Rais Samia shika fimbo, wanataka kupitia mlango wa nyuma

Imbecile!!
 
Habari yako mh Makamba.
 
JANUARY MAKAMBA anatetea kibarua chake
 
West Africa bana .... !
Kamanda Doumbia kajipa miaka mitano kwanza Madarakani.... ! 😆
 
Bwana JUMA JUMA,vipi safari ya Marekani kwetu vijana wa Kawe aliyotuahidi Gwajima ipo???[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Musukuma huwa anakodi na wakati mwingine anakodishiwa vyombo vya habari virushe mambo yake ya kumpinga Samia, mwingine Kalemani, Polepole, na Luhaga mpina, hawa watu ni wabaya sana, mama awaangalie, na ikibidi 2025 awakate, wasigombee
 
Kwa ule ukatili nyie mnaomsifia msifieni tu.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
Huoni kumtesa Mbowe,mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani ni ukatili uliopitiliza,kila MTU anajua mbowe sio kaidi na kuwafunga wale wanachama wa chadema kule Mtwara je?mama ni katili Sana kumtesa MTU ambaye siyo Gaidi hafai kuwa Rais wetu SASA hivi.tunamtaka Rais ambaye atakuwa Rais wa watu wote.
 
Bunge lenu wenyewe, fimbo ya nini, si mlikua mnataka bunge la chama chenu ili muwe huru kuamua mambo yenu, amueni sasa msitupigie kelele na milango yenu ya nyuma mtajuana wenyewe
 
Hilo la Mbowe sidhani kama ni kwa utashi wake. Hata hivyo siungi mkono ukatili wowote bila kujali anayeutenda.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Musukuma huwa anakodi na wakati mwingine anakodishiwa vyombo vya habari virushe mambo yake ya kumpinga Samia, mwingine Kalemani, Polepole, na Luhaga mpina, hawa watu ni wabaya sana, mama awaangalie, na ikibidi 2025 awakate, wasigombee
Hadi wanafanya hayo that means na wao kuna namna wamejipanga. No confidence that comes from nowhere.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Nimebanwa kicheko sana na neno hili la "Mama shika fimbo" Daah aise nchi hii ina vituko...chadema wanasemaje kuhusu huu msemo huu wa mama akamate viboko!
 
Ut
Utakuta wewe nae unayo familia unaitwa baba.
Ishu ya uongozi wa kikwete nayo ni kitu cha kuzungumzaa kweli kuwa kikwete alihujumiwa?
Inawezekana baadhi ya sehem zako za mwili hazijakamilika.
Kikwete hakuwa mwizi kihivyo ila aliwaacha wezi wakajenga mabanda ya wizi na ndilo kosa lake.
Na kama unabisha twambie wewe uliiba ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…