Rais Samia shika fimbo, wanataka kupitia mlango wa nyuma

Rais Samia shika fimbo, wanataka kupitia mlango wa nyuma

Mnahangaika na hangayaa wenu mwisho wa siku mnarudia kusema amuigee JPM..that man was talented..hana uswahl wa jk na hangayaa..endeleeni kutetea vibandiko vyenu huku nchi inazama kusikojulikana shwani nyiee..kwenye mausala ya taifa ukileta bias kisa huyu ni wa kwetu huyuu sio..ndo hayo sasa..na sasa hv watumish wa uma wanatakiwa wajulikane ni wa dini gani na kabila gani..shwain kabisaa..tutaelewana tuu
Kweli JPM was talented in dictatorship, kidnapping and killing opponents, silencing of critiques, remotely monitoring of the parliament and threatening of the judiciary. He was a corrupt leader, liar and social sycophant
 
Kweli JPM was talented in dictatorship, kidnapping and killing opponents, silencing of critiques, remotely monitoring of the parliament and threatening of the judiciary. He was a corrupt leader, liar and social sycophant
Hayo mambo ya mauaji Enzi za kikwete hazikuwepo hata SASA hivi Samia anawatesa wapinzani wake mfano Mbowe basi umeamua kuropoka Tu JPM was visionary leader basi tu ingawa anamapungufu yake huyu mama hamna kitu.
 
Mama unakumbuka Serikali ya JK ilivyoyumba? Ilianza kuyumbishwa Bungeni. Genge ambalo halikuridhishwa na ushindi wa JK 2005 likaungana na genge la mtandao wa JK lililokasirika kwa kukosa vyeo vinono na kuanza kuiandama Serikali Bungeni. Walikuwa wajanja: Hawakuwa wanamtaja JK wala kumshambulia. Tena walikuwa wanamsifia kwa maneno ya kinafki lakini wakaanza na Waziri wake Mkuu Lowassa, wakaja wakapukutisha Mawaziri mmoja baada ya mwingine. Serikali ikapwaya.

Mama kuna watu ambao hadi leo hawajaamini wewe ni Rais. Mwanzoni walitaka kukuita wa mpito. Wengine wanasema huna Awamu yako. Wengine wakasema usirekebishe kitu chochote. Lakini umesimama na umejiimarisha. Sasa wanataka kukuingia kwa njia nyingine. Wanaenda kulekule walipomuendea JK.

Wabunge wengi wanakupenda na ukiwa unaangalia TV na kuona sura zao wanavyoosaidia Serikali yako unaona kabisa inatoka moyoni. Hata wanapokosoa unaona kabisa ni kwa nia ya kusaidia. Ila wapo wachache wanne au watano hivi tukiwa nao huku mitaani hawakusemi vizuri. Wengine rekodi zao zipo. Hata wakiipiga Serikali yako wanawasumbua media na hizi TV za mtandaoni wawaposti.
Bahati nzuri unawajua na jamii inawajua.

Wawili wanasema eti iundwe Kamati Teule ya Umeme kuihoji Serikali yako (bahati nzuri Bunge liliipuuza hoja hii ya kizandiki lakini Mama sisi tunapendekeza Kamati Teule kubali iundwe iangalie masuala yote ya umeme kwa miaka 10 iliyopita halafu tuone nani ataumbuka kwa hapa tulipo leo). Kwenye miaka mitano ya Marehemu hakuna aliyefungua mdomo kuhusu Kamati Teule ya Bunge (ya kuchunguza sakata la wavuvi ingefaa).

Kuna wanaokuona wewe ni dhafu: Mswahili, mwanamke. Hawa wanajua kabisa kwamba umerithi li-Gridi mkweche na mgao hujauleta wewe na wanajua kabisa hata CAG mwaka 2019 alitoa kwenye taarifa yake kwanini umeme unakatikakatika. Taarifa akaileta Bungeni na ikawa mali ya Bunge. Mama hawa watu wanajua wanachofanya kuhoji kilekile CAG wao alichokitoleq maelezo. Mama, wanaokupamba kabla ya kuishambulia Serikali yako au Mawaziri wako ni wale wale wanaokung’ong’a ukiwapa kisogo.

Mama shika fimbo. Kuna mambo umuige Marehemu. Yule alikuwa Chuma haswa hakukubali atenganishwe na Serikali yake na Wateule kisa tu kapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa. Kuna Waziri mmoja wa Marehemu hadi leo ana laana ya kuchoma mitumbwi na nyavu zetu sisi baadhi ambao tunavua na kutufilisi. Hadi CCM ikasema atolewe. Marehemu aligoma kwasababu alitaka kazi hiyo aifanye mwenyewe. Ndio heshima ya Rais na heshima ya Urais. Waziri huyo huyo akachukua rula na kupima samaki mmoja mmoja kwenye kantini ya Bunge. Wabunge wakaja juu hadi Spika akaja juu.

