Rais Samia shikilia hapohapo, usirudi nyuma. CHADEMA hawahitaji kubembelezwa

Rais Samia shikilia hapohapo, usirudi nyuma. CHADEMA hawahitaji kubembelezwa

Na hizo kauli za mdude zilikuwa za kishenzi na kukosa utu bana Mama was so fair, mtu uliyepona kifungo Cha maisha inaanza kutoa kauli mbovu ni kukosa akili, same applies to mbowe eti hataki subira lazima litekelezwe haraka hapo ndio aliharibu walivoona wanasikilizwa na kutokufamyiwa mbaya na Rais wakachukulia ni udhaifu, acha Sasa wanyolewe, CDM need to change their strategies ka hii ya ku crash government imefail waje na new strategy bila hivo watakuwa wanataka chafua tu nchi ikose misaada na wao kutokufata Sheria wakitegemea wahisani wawasaidie ni ujinga, mfano huko mwanza wameambiwa mikusanyiko marufuku kwanini wa force, mbowe mwenyewe alikataza watu msibani kisa coronavirus why Mwanza wakusanyike, walikuwa Wana mu bip mama Sasa kawapigia
cariha usichokijua ni kwamba,siku zote CDM huwa hawapendi kabisa hoja zao zitatuliwe bila kuleta vurugu maana huwa wanahisi kama vile jamii itawapa sifa watekelezaji na sio wao.Kuhusu katiba,walipoona mama hajakataa hoja yao (katiba mpya) na yuko tayari kuitekeleza wakaona kwamba atapata sifa sana hivyo basi wanaamua kutafuta mwanya wa kumjaza simu Rais Ili akiwagusa ionekane kwamba wao ndo wanataka katiba na Rais hataki.

👉🏿Kumbuka waliwahi kulaumu nchi kuwa ndege mija,ila ziliponunuluwa waliponda.

👉🏿Wanalalamika kusuhu upole wa JK,ila Magu alipokaza wakabadilika😂.

👉🏿Walidai kuleta elimu bure,ilipoletwa na CCM inaonekana ni mbaya.

👉🏿Walilalamika kuhusu vyanzo vya umeme wa uhakika,ila mradi wa ujenzi wa bwawa la Nyerere ulipoanza wakaupondea.

👉🏿Walisema shirika la reli limekufa,ujenzi wa SGR umeanza wakaupondea,na mengine meeeengi.

Kwahiyo kizuri chochote kitakachofanywa NA CCM kwao hugeuka na kuwa kibaya hata kama waliwahi kukidai,huwa wanataka CCM ifeli kujifanya ili wapate misemo majukwaani.

NB; Huwezi kuwaridhisha CDM, dawa yao ni kuziba masikio na kuwapa like wanachostahili.
 
Mama Samia kwanza nikupe hongera kwa kuwa hadi sasa umeonyesha ukomavu mkubwa sana kwenye uongozi wako.

Kwa lugha nyepesi tunasema "sasa umeiva", mwanzo ulivyoanza kiukweli ulianza kutupa wasiwasi Kama ungeweza kweli kwa kuwa ulionekana kama unahitaji sana kubembeleza yale magenge.

Mama katika nchi hizi za Africa haiwezi kuja kutokea Maendeleo kwa kubembelezana na kuvumilia wanasiasa uchwara. Gia uliyoingiza sasa nenda nayo hiyohiyo nakuhakikishia utafika salama pale unapotaka kwenda.

Hawa wanasiasa uchwara wa chadema ulijaribu kama kuwabembeleza hivi mwanzoni, lilikuwa kosa kubwa sana kwako.

Hawa watu hawajahi kuwa na shukrani kwa mamlaka na siku zote huwa hawaheshimu mamlaka.

Hivyo nakuomba endelea kuwapiga pin hivihivi mpaka maji waite mma, usije kuwapa nafasi tena ya kufanya huu ujinga unaitwa katiba mpya.

Peleka vikosi vya polisi popote wanapokusanyika, Yani iwe bampa to bampa.
Kwa kweli awaadabishe zaidi,ina mikelele sana hii mijitu,haina jema wao ni kulalama tu
 
Hahahaaa

Unaona ulivyo na kichaa?

Shule aliyoenda Musukuma kapata mamlaka yanayomtesa badala ya kumsaidia kutawala kwa haki?

Ni rahisi sana kutawala kwa ujinga kama mnaofanya kwa wenye IQ ndogo kama nyie...Ila it takes higher IQ and proper brain to lead kwa haki na rule of law!

