Rais Samia shikilia hapohapo, usirudi nyuma. CHADEMA hawahitaji kubembelezwa

Rais Samia shikilia hapohapo, usirudi nyuma. CHADEMA hawahitaji kubembelezwa

CHADEMA wanamdharau sana Rais SSH kwa kuwa ni mpole, wanataka afuate matakwa yao. Hapana akifanya hivyo atakuwa siyo Rais wa Tanzania. Freeman Mbowe yeye mwenyewe hachezewi hivi akiwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Tumemuona alivyolinda kiti chake cha UENYEKITI mpaka kwa kumwaga damu. Kwa nini wasimsikilize Rais SSH aliposema Katiba isubiri kwanza ajenge uchumi?

Mbona waliufyata kwa Mwendazake ambaye alikuwa katili kupitiliza? Wananchi watawachoka kwa kuwa chama cha harakati na matukio. Kajipangeni namna ya ku-deal na Rais SSH. Wananchi wanamkubali anavyochukua hatua kupanga uchumi. Na Katiba hajakataa, kasema nipeni muda.
Lakini akina Mbowe wanataka wamuendeshe kama gari bovu? HAPANA huyu ni Rais wetu wote na anayoyafanya tunayao
Mkuu mm nilikua sijawahi kufikiria kama ipo siku ntaiacha cdm lkn kwa ujinga huu wanaofanya acha wapigwe,mama Samia amekubali kuifanyia Kaz katiba tena kaomba tumpe mda si Bora yeye aliyesema tumpe mda kuliko jiwe yeye alikataa kabisa live Sasa kwann tusimpe mda rais ,naomba cdm muwe makini hata sisi wanachama wenu mtatupoteza
 
Ccm hakuna wakuwabembeleza, pia twende Sina mna polis , tuone Kama sonoma itawaacha salama, mmelikoroga mtalinywa, hakuna wa kuwabembeleza ,katiba mtaandika na inakuja hakuna wa kuzuia, na mwachieni Mbowe na wengine ,ni lazima na sio ombi,
Mbowe mwenyewe hawezi kuheshimu Katiba ya Chama chake bado anataka kutushawishi tutafute Katiba mpya.
 
CHADEMA went hawajui wanalotafuta sanasana wanna be driven na mihemuko ya watu wachache wanaowashika masikio
 
Vunja mifupa Kama Bado meno yapo utakuja lia ukishapoteza muda wako
Fikiria Kama ungali Bado kijana tengeneza maisha yako saidia jamii yako masiku miaka zinaenda hazitarudi tena
 
Acha kujiongopea wewe mbwiga, hiyo katiba aandikeni huko ufipa mpeni mbowe cheo Cha ufalme
Aisee unaakili nyingi ila kuzitumia hata KWA Mambo madogo huwezi,alafu wajiona mzima wakati ni mfu unaetembea,

KATIBA INAKUJA HAKUNA WAKUZUIA ILISHA KUA, WENDA UKABAATIKA KUIONA
 
Mama Samia kwanza nikupe hongera kwa kuwa hadi sasa umeonyesha ukomavu mkubwa sana kwenye uongozi wako.
Kwa lugha nyepesi tunasema "sasa umeiva", mwanzo ulivyoanza kiukweli ulianza kutupa wasiwasi Kama ungeweza kweli kwa kuwa ulionekana kama unahitaji sana kubembeleza yale magenge.
Mama katika nchi hizi za Africa haiwezi kuja kutokea Maendeleo kwa kubembelezana na kuvumilia wanasiasa uchwara. Gia uliyoingiza sasa nenda nayo hiyohiyo nakuhakikishia utafika salama pale unapotaka kwenda.
Hawa wanasiasa uchwara wa chadema ulijaribu kama kuwabembeleza hivi mwanzoni, lilikuwa kosa kubwa sana kwako. Hawa watu hawajahi kuwa na shukrani kwa mamlaka na siku zote huwa hawaheshimu mamlaka.
Hivyo nakuomba endelea kuwapiga pin hivihivi mpaka maji waite mma, usije kuwapa nafasi tena ya kufanya huu ujinga unaitwa katiba mpya.
Peleka vikosi vya polisi popote wanapokusanyika, Yani iwe bampa to bampa.
Naunga Mkono Hoja
 
