#COVID19 Rais Samia, Serikali yako imekiri Corona ipo na bado inashiriki kuisambaza kwa kuruhusu matamasha

#COVID19 Rais Samia, Serikali yako imekiri Corona ipo na bado inashiriki kuisambaza kwa kuruhusu matamasha

Shujaa Mwendazake

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
4,016
Reaction score
6,759
E57_woSWUAEEIZO.jpg
215513749_10159494182949339_7610896480387748996_n.jpg


SOCIAL DISTANCING
Hakuna asiyejua hii ndo key element ya kupunguza maambukizi ya magonjwa yanayofanana na Corona. Nimeanza na hilo Tangazo hapo juu ili hili suala lieleweke kwa sababu tukiacha matangazo ya uwepowa Corona nchini ambayo yanahusishwa na "Kujenga Mazingira ya kupata misaaa" kutoka huko Duniani; lakini utekelezaji wa protocols za kuzuia maambukizi ya ugonjwa huu imekuwa ni kama Maigizo tu.

Tukisema tufanye Lockdown sidhani kama litakuwa ni jambo sahihi kutokana na vipato vyetu na hali zetu lakini kuna mengine ambayo yanaweza kufanywa kwa maagizo ya serikali kwani tulishafanya hapo Mwanzo na tuliweza kuendelea na maisha kwa kiasi fulani japo changamoto zilikuwa chache. Mfano wa haya , mpaka sasa tumetangaziwa maambukizi kufikia 400+ waliopimwa so far, achilia mbali kijiji kitakachokuwa mitaani na hakijapimwa which concludes kuwa hali si nzuri.

Licha ya Alerts hizi na taarifa hizi zenye kuhitaji tahadhari kubwa kwani tumesikia pia kuna uhitaji wa mitungi huko Shinyanga Hospital baada yaile ya Bugando kuongezwa lakin bado Serikali imeachia na inaendelea kuachia mikusanyiko isiyo na ulazima ikiwemo Mikutano ya Viongozi kama Mh. Rais wa JMT, Rais wa ZNZ, ziara ziara za mawaziri, Maonesho ya sabasaba. Mengine ni Mikutano ya vyama vya Siasa Vikiongozwa na CCM na Chadema. Haya matukio yameleta mikusanyiko mikubwa isiyofuata dhana ya "social distancing" wala uvaaji wa barakoa wala pia unawaji wa mikono au utumiaji wa vitakasa mikono. Tunashuhudia pia mibanano ya kwenye madaladala hususan ya wale ndugu zetu wa kama Mbagala, vipi wanaokimbiza mwenge nchini na mikusanyiko yake, Lakini pia Hofu yangu NI VIPI USALAMA WA VIONGOZI WETU NYETI KAMA MAMA YETU NA DK MWINYI?

Ajabu sasa ni hili Tamasha lililoandaliwa na Serikali kupitia taasisi ya wizara ya mawasiliano kwa kushirikiana na Msanii Nandy, hapo sikutaja mechi ya Simba na Yanga na mengineyo mengi Ninachojiuliza, Waziri wa afya unasubiri nini kutoa tamko na agizo la kulazimisha kufuata hizi protocols, najiuliza Wizara ya mambo ya ndani kupitia Jeshi la Polisi, Wizara ya usafirishaji kupitia Latra, Wizara ya Utamaduni na Michezo, manispaa na halmashauri mbalimbali, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya kupitia TAMISEMI na taasisi nyingine wenye dhamana na wanaohusika na matukio yanayokusanya watanzania WANASUBIRI NINI. MBONA WAO NAO WANAHUSIKA KATIKA KUKUSANYA WATU NA KUACHA HUU UGONJWA UENEE KWA KASI. Mbona mambo ni kama Mwaka jana na juzi , mbona kama hakuna tofauti na baada ya kupima mapapai?

Kama Tumetangaziwa tatizo lipo basi tuwe serious kuanzia Serikali hasa Wizara ya Afya, taasisi za serikali na zisizo za kiserikali pamoja na sisi wananchi wenyewe. Naweza mimi nikajidistance lakini vipi jamii yetu?

