Man from cuba
JF-Expert Member
- May 2, 2021
- 571
- 1,394
Kuna watu bado wanashabikia upuuzi wa chanjo za wazungu mimi bado naamini huu ugonjwa ni vita vya kiuchumi RIP MAGUFULINyingi tu, juzi walitangaza kwamba zaidi ya raia 2,400 waliokuwa wamekwisha pata chanjo kamili ya KOVID baadae walikumbwa na maambukizi - yaani chanjo hizi type ya mRNA haziaminiki..
Wewe kijana fanyakazi achana na kuwaza mambo ya corona. Hujasikia WHO wameshasema tutaishi nayo hiyo Corona siyo ya kuisha leo wala kesho hata Hayati Magufuli alishasema Covid 19 tutaishi nayo kama magonjwa mengine kama Ukimwi n.k.View attachment 1848908View attachment 1848973
SOCIAL DISTANCING
Hakuna asiyejua hii ndo key element ya kupunguza maambukizi ya magonjwa yanayofanana na Corona. Nimeanza na hilo Tangazo hapo juu ili hili suala lieleweke kwa sababu tukiacha matangazo ya uwepowa Corona nchini ambayo yanahusishwa na "Kujenga Mazingira ya kupata misaaa" kutoka huko Duniani; lakini utekelezaji wa protocols za kuzuia maambukizi ya ugonjwa huu imekuwa ni kama Maigizo tu..
Na sasa hivi wanashirkiana na wale wa ufipa kabisaNyingi tu, juzi walitangaza kwamba zaidi ya raia 2,400 waliokuwa wamekwisha pata chanjo kamili ya KOVID baadae walikumbwa na maambukizi - yaani chanjo hizi type ya mRNA haziaminiki...
HahahahaHivi unawaamini hawa viumbe! Narudia umaskini mbaya sana! Mtu ni kiongozi wa nchi anatamka kuna corona tuchukue tahadhari lakini yeye kakusanya watu anawapa soga-caragabhao!
Jingine ni lile tapeli la Ufipa,linafukuza watu wasije mazishini wakati anakusanya watu kuhitaji katiba-upumbavu na wazimu.
Never waste your time with these savages!
Akili za kuambiwa changanya na zako mkuu, jiongeze watu hawajalazimishwa kwenda kwenye hayo matamasha ni mtu mwenyewe na uhamuzi wake.Maambukizi ya Corona na ripoti ya vifo iko juu,sasa hivi kuna matamasha yanaendeshwa na Clouds fm mfano jana ilifanyika Kigoma bado E fm tamasha la bar 2 bar mziki mnene limefanyika jana bado Nandi Festival.
Bado leo Simba na Yanga,hivi kwanini hatua zisichukuliwe kama wapinzani walivyokatazwa Mwanza? Hii nchi hii sijui viongozi wetu wana lengo gani na hii Coro a+Concerts
Machadema yakishiriki yatapigwa marufukuMaambukizi ya Corona na ripoti ya vifo iko juu,sasa hivi kuna matamasha yanaendeshwa na Clouds fm mfano jana ilifanyika Kigoma bado E fm tamasha la bar 2 bar mziki mnene limefanyika jana bado Nandi Festival.
Bado leo Simba na Yanga,hivi kwanini hatua zisichukuliwe kama wapinzani walivyokatazwa Mwanza? Hii nchi hii sijui viongozi wetu wana lengo gani na hii Coro a+Concerts
Kichwa chako kina ubongo au makamasi,na makongamano ya katiba yaliyokatazwa kwa sababu ya korona??Akili za kuambiwa changanya na zako mkuu, jiongeze watu hawajalazimishwa kwenda kwenye hayo matamasha ni mtu mwenyewe na uhamuzi wake.
Kabisa yaani wao wanajichanganyaHayo hayapelekei kusambaa kwa maambukizi ya corona,
Mikusanyiko kwa ajili ya kudai katiba mpya tu ndo hupelekea kusambaa kwa maambukizi ya covid!
Huu upuuzi wa hawa majambazi ya ccm wanaenda kuulipia soon
Kueneza uelewa kupitia makongamano na kueneza ujinga kwa watu kipi Bora?Machadema yakishiriki yatapigwa marufuku
Waeneza ujinga wapo huruKueneza uelewa kupitia makongamano na kueneza ujinga kwa watu kipi Bora?
Makongamano ya Katiba yanasambaza corona kwa kasi sana kuliko matamasha.Kichwa chako kina ubongo au makamasi,na makongamano ya katiba yaliyokatazwa kwa sababu ya korona??
Hapo sawa nimeelewaMakongamano ya Katiba yanasambaza corona kwa kasi sana kuliko matamasha.