Mama Samia kwanza nikupe hongera kwa kuwa hadi sasa umeonyesha ukomavu mkubwa sana kwenye uongozi wako.
Kwa lugha nyepesi tunasema "sasa umeiva", mwanzo ulivyoanza kiukweli ulianza kutupa wasiwasi Kama ungeweza kweli kwa kuwa ulionekana kama unahitaji sana kubembeleza yale magenge.
Mama katika nchi hizi za Africa haiwezi kuja kutokea Maendeleo kwa kubembelezana na kuvumilia wanasiasa uchwara. Gia uliyoingiza sasa nenda nayo hiyohiyo nakuhakikishia utafika salama pale unapotaka kwenda.
Hawa wanasiasa uchwara wa chadema ulijaribu kama kuwabembeleza hivi mwanzoni, lilikuwa kosa kubwa sana kwako. Hawa watu hawajahi kuwa na shukrani kwa mamlaka na siku zote huwa hawaheshimu mamlaka.
Hivyo nakuomba endelea kuwapiga pin hivihivi mpaka maji waite mma, usije kuwapa nafasi tena ya kufanya huu ujinga unaitwa katiba mpya.
Peleka vikosi vya polisi popote wanapokusanyika, Yani iwe bampa to bampa.
Mungu atakapoangusha pigo jingine watu wasije kuanza kulialia humu. Hivi Zanzibar kuna boti za kutosha watu malaki kwa malaki kweli?
 
Kabisa!
.
Jakaya aliwabembeleza wakaishia kumnyea kichwani,,!

Hata vijana wadogo kina Mnyika wakamwita dhaifu.
wanasema unaweza kosa uvumilivu, ila walau uende na adabu. ukikosa vyote ni hatari.

mimi humkosoa mbowe, lakini kwa umri wake huwa sithubutu kumtamkia maneno yaliyokosa adabu ndani yake.

jk alilipa ghalama ya upole wake, walifikia hatua ya kumwona kama ndondocha hivi.
 
Mama Samia kwanza nikupe hongera kwa kuwa hadi sasa umeonyesha ukomavu mkubwa sana kwenye uongozi wako.
Kwa lugha nyepesi tunasema "sasa umeiva", mwanzo ulivyoanza kiukweli ulianza kutupa wasiwasi Kama ungeweza kweli kwa kuwa ulionekana kama unahitaji sana kubembeleza yale magenge.
Mama katika nchi hizi za Africa haiwezi kuja kutokea Maendeleo kwa kubembelezana na kuvumilia wanasiasa uchwara. Gia uliyoingiza sasa nenda nayo hiyohiyo nakuhakikishia utafika salama pale unapotaka kwenda.
Hawa wanasiasa uchwara wa chadema ulijaribu kama kuwabembeleza hivi mwanzoni, lilikuwa kosa kubwa sana kwako. Hawa watu hawajahi kuwa na shukrani kwa mamlaka na siku zote huwa hawaheshimu mamlaka.
Hivyo nakuomba endelea kuwapiga pin hivihivi mpaka maji waite mma, usije kuwapa nafasi tena ya kufanya huu ujinga unaitwa katiba mpya.
Peleka vikosi vya polisi popote wanapokusanyika, Yani iwe bampa to bampa.
CHADEMA waliposhikilia kushangilia kifo cha mwendazake, mliwalaumu lakini ninyi mnashabikia wao wanapokumbwa na madhila tena ya kutengenezwa na CCM, Subirini kuna muda nao watashangilia, na hapo msiwalaumu tena!
 
CHADEMA wanamdharau sana Rais SSH kwa kuwa ni mpole, wanataka afuate matakwa yao. Hapana akifanya hivyo atakuwa siyo Rais wa Tanzania. Freeman Mbowe yeye mwenyewe hachezewi hivi akiwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Tumemuona alivyolinda kiti chake cha UENYEKITI mpaka kwa kumwaga damu. Kwa nini wasimsikilize Rais SSH aliposema Katiba isubiri kwanza ajenge uchumi?

Mbona waliufyata kwa Mwendazake ambaye alikuwa katili kupitiliza? Wananchi watawachoka kwa kuwa chama cha harakati na matukio. Kajipangeni namna ya ku-deal na Rais SSH. Wananchi wanamkubali anavyochukua hatua kupanga uchumi. Na Katiba hajakataa, kasema nipeni muda.
Lakini akina Mbowe wanataka wamuendeshe kama gari bovu? HAPANA huyu ni Rais wetu wote na anayoyafanya tunayaona
Rip chacha Wangwe
 
Mama Samia kwanza nikupe hongera kwa kuwa hadi sasa umeonyesha ukomavu mkubwa sana kwenye uongozi wako.
Kwa lugha nyepesi tunasema "sasa umeiva", mwanzo ulivyoanza kiukweli ulianza kutupa wasiwasi Kama ungeweza kweli kwa kuwa ulionekana kama unahitaji sana kubembeleza yale magenge.
Mama katika nchi hizi za Africa haiwezi kuja kutokea Maendeleo kwa kubembelezana na kuvumilia wanasiasa uchwara. Gia uliyoingiza sasa nenda nayo hiyohiyo nakuhakikishia utafika salama pale unapotaka kwenda.
Hawa wanasiasa uchwara wa chadema ulijaribu kama kuwabembeleza hivi mwanzoni, lilikuwa kosa kubwa sana kwako. Hawa watu hawajahi kuwa na shukrani kwa mamlaka na siku zote huwa hawaheshimu mamlaka.
Hivyo nakuomba endelea kuwapiga pin hivihivi mpaka maji waite mma, usije kuwapa nafasi tena ya kufanya huu ujinga unaitwa katiba mpya.
Peleka vikosi vya polisi popote wanapokusanyika, Yani iwe bampa to bampa.