SERIKALI IACHE KURUKARUKA , INABIDI KUENFORCE BAADHI YA POLICIES NOW, ELSE ITAKUWA INAENDELEA KUSHIRIKI KUTUSAMBAZIA GONJWA HILI
 
SHIDA NADHANI NI VIONGOZI KUTOJIAMINI NA KUSIMAMA NA KUTAMKA WANACHOKIAMINI.SHIDA WAO WENYEWE NI WAVUNJA PROTOCAL
SOCIAL DISTANCING
Hakuna asiyejua hii ndo key element ya kupunguza maambukizi ya magonjwa yanayofanana na Corona. Nimeanza na hilo Tangazo hapo juu ili hili suala lieleweke kwa sababu tukiacha matangazo ya uwepowa Corona nchini ambayo yanahusishwa na "Kujenga Mazingira ya kupata misaaa" kutoka huko Duniani; lakini utekelezaji wa protocols za kuzuia maambukizi ya ugonjwa huu imekuwa ni kama Maigizo tu.

Tukisema tufanye Lockdown sidhani kama litakuwa ni jambo sahihi kutokana na vipato vyetu na hali zetu lakini kuna mengine ambayo yanaweza kufanywa kwa maagizo ya serikali kwani tulishafanya hapo Mwanzo na tuliweza kuendelea na maisha kwa kiasi fulani japo changamoto zilikuwa chache. Mfano wa haya , mpaka sasa tumetangaziwa maambukizi kufikia 400+ waliopimwa so far, achilia mbali kijiji kitakachokuwa mitaani na hakijapimwa which concludes kuwa hali si nzuri.

Licha ya Alerts hizi na taarifa hizi zenye kuhitaji tahadhari kubwa kwani tumesikia pia kuna uhitaji wa mitungi huko Shinyanga Hospital baada yaile ya Bugando kuongezwa lakin bado Serikali imeachia na inaendelea kuachia mikusanyiko isiyo na ulazima ikiwemo Mikutano ya Viongozi kama Mh. Rais wa JMT, Rais wa ZNZ, ziara ziara za mawaziri, Maonesho ya sabasaba. Mengine ni Mikutano ya vyama vya Siasa Vikiongozwa na CCM na Chadema. Haya matukio yameleta mikusanyiko mikubwa isiyofuata dhana ya "social distancing" wala uvaaji wa barakoa wala pia unawaji wa mikono au utumiaji wa vitakasa mikono. Tunashuhudia pia mibanano ya kwenye madaladala hususan ya wale ndugu zetu wa kama Mbagala, vipi wanaokimbiza mwenge nchini na mikusanyiko yake, Lakini pia Hofu yangu NI VIPI USALAMA WA VIONGOZI WETU NYETI KAMA MAMA YETU NA DK MWINYI?

Ajabu sasa ni hili Tamasha lililoandaliwa na Serikali kupitia taasisi ya wizara ya mawasiliano kwa kushirikiana na Msanii Nandy, hapo sikutaja mechi ya Simba na Yanga na mengineyo mengi Ninachojiuliza, Waziri wa afya unasubiri nini kutoa tamko na agizo la kulazimisha kufuata hizi protocols, najiuliza Wizara ya mambo ya ndani kupitia Jeshi la Polisi, Wizara ya usafirishaji kupitia Latra, Wizara ya Utamaduni na Michezo, manispaa na halmashauri mbalimbali, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya kupitia TAMISEMI na taasisi nyingine wenye dhamana na wanaohusika na matukio yanayokusanya watanzania WANASUBIRI NINI. MBONA WAO NAO WANAHUSIKA KATIKA KUKUSANYA WATU NA KUACHA HUU UGONJWA UENEE KWA KASI. Mbona mambo ni kama Mwaka jana na juzi , mbona kama hakuna tofauti na baada ya kupima mapapai?

Kama Tumetangaziwa tatizo lipo basi tuwe serious kuanzia Serikali hasa Wizara ya Afya, taasisi za serikali na zisizo za kiserikali pamoja na sisi wananchi wenyewe. Naweza mimi nikajidistance lakini vipi jamii yetu?
SERIKALI IACHE KURUKARUKA , INABIDI KUENFORCE BAADHI YA POLICIES NOW, ELSE ITAKUWA INAENDELEA KUSHIRIKI KUTUSAMBAZIA GONJWA HILI
[/QUOTE]
 
Rais Samia na Mwinyi ndio wanaongoza kuchangia kuenea kwa hiyo Covid na wanafanya makusudi sababu wao ndio wanasema kuna ugonjwa Ila wao kutwa ndio wanazurura kukusanya watu .

