Rais Samia shikilia hapohapo, usirudi nyuma. CHADEMA hawahitaji kubembelezwa

Rais Samia shikilia hapohapo, usirudi nyuma. CHADEMA hawahitaji kubembelezwa

Dawa safari hii inawaingia taratiibu sana
Ameanza kuandamwa na haki za binadamu mda wote atachomolewa urais. Dunia siyo ya ubabe tena hii. Si unaona jpm amepewa sumu fasta baada ya kuongoza kibabe. Sasa mshauri samia hivyohivyo uone hata mwaka kama utaisha kabla mpango hajawa raisi.
 
Unadhani tunaandamana unavyotaka wewe

Wananchi wanaandaliwa,step inch by inch mpaka tunafikia brink

Sio hutegemei kabisa ndio unaona rundo la watu....mkuu hivi unadhani wanajeshi wako watakuokoa muda huo?

Tunataka katiba yetu,regardless una jeshi kubwa kiasi gani

Jeshi haliwezi kukusaidia kujibu hoja za watu mzee....kamuulizeni Kikwete awape akili maana mnazidi kufeli mno kama lile limarehemu lenu
Mkuu!

Yani unaongea kwa hasira kwamba mnataka katiba yenu kama vile unamwambia mtoto wako arudishe hela aliyoiba!

Mpaka tunafika 2025 na tutavuka zaidi ya hapo hutaona kitu kinachoitwa katiba mpya
 
mbna kama unataka kuniwekea maneno, si ni maneno ya viongozi wenu ambao wameshika akili zenu mbna kama unataka kunikasirikia
Naanzaje kuwakasirikia wanaotua akili zao geti la mtaa wa kijani, kwa kuwa wao wanahitaji chakula kufikiria na sii akili.
 
Mkuu

Katiba ni yetu sisi wananchi na ndio tunayoitaka

Nyie hamna katiba yetu,nyie ni vijakazi wetu na hamuwezi kutupangia

Katiba Mpya ni very personal to me kiasi kwamba nashangaa watu wazima kama wewe na Samia mnaamini kuua watu ndio solution ya kujibu hoja

Ni hivi,mtatuua wote milioni 60 mbakie bila wananchi

Katiba ni yetu sisi wananchi wenye madaraka,sio yenu nyie

Mwaka 2025 umejisemea wewe,muda huo labda mtuue wote kabisa nchi nzima

Katiba mpya tutai discuss kila siku popote,sio kwenye TV sio kwenye space,sio youtube sio kwenye hotels,sio whatsapp,sio JF,sio majumbani kwetu,nk

Hamuwezi tuziba midomo tusiongee

Na ushahidi ni huu uzi tunaoujibu hapa,ni discussion tosha ya katiba na mwendo ni huu huu muda wote,hakuna siku hamna uzi wa discussion ya Katiba humu JF

Sehem zote discussions ni hizi hizi,nyie against us,uzuri hamna hoja zenye nguvu ndio uzuri

Mnaongea uuaji mtupu as if ndio hoja,nonsense

Yaani mnafeli mnoooo
Nani kauuwa?

Sehemu zote ni zipi zinazoongea katiba tu? Kwa kigogo, maria na fatuma karume?

[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu kuwa seroius nioneshe ni wapi hao wananchi wanapodai hiyo katiba mpya?

Hao wanachi hawakuchoka kwa lolote mbele ya Magu sembuse huyu mama?
 
Mkuu

Wannachi majumbani mwao wanaongelea Katiba Mpya

Mkuu,worldwide jana breaking news wanajua Tanzania opposition ipo detained sababu wanadai katiba mpya

Mkuu,mijadala kwenye maTV kila mwanasiasa akihojiwa kuna pahali atazungumzia katiba mpya

Mijadala ndio imeanza baada ya upumbavu mlioanza jana

Na mind you,Mwanza watu wapo,mtafanya kila kitu ila watafanya mkutano regardless ya siku

Another proof ni threads za katiba mpya zinavyoongezeka humu JF na mitandao mingine yote

Plus,watu wenye nguvu TZ wanaongelea katiba mpya sio warioba sio mwanasheria mkuu wa zamani,etc

Maria na Fatuma na Kigogo,etc ni watu wenye nguvu upende usipende,ukubali usikubali,wana command internet following more than all CCM leaders online put together...