Yaani kutawala unategemea siku ulivyoamka?

The most dumbest thing I have ever heard yaani.....eti siku umeamkaje?Like really?

Ndio maana tunataka katiba mpya kuondoa huu ukichaa
Nyenyekea wenye mamlaka dogo,huna la kufanya.Unatambia shule ambayo mpaka leo haijakupa unachohitaji?
 
Tangu lini haki inapatikana kwa kunyenyekea?

Taja mfano mmoja kwenye historia waliokua oppressed walinyenyekea kupata haki zao?

Huo mfano haupo

Rais hajatukanwa popote na kwanza ni kupoteza muda kumtukana rais,haina faida na ni counter productive

Walichofanya opposition ni kutumia haki yao kikatiba kukutana na kudiscuss whatever they think is correct with them maana uhuru wa kukutana na expression ipo kwenye katiba kama fundamental right

Cha ajabu watu wanapotumia haki zao rightfully kuna mtu anaitwa Samia anakua emotional na offended personally which is none of opposition's business

Samia kukasirika ni useless kwenye huu mjadala na ni too bad she cant be helped maana watu rightfully wanafanya haki zao

Ingekua tofauti kama wamevunja katiba,which is another issue,na mtoa adhabu ni mahakama sio Samia

Nendeni kwa Michael Jordan Kikwete awape IQ yake maana shule mlifeli,hamna akili yeyote,mpo useless kama lile li marehemu lilokufa,lilikua halina ubongo,linakimbilia majibu rahisi ya kipumbavu nchi ikageuka North Korea ambayo we are paying economic price mpaka leo hii hadi kesho na keshokutwa

Tumieni akili,tuliwasomesha,hapa mtajaza magereza kwa kesi za wataka katiba,hivi kwa mwenye akili hizi ni kesi zenye mantiki kweli au nyie ni vichaa?

Jibuni hoja acheni kua vichaa,vichaa hua hawavuni chochote,mnavuna concenquences za matendo na maamuzi yenu ya ukichaa kupambana na watu wanaotumia haki zao

Sijui shule mlienda mkapata ngapi kwakweli?Maana hamtumii ubongo kabisa,mtavuna ujinga kwenye bongo zenu,always kuna concenquences za maamuzi ya kijinga kama ya Magufuli
I respect your analysis but CHADEMA inakosa wazee wenye busara. Zamani kulikuwa akina Mzee Mtei, Makani (RIP), Mchata nk. Hawa wangeweza kuwatuliza CDM Waka move vizuri.

Ila hicho wanachokitaka cha kumuamrisha Rais SSH acheze ngoma yao siyo sahihi. Rais ni Taasisi, tutamlinda Rais wetu kwa namna yeyote.

Wote tupo Tanzania tunaona mabadiliko na Rais kwa staha kasema nipeni muda nipange uchumi ndipo nije kwenye Katiba, wanaanza kumjibu JEURI.

AFRIKA hakuna Rais wa hivyo!!
 
Ndio maana tunataka katiba mpya sababu ya huu upumbavu unaosemea hapa

Mamlaka sio ya mtu binafsi,hatutaki kunyenyekea yeyote,Mamlaka nu yetu wananchi,sio yenu

Tunataka Katiba mpya

kama hii kudai katiba mpya imewaudhi nyie binafsi,hilo ni tatizo lenu binafsi halituhusu maana hatujavunja sheria yeyote

Katiba inahitajika mpende msipende,sio yenu ni yetu....
Hapo unaposema "tupende au tusipende" ndo unapokosea.

Katiba mnayoitaka haitapatikana kwa kuitaka nyinyi pekeyenu.
 
Kifo ni kifo tu ila tofauti ipo kwenye mazishi, kwahiyo nakushauri tafuta fedha usije kufa kibudu.
Kodi tunazolipa manispaa au halmashauri za miji/majiji zipo kwa ajili ya sisi tusio na fedha.

Shida ninyi mnawachukulia hawa viongozi wenu as if ni miungu fulani - Magufuli na majigambo yake yote yale yu wapi sasa? 6 feet under!!

Lissu ambaye alitakiwa afe - yupo anadunda kibabe na lazima atakuja kuwa rais nchi hii.
 
Hahahaha

Sasa unadhani mwananchi akisema anataka katiba wewe maiti kijakazi unabisha kama nani?

Upende usipende mwananchi anataka katiba yake mpya yenye utu

Hayo mengine unayosema ni personal emotions zenu which are useless and childish

Eti "unaposema upende usipende"....Nigga ondoeni utoto hapa
Naona unajaribu kulazimisha mknd wako utafune muwa na sio kazi uliombiwa.

