni utaratibu mzuri wa kutoa taarifa kabla la sivyo mnatuumiza mno wafanyabiashara na wakulima!
Well said
 
Kafyeke vichaka upate shamba uweze kulima tuitosheleze nchi acheni kukaa mjini mkilamba lips na kubetua midomo kama wadada nyie vijana njooni Pori tulime.
Kuna maji ya kumwagilia, kituo cha afya na barabara ya kusafirisha pembejeo na mazao??
 
Mimi nataka iwe hivyo na ikiwezekana ikolezwe zaidi wafikiwe wamachinga, wafikiwe wachimbaji wadogo wa madini n.k. ili hasira za watu zisogee Karibu

Kukiitishwa maandamano iwe rahisi kuotikia nchi nzima kwa sababu kila mmoja kaguswa kwenye maslahi yake
 
Kuna maji ya kumwagilia, kituo cha afya na barabara ya kusafirisha pembejeo na mazao??
Ndo shida inapoanzia nyie shambani upelekewe kituo cha afya tangu lini wagonjwa wanalima? HUku bushirombo hakuna irrigation scheme hata moja lkn tunalima mpunga na mavuno ni makubwa kuliko hata hao wa kapunga irrigation so Acha kubweteka kijana.
 
Unakuta mfanyabiashara amechukua mkopo 200M benki, ameweka watu wamkusanyie mahindi semi 10 kutoka Dodoma, Manyara, Arusha, etc.

Semi zimesheheni chakula kuelekea mpakani ghafla unasikia serikali imesimamisha usafirishaji wa vyakula nje ya nchi na hapo gari zipo tayari mpakani.

Jamani, hivi serikali inawajali wafanyabiashara au ndio chanzo cha matatizo na kufilisika kwa wafanyabiashara? Mtu atarejeshaje mkopo kwa utaratibu huu? Kwanini serikali isiwe na utaratibu wa kutoa notisi angalau ya mwezi mmoja kabla ya kisitishwa kwa vibali? Hivi serikali kwanini inatuadhibu hivi na wakati sisi tunafanya biashara halali na leseni tunazo?

Mkulima wa Tanzania naye hana uhakika na soko la mazao yake mara leo bei nzuri kesho bei mbovu. Serikali inamtumia mkulima kwa ajili ya food security tu bila kujali anafaidika vipi na kilimo chake.

Serikali mnafanya unyama mkubwa kwa wafanyabiashara na wakulima acheni unyama huu! Mama Samia tusaidie tafadhali wekeni utaratibu mzuri wa kutoa taarifa kabla la sivyo mnatuumiza mno wafanyabiashara na wakulima!
Wauze chakula ndani ya Tanzania
 
Actually, wafanyabiashara ndiyo wameguswa zaidi na hili sababu kiuhalisia wao ndiyo wanafaidika zaidi na hii export trade.

Mfano msimu uliopita mipaka ilifungwa na gunia la mahindi debe sita lilifika hadi 150,000 February 2023!

Je ni wakulima wangapi walikuwa na akiba February na kuuza kwa 25K/debe? Hawapo sababu wengi waliuza June-September 2022 kwa 60K-80K kwa gunia bei ambayo misimu yote wanauzia.

February mazao yanakuwa kwenye maghala ya wafanyabiashara na wakulima wananua huko.

Ili wakulima wanufaike na hii export trade inabidi wao wenyewe wayafikie hayo masoko ya nje labda kupitia vyama vya ushirika tofauti na hapo ni siasa tu.
 
Unakuta mfanyabiashara amechukua mkopo 200M benki, ameweka watu wamkusanyie mahindi semi 10 kutoka Dodoma, Manyara, Arusha, etc.

Semi zimesheheni chakula kuelekea mpakani ghafla unasikia serikali imesimamisha usafirishaji wa vyakula nje ya nchi na hapo gari zipo tayari mpakani.

Jamani, hivi serikali inawajali wafanyabiashara au ndio chanzo cha matatizo na kufilisika kwa wafanyabiashara? Mtu atarejeshaje mkopo kwa utaratibu huu? Kwanini serikali isiwe na utaratibu wa kutoa notisi angalau ya mwezi mmoja kabla ya kisitishwa kwa vibali? Hivi serikali kwanini inatuadhibu hivi na wakati sisi tunafanya biashara halali na leseni tunazo?