Mijadala yao ina nguvu,na wala usijiweke hapa kwa dharau ukadhani numbers dont prove this

Magufuli alikuwepo,kaua watu,kafanya vyote alivyofanya cha ajabu activists ndio waliongezeka online na mijadala ilikua too extreme maana kila mtu alikua anamchukia Magufuli na enablers wake

Mama ana potential ya kupendwa kama Kikwete ila path anayoenda nayo anarudi kule kule kwenye repressive state ambayo inam-cost nguvu zake mno na ni very exhaustive na ni very hard to govern,physically and mentally.....magufuli physically alishindwa akafa kwa moyo kupasuka

Mama physically and mentally atashindwa tu,huwezi kutawala kwa kuua na kulazimisha watu wasijadili kitu,ni uongo na very poor level of thinking and governing

Mwanza ni uuaji uliotokea,nothing less...Na wananchi tunasikia taarifa zote na uonevu wote,usidhani hizi zinasaidia serikali kupendwa,never!
Lakini hizi threads either kupinga/ku-support katiba ni ID zilezile 20 hazifiki,,?!huoni kuna manufactured support/outrage kuhusu hii mada?
 
Mkuu sina affiliation and All I see in this answer is a rollercoaster of emotions filled with ad hominem attacks..Anyway siku njema
Mkuu

Kinacho matter hapa,hata nyie wapingaji nyie nyie ID zile zile 20 hazifiki

Mkuu

Jifunze kitu,jifunze internet analytics,uelewe mambo

Revolutions zote nchi zote zilianza kwenye internet hasa Twitter,hili unalijua

Hii kasumba ya kimaandazi kusema eti "hawa si wananchi,hawa ni vichaa wa twitter tu,hawana lolote" ilizi costs dozens za nchi zilizokua zinakataa matakwa ya wananchi

Mkuu

Mijadala ina hit online kwa IP za Tanzania ni Katiba Mpya na Tozo,hili hujui maana wewe ni kilaza

Pili,usije jidanganya eti hawa si wananchi ni viwatu vya twitter na JF na insta and blah blah blah

Mkuu sisi wa online ndio tuna mamlaka kwenye familia zetu maana sisi ndio tuna vipato zaidi ya wale ambao hawapo online

Sisi ndio tuna maamuzi kwenye familia zetu na ushawishi mkubwa kuliko yeyote,tunachokitaka inatakiwa uwe very careful maana tunaushawishi mkubwa huku offline

Hii ndio maana revolutions zote sio Egypt,Morrocco,Belarus,etc zilianza Twitter kama utani

Mnachokiona hapa hizo ID 20 sio watu 20,hawa watu ni watu wakubwa wenye power kwenye jamii kuanzia ngazi za familia,kazini,etc...wana power ya ushawishi mkubwa

Acheni ukichaa kabisa yaani
 
Hahahahaa

Ingekua ni Katiba ya Kufikirika msinge ua watu

Nakwambia hivi,mtuue wote 60mil people

Katiba ni serious kupita maelezo,na hili mnalijua ndio maana mna hofu mpaka matakoni
Wewe kama unataka kufa ingia barabarani,maswala ya kusema muuliwe wote 60M ni uoga, au ndo kusema unaamini Watz wote ni nyumbu kama wewe?
 
Mleta mada kumbuka kuwa CDM wanapodai katiba mpya ni kwa ajili ya wa Tz. wote wakiwepo wasiojitambua na wendawazimu kama wewe
 
Mimi ni mwananchi wa kawaida

Who happen to be in JF........mimi kua JF au Twitter au popote pale hakuondoi hitaji langu la Katiba Mpya

Wewe huwezi kaa hapa ukaanza kupitisha hukumu eti alieyoko JF hana haki ya kudai katiba mpya sababu tu eti yupo JF

Mkuu,mimi personally Katiba mpya very personal to me....

Lazima mtupe katiba yetu,regardless

Wananchi wa Tanzania ni pamoja na Watanzania wote waliopo JF,Twitter,Instagram,etc....

Hoja yako ya walio online eti sio Watanzania enough kudai katiba.....Sisi ndio chachu ya kuwaaambia wale ambao hawapo online kwamba katiba yetu ni muhimu tuidai

Wanaharakati ni watu muhimu,wapo tangu kipindi cha Nyerere mpaka leo,na wataendelea kuwepo,huna cha kufanya

Malizeni kuua tutafata sisi wananchi wa kawaida

usitutishe mzee.....katiba mpya ni yetu sio yenu

Msituletee usenge wa kusema eti mnatupa siku mnataka nyie,mnatupa tunavyotaka sisi wananchi maana madaraka ni yetu sisi sio nyie vijakazi

tangu lini kijakazi anatumwa na boss wako anatoa maneno ya kipumbavu kama nyie?

uzuri ni kwamba,meseji mmeipata kwamba katiba inahitaji regardlesssssss!
Hamna mtu anaweza kukuletea usenge, kama ni msenge ni msenge tu. Period.