Wewe kama unaona ninayokwambia ni utoto,chukua hatua tukuoe na sio kubweka huku kwenye fake I'd.
 
Kodi tunazolipa manispaa au halmashauri za miji/majiji zipo kwa ajili ya sisi tusio na fedha.

Shida ninyi mnawachukulia hawa viongozi wenu as if ni miungu fulani - Magufuli na majigambo yake yote yale yu wapi sasa? 6 feet under!!

Lissu ambaye alitakiwa afe - yupo anadunda kibabe na lazima atakuja kuwa rais nchi hii.
Anandunda huku akimalizia muda wake ambao alipangiwa kuishi hapa duniani,kama nakosea nisahihishe kwa kuniambia kuwa ataishi milele.

Swala la yeye kuwa Rais wa hii nchi labda apitie CCM.
 
Nimesoma comments na nimeishia kujua wengi wetu we don't seem to know what we are for,,but we know what we are against 😃...
 
Unaona sasa

Ushakua personal na emotions kama mwanamke alieachika

Mkuu,relax

Matusi ya mknd na blah blah zingine zinaonesha ubongo wako una matatizo makubwa

Sibweki,nasema fact

Tunataka katiba mpya,thats the bottom line,mengine ya kuanza kulia lia na kuua watu ni childish emotions zenu

Mimi nina fake ID na wewe una fake ID,who the fvck are you to lecture me about fake IDs?

Ni hivi,katiba mpya tunaitaka,mpende msipende,ueni,tekeni watu,fungeni watu,pigeni mayowe mpaka mchoke,katiba inahitajika very fast

Sisi wenye nchi tumesema,nyie vijakazi nchi sio yenu ni yetu sisi wananchi....kazi ndio kwanza imeanza
Ulichoniquote kina mistari miwili,jibu lako ni gazeti. Mimi na wewe na kapanick? Ingia mtaani ukadai katiba mpya.
 
Anandunda huku akimalizia muda wake ambao alipangiwa kuishi hapa duniani,kama nakosea nisahihishe kwa kuniambia kuwa ataishi milele.

Swala la yeye kuwa Rais wa hii nchi labda apitie CCM.
Lakini Lissu hajipi misifa ya kijinga kama alivyokuwa akifanya Magufuli. Magufuli alivyokuwa akitamba nasikia ninyi wafuasi wake (mkiongozwa na Chalamila) hamkuamini mungu wenu amekufa.

CCM hakuna chama pale - toa polisi kwisha habari yake. Kuna chama cha ukombozi nchi hii kinakuja na Lissu atakuwa prezidaa mtake msitake!
 
Mkuu

Hili ni wazo lako,na hao wazee sio unilaterally wanapangia CDM ifanye nini,ni wanakutana hoja inawekwa mezani,hoja yenye nguvu inapita

Hakuna cha mzee gani ana umri mkubwa then ana akili kubwa,thats nonsense

Unachokisema si kweli

Mkuu

Nashangaa unaposema rais analazimishwa....

Alazimishwe yeye ndio anakatiba?Hana katiba yeye

Katiba Mpya ni mali yetu mchakato uanze upya,story kwamba yeye ndio ana katiba kwenye mikoba yake ni stupidty

Rais au Taasisi yake haina katiba yetu,haipo huko,haipo serikalini,tunataka mjadala urudi bungeni mambo yaendelea kimfurahishe au kisimfurahishe

Rais hajaamrishwa popote maana yeye hana hiyo katiba,na SSH kucheza ngoma ya yeyote haituhusu,kinachotakiwa ni majibu sahihi sio eti unapotaka wewe wakati sisi wananchi tunaitaka

Umlinde kufanywa nini?Hakuna alietishia uhai au chochote kwa rais,ni nyie kua emotional pale watu wanapoleta madai legimate kuhusu katiba yao,yajibiwe kwa usahihi

Kumlinda kwa lipi?Kuna mtu anataka kuua rais maana hakuna faida yeyote ya kuua rais Tanzania ni kupoteza muda na hasara

Kama kumlinda rais ni kwenye kukuta watu wanatumia uhuru wao wa kukusanyika na expression then mnawaua na kuwafunga,sisi ndio tunatakiwa tuwalinde against you

Nyie ndio hatari mnaoua watu wasio na hatia,tuwalinde hawa watu against you killing them.

