Mkuu
Nadhani unafeli
Hii violence unayofanyia legal opposition ukabaki salama
Magufuli hakubaki salama....na mnataka akopi huko...Tunarudi North Korea
Tukirudi North Korea,mama hana maisha marefu
Hapo ni Mwanza tu,likitoka mwanza litaenda Arusha,likitoka Arusha litaenda pengine,kila mkoa utakua unashika watu 1,000 mikoa 25 utashika watu 25,000,una jela hiyo wewe maiti?
Na as kamata inavyozidi kwenda na mikutano inakua mingi,hii sio solution endelevu
Fanya hivi,ita bunge vyama vya upinzani viwe outlawed
Then ua viongozi wote,then uone whats next!
Tumieni ubongo zenu,au muombeni Kikwete formula....
Soon Lissu anakuja,mabalozi wote wataanza kutoa matamko sasa hivi,then sijui utakua unakaaje huko Ikulu?
Kumbuka 50% ya Tanzania wanapenda opposition......Narudia tena 50%....umize vichwa acheni majibu mafupi ya kipumbavu
Katiba tunaitaka,whether you like it or not!