Mkulima wa Tanzania naye hana uhakika na soko la mazao yake mara leo bei nzuri kesho bei mbovu. Serikali inamtumia mkulima kwa ajili ya food security tu bila kujali anafaidika vipi na kilimo chake.

Serikali mnafanya unyama mkubwa kwa wafanyabiashara na wakulima acheni unyama huu! Mama Samia tusaidie tafadhali wekeni utaratibu mzuri wa kutoa taarifa kabla la sivyo mnatuumiza mno wafanyabiashara na wakulima!
inaitwa government interventions, elimu ni muhimu sana tusipuuzuie kusoma . entreprenuer should be
tolerant
risk bearing etc
 
Unakuta mfanyabiashara amechukua mkopo 200M benki, ameweka watu wamkusanyie mahindi semi 10 kutoka Dodoma, Manyara, Arusha, etc.

Semi zimesheheni chakula kuelekea mpakani ghafla unasikia serikali imesimamisha usafirishaji wa vyakula nje ya nchi na hapo gari zipo tayari mpakani.

Jamani, hivi serikali inawajali wafanyabiashara au ndio chanzo cha matatizo na kufilisika kwa wafanyabiashara? Mtu atarejeshaje mkopo kwa utaratibu huu? Kwanini serikali isiwe na utaratibu wa kutoa notisi angalau ya mwezi mmoja kabla ya kisitishwa kwa vibali? Hivi serikali kwanini inatuadhibu hivi na wakati sisi tunafanya biashara halali na leseni tunazo?

Mkulima wa Tanzania naye hana uhakika na soko la mazao yake mara leo bei nzuri kesho bei mbovu. Serikali inamtumia mkulima kwa ajili ya food security tu bila kujali anafaidika vipi na kilimo chake.

Serikali mnafanya unyama mkubwa kwa wafanyabiashara na wakulima acheni unyama huu! Mama Samia tusaidie tafadhali wekeni utaratibu mzuri wa kutoa taarifa kabla la sivyo mnatuumiza mno wafanyabiashara na wakulima!

Hivi huwaonei huruma wananchi bei ya vyakula imepanda? Unaangalia upande wako na majirani zako, je! Kwa watanzania! Nimefurahi sana mama kuzuia kupeleka nje
 
Kafyeke vichaka upate shamba uweze kulima tuitosheleze nchi acheni kukaa mjini mkilamba lips na kubetua midomo kama wadada nyie vijana njooni Pori tulime.


JF kumbe ni pori zuri la kuanzia kulima mwenzetu uko mbali 😛 😛 😛
 
Hivi huwaonei huruma wananchi bei ya vyakula imepanda? Unaangalia upande wako na majirani zako, je! Kwa watanzania! Nimefurahi sana mama kuzuia kupeleka nje
Nazungumzia namna uzuiaji huo unavyofanyika bila taarifa ya muda mrefu ili wafanyabiashara hao wajipange. Umeelewa?
 
Actually, wafanyabiashara ndiyo wameguswa zaidi na hili sababu kiuhalisia wao ndiyo wanafaidika zaidi na hii export trade.

Mfano msimu uliopita mipaka ilifungwa na gunia la mahindi debe sita lilifika hadi 150,000 February 2023!

Je ni wakulima wangapi walikuwa na akiba February na kuuza kwa 25K/debe? Hawapo sababu wengi waliuza June-September 2022 kwa 60K-80K kwa gunia bei ambayo misimu yote wanauzia.

February mazao yanakuwa kwenye maghala ya wafanyabiashara na wakulima wananua huko.

Ili wakulima wanufaike na hii export trade inabidi wao wenyewe wayafikie hayo masoko ya nje labda kupitia vyama vya ushirika tofauti na hapo ni siasa tu.
Madhara ya kuzuia mahindi kutoka nje ya nchi ni makubwa vijana wanazidi kuongezeka mjini ni hatari sana kila mkulima amegeuka kuwa machinga na boda sijui uchumi tutaujenga vipi ukimzui mfanyabiashara ni nani ataenda kununua hayo mazao maghala ya serikali wananunua mazao bei ya chini sana kuliko mfanyabiashara ni propaganda tu zinaendelea ili kuonekana mfanyabiashara ni mnyonyaji
 
inaitwa government interventions, elimu ni muhimu sana tusipuuzuie kusoma . entreprenuer should be
tolerant
risk bearing etc
Ndugu yangu watanzania wengi ni wajinga ndio maana tunaona sawa tu kutopewa taarifa. Na wewe inaonekana ni mjinga pia.
 
Back
Top Bottom