Wao ndio wanahitaji ulinzi na sio rais wenu anaewaua

Vichaa nyie
Wanaotaka Katiba wako wapi? Jamii Forums na Twitter??

Hata mimi naitaka lakini lazima niheshimu Serikali iliyoko madarakani.

Msiwajaze wanaharakati upepo wakati hamuwezi kuingia Barbarani. Mbowe yupo ndani kuanzia Jana, na Lissu akiwa Belgium kaagiza muingie mtaani mukaandamane. Nipo Kisutu hapa sioni mtu.

Pumbavu zenu sana
 
Mama Samia kwanza nikupe hongera kwa kuwa hadi sasa umeonyesha ukomavu mkubwa sana kwenye uongozi wako.

Kwa lugha nyepesi tunasema "sasa umeiva", mwanzo ulivyoanza kiukweli ulianza kutupa wasiwasi Kama ungeweza kweli kwa kuwa ulionekana kama unahitaji sana kubembeleza yale magenge.

Mama katika nchi hizi za Africa haiwezi kuja kutokea Maendeleo kwa kubembelezana na kuvumilia wanasiasa uchwara. Gia uliyoingiza sasa nenda nayo hiyohiyo nakuhakikishia utafika salama pale unapotaka kwenda.

Hawa wanasiasa uchwara wa chadema ulijaribu kama kuwabembeleza hivi mwanzoni, lilikuwa kosa kubwa sana kwako.

Hawa watu hawajahi kuwa na shukrani kwa mamlaka na siku zote huwa hawaheshimu mamlaka.

Hivyo nakuomba endelea kuwapiga pin hivihivi mpaka maji waite mma, usije kuwapa nafasi tena ya kufanya huu ujinga unaitwa katiba mpya.

Peleka vikosi vya polisi popote wanapokusanyika, Yani iwe bampa to bampa.
wee muhaya unazengua tumia akili, acha njaa na mihemko, ugali unaohisi utakuponyoka kwa kufadhiliwa na ccm kisa ya katiba mpya kudaiwa hautakuponyoka.

Bali katiba mpya ikipatikana utaupiga ugali mwingi zaidi ya huo wanaokulisha ccm.
 
Nakujibu in deep kukuonesha hili suala la Katiba Mpya ni personal kwa wananchi

We dont take your stupidity na childish emotions kwenye katiba yetu tunayotaka

Mimi sio mwanasiasa wala kiongozi wa kijamii popote

Ila Katiba Mpya ni so important to me personally

Mtawachukua wote na itafika siku sisi wananchi tutapaza sauti ndio itakua end of your regime

Katiba Mpya ni so personal to me kama mwanadamu wa Tanzania....

Napoona mnavyoua watu sababu wana discuss hii kitu nazidi kuwashangaa maana ni mazamu

Leo mmeanza nao..mwisho itakuja kwetu pia kwenye mstari wa kuchinjwa....of which we are waiting our turn.

Ila Katiba mpya ipatikane...regardless mna hasira,matumbo yanawauma,sijui mmechoka,sijui mpo period,etc...We dont give a fvck!
Katiba ya kufikirika.
 
Ila wewe unapaswa kubembelezwa ili uiache akili yako pale geti la kijani.
1626942895281.png

mliacha akili zenu wap kabla hamjafika kwenye ile ofisi yenu pendwa
 
wee muhaya unazengua tumia akili, acha njaa na mihemko, ugali unaohisi utakuponyoka kwa kufadhiliwa na ccm kisa ya katiba mpya kudaiwa hautakuponyoka.

Bali katiba mpya ikipatikana utaupiga ugali mwingi zaidi ya huo wanaokulisha ccm.

naona kenya na south africa wanapiga ugali mwingi kweli sioni sababu ya wao kuja kuchukua maindi uku, ama unasemaje heche?
 
Hapo kuna hoja ipi,ama ndio kufilisika kwenyewe,kiasi cha kuanza kutegemea mtutu.

mbna kama unataka kuniwekea maneno, si ni maneno ya viongozi wenu ambao wameshika akili zenu mbna kama unataka kunikasirikia
 
Hahahahaa

Ingekua ni Katiba ya Kufikirika msinge ua watu

Nakwambia hivi,mtuue wote 60mil people

Katiba ni serious kupita maelezo,na hili mnalijua ndio maana mna hofu mpaka matakoni
Belgiji kasema andamaneni kumdai Mbowe wenu

Mbona hatuwaoni huku road?
Screenshot_20210721-172136_Twitter.jpg
 
Back
Top Bottom