Tangu lini haki inapatikana kwa kunyenyekea?
Taja mfano mmoja kwenye historia waliokua oppressed walinyenyekea kupata haki zao?
Huo mfano haupo
Rais hajatukanwa popote na kwanza ni kupoteza muda kumtukana rais,haina faida na ni counter productive
Walichofanya opposition ni kutumia haki yao kikatiba kukutana na kudiscuss whatever they think is correct with them maana uhuru wa kukutana na expression ipo kwenye katiba kama fundamental right
Cha ajabu watu wanapotumia haki zao rightfully kuna mtu anaitwa Samia anakua emotional na offended personally which is none of opposition's business
Samia kukasirika ni useless kwenye huu mjadala na ni too bad she cant be helped maana watu rightfully wanafanya haki zao
Ingekua tofauti kama wamevunja katiba,which is another issue,na mtoa adhabu ni mahakama sio Samia
Nendeni kwa Michael Jordan Kikwete awape IQ yake maana shule mlifeli,hamna akili yeyote,mpo useless kama lile li marehemu lilokufa,lilikua halina ubongo,linakimbilia majibu rahisi ya kipumbavu nchi ikageuka North Korea ambayo we are paying economic price mpaka leo hii hadi kesho na keshokutwa
Tumieni akili,tuliwasomesha,hapa mtajaza magereza kwa kesi za wataka katiba,hivi kwa mwenye akili hizi ni kesi zenye mantiki kweli au nyie ni vichaa?
Jibuni hoja acheni kua vichaa,vichaa hua hawavuni chochote,mnavuna concenquences za matendo na maamuzi yenu ya ukichaa kupambana na watu wanaotumia haki zao
Sijui shule mlienda mkapata ngapi kwakweli?Maana hamtumii ubongo kabisa,mtavuna ujinga kwenye bongo zenu,always kuna concenquences za maamuzi ya kijinga kama ya Magufuli