Rais Samia: Serikali yenu ni sikivu, tutaangalia njia nzuri tunayoweza kufanya ili kikokotoo kisilete maneno mengi

Mbunge anayeendelea na ubunge asilipwe kwa mkupuo, mkupuo uwe kwa wale tu walioshindwa uchaguzi. Hawa wengine waendelee kutunziwa kama inavyofanyika kwa watumishi wa umma.
Hata wanaoishia njiani wasubiri wafike miaka 60
 
Bado jamii nayo na waganyakazi wana shida why do they not have the power to accuse?

Why kila kinachopitishwa hunong'ona chini chini wkt kila idara inayoathirika ina watu wajiitao mawakili wasomi?
 
Kiukweli suala la pensheni limepitwa na wakati na ni legal pyramid scheme.
 
Tatizo la kikokotoo ni zao la viongozi wabovu, wala rushwa, waoga, na wazandiki wa vyama vya wafanyakazi wakiongozwa na TUCTA baba lao. Police wao walishaona kikokotoo hiki ni kimeo ila hawakuwa na sehem tu ya kusemea kutokana na nature ya kazi yao km ilivyo kwa Jw. Ila hawa wafanyakazi wengine wenye vyama vya wafanyakazi ukiwauliza juu ya kikokotoo utaskia wakisema "hayo ni maoni ya wafanyakazi, walikubali wenyewe na wao kuwasilisha kwa serikali". Ni viongozi wa hovyo hovyo hivi hawapo kuwatetea wafanyakazi bali kutunisha matumbo yao.

Ona sasa jana police wamepata tu nafasi kidogo wakafunguka mbele ya rais na rais katoa neno. Lakini hao viongozi wa vyama vya wafanyakazi ni kujichekesha tu kwenye hafla wanazokaribishwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…