Pre GE2025 Rais Samia: Sijawahi kuua mtu labda sisimizi, jibuni hoja zao msikae kimya

Pre GE2025 Rais Samia: Sijawahi kuua mtu labda sisimizi, jibuni hoja zao msikae kimya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Rais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.

Wakiambiwa mwenyekiti wao/ Rais ni muuaji wajibu kweli, ameua nguvu hasi ya upinzani, ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.

Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.

Sidhani kama hizi kauli peke yake zinaweza kusaidia, Raisi ni sawa na malaika hatakiwi kushutumiwa na yoyote sasa mpaka shutuma zinamfikia za namna hiyo, hapaswi kujibu majibi ya namna hiyo kwasababu walio fariki kweli wapo na watu wanashutumu vyombo vyako vya ulinzi na usalama, na siyo wapinzani tu wanao lalamika kuhusu mauaji hata wanachama wako pia wanalalamika, ni kweli tunaamini kuwa huwatumi wahusika wanajichukulia sheria wao wenyewe lakini uonyeshe kukerwa na haya madhila yanayo wapata wananchi wako.

Kama hutasikiliza vilio vyao, ukisubiri tu usimikwe tu na hao wanao shutumiwa, mambo yanaweza yasiwe mazuri sana kwenye uongozi wako. Kuendesha nchi huku wananchi wako wakiwa na manung'uniko na madukuduko moyoni haileti haiba nzuri kwenye nchi. Kiukweli umeweza kuinua uchumi kwa kiasi fulani lakini Kuna vitu unapaswa kuweka sawa la sivyo tunaweza kurudi tuliko toka.

Fahamu kuwa mwerevu akikwambia jambo la kijinga na huku anajua kabisa hili na jambo la kijinga kisha ukalisuport madhara yake wala sikuambii.
 
Rais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.

Wakiambiwa mwenyekiti wao/ Rais ni muuaji wajibu kweli, ameua nguvu hasi ya upinzani, ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.

Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.

Mta nisamehe, ila naona kama Mh Rais ana kosea, Rais kama Rais ni kiongozi wa Tanzania, ana waongoza wanao mkubali na wanao mpinga. Ni saaa na baba wa familia. Kuna watoto watoto huwa upande wa mama na wengine upande wa baba. Ila baba hawezi kuwa piga vijembe wale walio upande wa mama.
Sasa Rais wetu ame kuwa kama mgumba au single mother, anaonyesha chuki za wazi. Washauri mna mpa ushauri wa kijinga huyu Mkuu wetu wa nchi. Mama acha vijembe.
 
..Samia anapovaa nguo za majeshi anafikiri ni fashion show?

..Vyombo vya dola vikiua maana yake Amiri Jeshi Mkuu na Raisi wameua.

..Vyombo vya dola na majeshi wakishinda vita maana yake Amiri Jeshi Mkuu ameshinda vita.

..Samia Suluhu Hassan kama hataki lawama na pongezi kwa utendaji wa vyombo vya dola anapaswa kujiuzulu.
 
Sasa hivi Tanzania katika viwango vya kimataifa inang’ara?

Kasema hivyo na wamempigia makofi!

Kama inang’ara hivyo mbona hakwenda Marekani kwenye UNGA?

Kama kweli and inang’ara basi afanye mahojiano na Stephen Sackur kwenye HARDtalk halafu tuone [emoji1787].
Na nyinyi mleteni Biden afanye mahojiano na Pascal Mayala tuone kama USA iko salama kuliko Tanzania!!
 
Sidhani kama kuna mtu alikuwa anamtukana Magufuli kumshinda Mange kipindi chake.

Na uhalisia ni kwamba katika bloggers ambao wapo active kwenye ku-interact na followers wao Mangę anaongoza.

Yeye mwenyewe imebidi akubali watanzania walikuwa wanapenda Magufuli na bado wanampenda; kwa jinsi wanavyo mshambulia akimsema vibaya. Imebidi anyooshe mikono kwa huyo mtu japo yeye amkubali kabisa mpaka kiama.

Sasa followers wa Mangę ni watanzania wa kawaida, huyo mama anatakiwa kuelewa katika hotuba zake kwa watanzania kusema sijui tumetoka kwenye giza na yeye kaleta mwanga ajijengei kabisa kwa wananchi.

Kuna mambo ya kufirika na kuna uhalisia ambayo wananchi wanataka kusikia (ata kama yeye raisi anajua zaidi anachosema maana alikuwa jikoni) watanzania awataki kusikia shujaa wao akibezwa.
 
Rais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.

Wakiambiwa mwenyekiti wao/ Rais ni muuaji wajibu kweli, ameua nguvu hasi ya upinzani, ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.

Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.

Hata mabalozi wa US na EU wameona Hilo. Kwambà anaposema.
 
You shameless leaders, when are you going to stop hypocrisy???
Vyeo visifanye mtu usahau vitabu vitakatifuu....
Si lazima kushiriki direct lkn hatakama unajua na unaficha na kutetea mauaji tayari umeshiriki mauaji hayo!!
Mtangulizi hakufanya direct ila alitetea kama anavyotetea mpokea kijiti huku akiuficha ukweli badala ya kuruhusu waovu wachukuliwe hatua stahiki yeye anawapa vyeo!!!
 
Rais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.

hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.
Naunga mkono hoja, mtu mwenye wajihi kama huu, Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” hawezi hata kuua panya!, kama ni kuua labda mbu, mende na sisimizi.

Ila kwa vile yuko serikalini na yeye ndie mkuu wa serikali, na anajua kuna mazingira fulani, serikali zote duniani huwa zina waua watu hatarishi kwa usalama wa nchi, dissidents, na kabla hawa dissidents hawajauliwa lazima CinC asaini ile death warrant, then death warrant yoyote ikisainiwa, aliyeua ni aliyesaini death warrant na sio wale watekelezaji.

Ikitokea makosa ya watu wake kumuua kwa makosa mtu safi kwa kudhaniwa ni dissident, then the blood of that person is upon aliyetoa hiyo order kwa niaba yake.

Na kunapotokea vifo ambavyo vingezuilika kwa kufanya kitu lakini hakikufanyika, then damu iliyomwagika is upon yule ambaye angezuia lakini hakuzuia.

Hivyo tumeshauri Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!
P
 
Sasa hivi Tanzania katika viwango vya kimataifa inang’ara?

Kasema hivyo na wamempigia makofi!

Kama inang’ara hivyo mbona hakwenda Marekani kwenye UNGA?

Kama kweli and inang’ara basi afanye mahojiano na Stephen Sackur kwenye HARDtalk halafu tuone 🤣.
Na anaposema kwamba ameleta nuru anamaanisha mtangulizi wake alileta giza,yeye analaumu wengine lakini akilaumiwa yeye anaruka kimanga.
 
Back
Top Bottom