Wanaboa Hawa cheichei
 
Naamini lengo ni "Tuishi nayo kama tunavyoishi na vvu". Elimu imetolewa kila mtu achukue tahadhari. Hakuna anayelazimishwa kuvaa condom na iwe hivyo kwa corona. Unayejijali hutaenda kwenye festival na utaepuka misongamano na ikibidi utavaa barakoa mbili na sanitizer kwa wingi
 
Naamini lengo ni "Tuishi nayo kama tunavyoishi na vvu". Elimu imetolewa kila mtu achukue tahadhari. Hakuna anayelazimishwa kuvaa condom na iwe hivyo kwa corona. Unayejijali hutaenda kwenye festival na utaepuka misongamano na ikibidi utavaa barakoa mbili na sanitizer kwa wingi

unajua dhana ya Pandemic mkuu?

Na unajua kuukabili ni ushirikiano wa hali ya juu katika jamii.
Unafananishaje UVICO na HIV mkuu?
 
unajua dhana ya Pandemic mkuu?

Na unajua kuukabili ni ushirikiano wa hali ya juu katika jamii.
Unafananishaje UVICO na HIV mkuu?

Bado serikali haijajitambua kwenye hili. Msimao wake haueleweki.

Awamu ya mkono wa chuma ilijiweka wazi kuhusu hili jambo na msimamo wake ulijulikana hadi na mataifa ya nje.

Nia nzuri na approach ya Mama inaweza kutusumbua mbele ikiwa tutashindwa kueleweka tunasimamia wapi.

Unaposema tu kwamba tuna wagonjwa kadhaa na maambukizi yanaendelea, lazima usisitize kuzingatia hatua za kufuata ili kuzuia maambukizi na madhara zaidi.

Hauwezi kuwa na hali zote, useme hakuna ugonjwa na maisha yaendelee kama kawaida.
 
Rais Samia na Mwinyi ndio wanaongoza kuchangia kuenea kwa hiyo Covid na wanafanya makusudi sababu wao ndio wanasema kuna ugonjwa Ila wao kutwa ndio wanazurura kukusanya watu .

Wanaboa Hawa cheichei
Hivi unawaamini hawa viumbe! Narudia umaskini mbaya sana! Mtu ni kiongozi wa nchi anatamka kuna corona tuchukue tahadhari lakini yeye kakusanya watu anawapa soga-caragabhao!

Jingine ni lile tapeli la Ufipa,linafukuza watu wasije mazishini wakati anakusanya watu kuhitaji katiba-upumbavu na wazimu.

Never waste your time with these savages!
 
Hivi unawaamini hawa viumbe! Narudia umaskini mbaya sana! Mtu ni kiongozi wa nchi anatamka kuna corona tuchukue tahadhari lakini yeye kakusanya watu anawapa soga-caragabhao!

Jingine ni lile tapeli la Ufipa,linafukuza watu wasije mazishini wakati anakusanya watu kuhitaji katiba-upumbavu na wazimu.

Never waste your time with these savages!

Yah,
Sometimes Freeman nae haeleweki.
 
Ni ama hakuna hatari kabisa au ipo ila mmeachwa muwe mbuzi wa kafara watu wapate mpunga toka kwa mabeberu
 
Kwa mfumo uliopo Tanzania ni ngumu sana kuithibiti covd

Tuna wananchi wabishi na viongoz wapumbavu
Corona haina hatari hiyo tunayo aminishwa kwenye vyombo vya habari na viongozi mambumbumbu.
Kinachofanyika ni janjajanja watu wapigwe pesa za mabeberu. Hata wao mioyoni mwao wanaujua ukweli huwezi simamisha maisha ya watu kwa kuwa Simba wa kuchora ameingia mtaani.
 
Hakika ni mambo ya ajabu sana kuona serikali inayowatangazia wananchi wake achukue taadhali ya maambukizi ya ugonjwa hatari wa corona ambao sharti moja wapo ni kuepuka misongamano.

Mbio za mwenge hutengeneza mikusanyiko na misongamano ya wananchi wengi sana usiku na mchana.

Matamasha ya muziki vivyo hivyp lakini bado serikali inaruhusu.

Kwani mambo yote hayo yangezuiwa kwa muda tungepata hasara gani?

Viongozi tusimjaribu mungi wetu.

JamiiForums-44495297.jpg
JamiiForums-1501226035.jpg
 
Achana na siasa na wana siasa, huwa wana sura mbili ya tatu wameiwacha nyuma
 
Ilitakiwa hata hizi shule zifungwe huu upepo upite maana hali sio hali kabisa.
 
Sasa umeandika nn, WHO washasema inabidi tuishi nalo

Ama hujui sasa hivi Euro tunaangalia na mashabiki
 
Njaa mbaya sana.serikari inakiri kolona ipo wakati kolona haipo tizii.hii misaada ya ugaibuni inalitesa taifa.
 
Back
Top Bottom