Kwa bahati mbaya mnataka kumpima rais kwa mambo marahisi kweli kweli, kuagiza polisi kwenda kupiga wapinzani wenye madai halali sio kipimo cha ukomavu. Hilo kundi la polisi liingemfanya mama aonekane ni mkomavu, kama lingetuwekea hadharani ni kina nani waliojiunganishia bomba la mafuta hapa Dar. Mnapima ubora wa rais kwa matumizi mabaya ya madaraka!
 
Mtamponza huyu mama asipotenda haki atanyofolewa kama jiwe alivyonyofolewa, nyie endeleeni kufanya ushetani wenu.
 
Kwa bahati mbaya mnataka kumpima rais kwa mambo marahisi kweli kweli, kuagiza polisi kwenda kupiga wapinzani wenye madai halali sio kipimo cha ukomavu. Hilo kundi la polisi liingemfanya mama aonekane ni mkomavu, kama lingetuwekea hadharani ni kina nani waliojiunganishia bomba la mafuta hapa Dar. Mnapima ubora wa rais kwa matumizi mabaya ya madaraka!
Kuimarisha ulinzi ni matumizi mabaya ya madaraka...?
 
CHADEMA wanamdharau sana Rais SSH kwa kuwa ni mpole, wanataka afuate matakwa yao. Hapana akifanya hivyo atakuwa siyo Rais wa Tanzania. Freeman Mbowe yeye mwenyewe hachezewi hivi akiwa Mwenyekiti wa CHADEMA. Tumemuona alivyolinda kiti chake cha UENYEKITI mpaka kwa kumwaga damu. Kwa nini wasimsikilize Rais SSH aliposema Katiba isubiri kwanza ajenge uchumi?

Mbona waliufyata kwa Mwendazake ambaye alikuwa katili kupitiliza? Wananchi watawachoka kwa kuwa chama cha harakati na matukio. Kajipangeni namna ya ku-deal na Rais SSH. Wananchi wanamkubali anavyochukua hatua kupanga uchumi. Na Katiba hajakataa, kasema nipeni muda.
Lakini akina Mbowe wanataka wamuendeshe kama gari bovu? HAPANA huyu ni Rais wetu wote na anayoyafanya tunayaona
Na hii ubabe wa kina mbowe ni vile Wana mdharau tu Rais na kuleta fujo zisijo na tija, Mimi mwenyewe nataka katiba ila si kwa ubabe huu ambao mama kaanza vizuri, hawa CDM nao wanajua kabisa watu Wana mwamini Rais wao wanaanza chokokocho zao, wanakera kweli
 
Mkuu mm nilikua sijawahi kufikiria kama ipo siku ntaiacha cdm lkn kwa ujinga huu wanaofanya acha wapigwe,mama Samia amekubali kuifanyia Kaz katiba tena kaomba tumpe mda si Bora yeye aliyesema tumpe mda kuliko jiwe yeye alikataa kabisa live Sasa kwann tusimpe mda rais ,naomba cdm muwe makini hata sisi wanachama wenu mtatupoteza
CDM wamenisikitisha Lengo ni kumwaribia mama na wahisani waache nchi yetu ambayo Bado inahitaji misaada mingi, Tena tundu lisu anasema tunyimwe misaada vile yeye Yuko ubelgiji. Nchi yetu ccm imechokwa ila hatuna upinzani wenye akili timamu wa kuwa mbadala aisee.
 
Kuimarisha ulinzi ni matumizi mabaya ya madaraka...?

Unaimarisha ulinzi kwa kuzuia mkutano wa ndani kwa watu waliotangaza tena mchana kweupe. Ingekuwa kuna watu wameenda na silaha hapo tungeona kuna akili imetumika. Ajenda ya kisiasa inayomtisha rais na chama chake ndio utume polisi 100+? Kweli wazungu hawajawahi kukosea kutuita manyani.

Halafu serikali inaona sifa kabisa kupeleka jeshi la polisi kuzuia mkutano wa ndani wa chama chenye madai halali ndani ya nchi yao, lakini inaona sifa kumpa nafasi Mcongoman Falii Ipupa kutumbuiza hapo hapo Mwanza na kumpa ulinzi! Katika mazingira hayo unaweza kutetea hayo ni matumizi mazuri ya madaraka?
 
Back
Top Bottom