Marehemu akasimama kidete. Wewe ndio unateua Mawaziri, Makatibu Wakuu, Wakuu wa Mikoa na viongozi wengine. Siku ukikubali kelele zikuamulie nani anaweza kazi na nani hawezi kazi, utakuwa huna Serikali. Wewe ndio muamuzi wa mwisho wa nani anakufaa, nani hakufai; nani anakusaidia, nani hakusaidii. Vijana mle ndani ya Bunge wataanza kupigana vikumbo vya 2030 na itakuwa kila siku ni kutaka kukwamishana na mwishowe kukukwamisha. Tunasema Kazi Iendelee.
Majukumu ya binge/wabunge ni yapi?
 
Mkuu!
mundaliku

Tume itaondoa hizi kauli tata ikiwemo ya kumuangushia Magufuli jumba bovu.

Kwa muda mfupi makamba aliokaa hapo wizarani madudu yamekuwa mengi.

Mkuu mundaliku
Tume pia itapitia record zoote za Maintenance schedules za Tanesco tangia 2015.ili kujiridhisha kama kweli mitambo ilikuwa haitengenezwi kama anavyodai makamba

Tume pia itaangalia kiini cha kuivunja bodi ya awali ya kina Profesa mruma wabobezi wa fani hiyo.
Waliokuwa na mafanikio mazuri na kuwaleta kina Gachuma na Mchechu wa NHC zamani, ambao kitaaluma ni mambumbumbu wasio wataaluma wa fani hiyo.

Pia tume itaamgalia kwa nini makamba kwa muda mfupi ameingia kwa kasi mikataba miwili ya mabilioni isiyo na tija kwa watanzania wala Tanesco.

Tunapoongea...hatukurupuki bali tuna hasira na wapigaji.

Tume iundwe na hilo bunge la majizi ya kura? Wakati dhalimu ananajisi uchaguzi na kujaza bunge la makondoo mlimsifia, saa hii bunge limefanywa kibogoyo ndio mnajifanya mna hasira. Acha kundi la wajanja wa mjini (msoga line) wanaoiba huku wakijifanya wastaarabu watupige, kuliko kupigwa na lile kundi haramu la mapeasant wa sukuma gang chini ya kiongozi dhalimu.
 
Majukumu ya binge/wabunge ni yapi?

Bunge lililopatikana kwa wizi wa kura haliwezi kuwa na meno. Wakijifanya wanahoji lolote kundi la Msoga line chini ya chief Hangaya linachomoa battery.
 
Kweli JPM was talented in dictatorship, kidnapping and killing opponents, silencing of critiques, remotely monitoring of the parliament and threatening of the judiciary. He was a corrupt leader, liar and social sycophant
What about now! Parliament isn't monitored? People aren't killed? Is there any political freedom? Kidnapping? Are you following what is happening right now?? Police aren't killing innocent people?? Hey!! You are disgusting! Rubbish! Keep your uselless mouth closed please!
 
Mama unakumbuka Serikali ya JK ilivyoyumba? Ilianza kuyumbishwa Bungeni. Genge ambalo halikuridhishwa na ushindi wa JK 2005 likaungana na genge la mtandao wa JK lililokasirika kwa kukosa vyeo vinono na kuanza kuiandama Serikali Bungeni. Walikuwa wajanja: Hawakuwa wanamtaja JK wala kumshambulia. Tena walikuwa wanamsifia kwa maneno ya kinafki lakini wakaanza na Waziri wake Mkuu Lowassa, wakaja wakapukutisha Mawaziri mmoja baada ya mwingine. Serikali ikapwaya.

Mama kuna watu ambao hadi leo hawajaamini wewe ni Rais. Mwanzoni walitaka kukuita wa mpito. Wengine wanasema huna Awamu yako. Wengine wakasema usirekebishe kitu chochote. Lakini umesimama na umejiimarisha. Sasa wanataka kukuingia kwa njia nyingine. Wanaenda kulekule walipomuendea JK.

Wabunge wengi wanakupenda na ukiwa unaangalia TV na kuona sura zao wanavyoosaidia Serikali yako unaona kabisa inatoka moyoni. Hata wanapokosoa unaona kabisa ni kwa nia ya kusaidia. Ila wapo wachache wanne au watano hivi tukiwa nao huku mitaani hawakusemi vizuri. Wengine rekodi zao zipo. Hata wakiipiga Serikali yako wanawasumbua media na hizi TV za mtandaoni wawaposti.
Bahati nzuri unawajua na jamii inawajua.

Wawili wanasema eti iundwe Kamati Teule ya Umeme kuihoji Serikali yako (bahati nzuri Bunge liliipuuza hoja hii ya kizandiki lakini Mama sisi tunapendekeza Kamati Teule kubali iundwe iangalie masuala yote ya umeme kwa miaka 10 iliyopita halafu tuone nani ataumbuka kwa hapa tulipo leo). Kwenye miaka mitano ya Marehemu hakuna aliyefungua mdomo kuhusu Kamati Teule ya Bunge (ya kuchunguza sakata la wavuvi ingefaa).