Twende kwenye point sasa. Hata mimi ni mwana JF na mwana Twitter na nataka Katiba mpya. Ushahidi ninao na nitakuwekea Uzi wangu hapa:


Wote tunataka Katiba Nzuri lakini shurti tuwasikikize viongizi wetu. Rais ameachieve a lot in terms of democratic process, rule of law and human rights in a very short period. Hizi pressure za ku undermine performance yake hatuwezi kuziacha unchecked
 
Mkuu

Wannachi majumbani mwao wanaongelea Katiba Mpya

Mkuu,worldwide jana breaking news wanajua Tanzania opposition ipo detained sababu wanadai katiba mpya

Mkuu,mijadala kwenye maTV kila mwanasiasa akihojiwa kuna pahali atazungumzia katiba mpya

Mijadala ndio imeanza baada ya upumbavu mlioanza jana

Na mind you,Mwanza watu wapo,mtafanya kila kitu ila watafanya mkutano regardless ya siku

Another proof ni threads za katiba mpya zinavyoongezeka humu JF na mitandao mingine yote

Plus,watu wenye nguvu TZ wanaongelea katiba mpya sio warioba sio mwanasheria mkuu wa zamani,etc

Maria na Fatuma na Kigogo,etc ni watu wenye nguvu upende usipende,ukubali usikubali,wana command internet following more than all CCM leaders online put together...

Mijadala yao ina nguvu,na wala usijiweke hapa kwa dharau ukadhani numbers dont prove this

Magufuli alikuwepo,kaua watu,kafanya vyote alivyofanya cha ajabu activists ndio waliongezeka online na mijadala ilikua too extreme maana kila mtu alikua anamchukia Magufuli na enablers wake

Mama ana potential ya kupendwa kama Kikwete ila path anayoenda nayo anarudi kule kule kwenye repressive state ambayo inam-cost nguvu zake mno na ni very exhaustive na ni very hard to govern,physically and mentally.....magufuli physically alishindwa akafa kwa moyo kupasuka

Mama physically and mentally atashindwa tu,huwezi kutawala kwa kuua na kulazimisha watu wasijadili kitu,ni uongo na very poor level of thinking and governing

Mwanza ni uuaji uliotokea,nothing less...Na wananchi tunasikia taarifa zote na uonevu wote,usidhani hizi zinasaidia serikali kupendwa,never!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Itabidi nicheke tu aisee!
 
Wewe una moral authority gani above all other human beings uwe na uwezo wa kugawa majina huyu ni msenge na huyu si msenge?

Huna hiyo moral authority,ulichotoa ni maoni yako tu kama yangu ya kuita mtu msenge

Kama kwa utashi wako umeona mimi ni msenge na mimi natumia utashi wangu kukuita wewe msenge

Unapenda katiba mpya ila wewe ni mnafiki.Huwezi penda katiba mpya halafu unarudi nyuma kwamba huitaki tena,wewe ni confused!

Bro

Kiongozi anatoa hoja gani inayokubalika na ni logical?

Eti siwezi sasa hivi nataka kufanya maendeleo,hoja gani ya kimaandazi hivi,haikubaliki na ni ya kijinga na imetolewa na mataahira

Ni maajabu wewe,kwa unafiki wako eti unataka katiba halafu upo tayari kupewa hoja za kipumbavu usipate hiyo katiba

Rais ku archive hivyo unavyosema ni subjective,haituhusu ni wajibu wake tumpa na kunamlipa,sio hisani,kama ni hisani hana haja ya kufanya hiyo kazi,akalale kule kwao.

Mkutano wa kudiscusss katiba kwenye hoteli unazuia nini serikali kufanya kazi zake inazofanya?

Watu wakikutana wakadiscuss wanachodiscuss serikali inakua undermined wapi?Tena serikali inatakiwa itoe ulinzi kwa hawa watu

Serikali inaji undermine yenyewe kwa kufanya mauaji na hivi vitendo vya kihayawani visivyo na mantiki yeyote

Hii yote ni uwoga binafsi wa weak leaders kama hao wasio kua na vision,wasiojiamini na upendo kutoka kwa wananchi,ndio maana wanakua vichaa namna hii wanafanya vitendo vya kipumbavu namna hii...Unaua mtu kwa freedom of expression?Are you a human being au gorilla?

Banana republic

Tumerudi kule kule kwa Magufuli....Ndio katuamsha......Tufike pahali tuwe watu wenye civilization sio hii gorilla decision making ya hawa watawala

Muombeni Kikwete awape formula maana akili zenu za hovyo sana
Kumbe nabishana na msenge!! Na log off
 
Back
Top Bottom