Kuna wanaokuona wewe ni dhafu: Mswahili, mwanamke. Hawa wanajua kabisa kwamba umerithi li-Gridi mkweche na mgao hujauleta wewe na wanajua kabisa hata CAG mwaka 2019 alitoa kwenye taarifa yake kwanini umeme unakatikakatika. Taarifa akaileta Bungeni na ikawa mali ya Bunge. Mama hawa watu wanajua wanachofanya kuhoji kilekile CAG wao alichokitoleq maelezo. Mama, wanaokupamba kabla ya kuishambulia Serikali yako au Mawaziri wako ni wale wale wanaokung’ong’a ukiwapa kisogo.

Mama shika fimbo. Kuna mambo umuige Marehemu. Yule alikuwa Chuma haswa hakukubali atenganishwe na Serikali yake na Wateule kisa tu kapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa. Kuna Waziri mmoja wa Marehemu hadi leo ana laana ya kuchoma mitumbwi na nyavu zetu sisi baadhi ambao tunavua na kutufilisi. Hadi CCM ikasema atolewe. Marehemu aligoma kwasababu alitaka kazi hiyo aifanye mwenyewe. Ndio heshima ya Rais na heshima ya Urais. Waziri huyo huyo akachukua rula na kupima samaki mmoja mmoja kwenye kantini ya Bunge. Wabunge wakaja juu hadi Spika akaja juu.

Marehemu akasimama kidete. Wewe ndio unateua Mawaziri, Makatibu Wakuu, Wakuu wa Mikoa na viongozi wengine. Siku ukikubali kelele zikuamulie nani anaweza kazi na nani hawezi kazi, utakuwa huna Serikali. Wewe ndio muamuzi wa mwisho wa nani anakufaa, nani hakufai; nani anakusaidia, nani hakusaidii. Vijana mle ndani ya Bunge wataanza kupigana vikumbo vya 2030 na itakuwa kila siku ni kutaka kukwamishana na mwishowe kukukwamisha. Tunasema Kazi Iendelee.
njaa tu inakusumbua
 
Tume iundwe na hilo bunge la majizi ya kura? Wakati dhalimu ananajisi uchaguzi na kujaza bunge la makondoo mlimsifia, saa hii bunge limefanywa kibogoyo ndio mnajifanya mna hasira. Acha kundi la wajanja wa mjini (msoga line) wanaoiba huku wakijifanya wastaarabu watupige, kuliko kupigwa na lile kundi haramu la mapeasant wa sukuma gang chini ya kiongozi dhalimu.
Anataka watishie kujamba wakati wana mharisha.🤣🤣
 
Hayo mambo ya mauaji Enzi za kikwete hazikuwepo hata SASA hivi Samia anawatesa wapinzani wake mfano Mbowe basi umeamua kuropoka Tu JPM was visionary leader basi tu ingawa anamapungufu yake huyu mama hamna kitu.
Mbowe anateswaje? Ametuhumiwa ugaidi na kesi iko Mahakamani? What's wrong? Mbona unaandika bila kushirikisha ubongo wako? Au huna ubongo
 
What about now! Parliament isn't monitored? People aren't killed? Is there any political freedom? Kidnapping? Are you following what is happening right now?? Police aren't killing innocent people?? Hey!! You are disgusting! Rubbish! Keep your uselless mouth closed please!
Sasa ndiyo umeandika nini? Unakuja JF na stress zako unategemea tukusaidie kupunguza? No way!! Mention who has been kidnapped by Madam Samia and I will tell you how many were kidnapped by order of Magufuli!

Tell me who has been killed by Samia instructions and I will put up a list of the likes of Ben Saanane, Azory Gwanda etc. We are talking about state soonsored killings if critiques not people killed by accidents
 
Mnahangaika na hangayaa wenu mwisho wa siku mnarudia kusema amuigee JPM..that man was talented..hana uswahl wa jk na hangayaa..endeleeni kutetea vibandiko vyenu huku nchi inazama kusikojulikana shwani nyiee..kwenye mausala ya taifa ukileta bias kisa huyu ni wa kwetu huyuu sio..ndo hayo sasa..na sasa hv watumish wa uma wanatakiwa wajulikane ni wa dini gani na kabila gani..shwain kabisaa..tutaelewana tuu
aisee shwaini wa kwanza ni wewe uelewe hilo usiye na ustaarabu
 
Haya majamaa ni mabingwa sana ya nongwa na kujipendekeza , ilitakiwa wamshauri mama yao kwamba za kuambiwa achanganye na za kwake ni kweli hakuna wanaopenda mafanikio yake na ni kweli kabisa kwamba kuna ambao wanamchukulia poa kwakuwa tu ni mwananmke, na ni kweli kuna ambao bado hawaaamini nkama jiwe alishaondoka, combinenga yooote hii inaufanya uongozi wake kuwa mgumu sana. Nakubaliana na hoja kwamba naye awe chuma lakini kwenye mambo ya msingi na asionee watu kwa hear say
Awe chuma mara ngapi?. Kuwa chuma sio lazima kufokafoka. Kila kiongozi ana staili yake ya uongozi.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Mheshimiwa kesho unakuja kufungua chuo cha kidiplomasia cha Mwalimu Nyerere, ila huku kwetu maji hakuna mama.
 
Back
Top Bottom