Kigongoi kwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2018
- 500
- 525
Waswahili mna maneno jamani😄😄😄Kusifiwa anasifiwa yeye peke yake na halalamiki, kulaumiwa anataka washirikiane na CCM wote!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waswahili mna maneno jamani😄😄😄Kusifiwa anasifiwa yeye peke yake na halalamiki, kulaumiwa anataka washirikiane na CCM wote!
Mzee Kibao alikuwa Mtoto, Kaka, Baba, Mjomba, Binamu, na Babu za watu. Yesu alisema, nilikuwa sina maji, ulinipa, nilikuwa sina chakula ulinipa, nilikuwa sina pakulala ulinipa, Basi ujue unapo msaidia MTU yeyote , ndivyo hivyo hivyo unapomtendea Mema Yesu.Alimuuwa baba'ko au mama'ko?
Taja jina lake kamili.Mzee Kibao alikuwa Mtoto, Kaka, Baba, Mjomba, Binamu, na Babu za watu. Yesu alisema, nilikuwa sina maji, ulinipa, nilikuwa sina chakula ulinipa, nilikuwa sina pakulala ulinipa, Basi ujue unapo msaidia MTU yeyote , ndivyo hivyo hivyo unapomtendea Mema Yesu.
Vipi hata huko zenji kuna utekaji na mauwaji kama huku ???Rais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.
Wakiambiwa mwenyekiti wao/ Rais ni muuaji wajibu kweli, ameua nguvu hasi ya upinzani, ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.
Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.
Hii nilikuwa sijaliona kwa hicho la tatu, tunashukuru kwa kuonyesha kwamba kama kaumiza ni sisimizi tu.Hutokuja kuiona hiyo, umesikia hata wakitoa mrejesho! wangapi wamekamatwa kusaidia uchunvuzi? {unakumbuka alipotekwa Mo walivyokuwa wanatoa mrejesho}
sasa kwa kisa hiki ilitakiwa mrejesho na mikwala ya police iwe vile , ukimya huu jiongeze ndio imepita hiyo. Nilitegemea huyu mama kuwa kazi itakamilika soon na lipoti itawekwa wazi, ila kamfananisha alieuawa na sisiminzi. Yaani yeye kaua sisiminzi asisakamwe... mwee
Hata ukimuumiza Faiza Foxy basi umemuumiza Yesu na hata pia Mohammed, kwani wote hawashadadi MaovuTaja jina lake kamili.
EEEeeennHHEEEEE!Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.
Nyie watoto msio na baba ndiyo zenu hizo, tunawajuwa, akifa mtu ndiyo mnajitokeza kudai urithi. Alipokuwa hai mlikua wapi?Hata ukimuumiza Faizan Foxy basi umemuumiza Yesu na hata pia Mohammed, kwani wote hawashadadi Maovu
Kwa maana halisi ni kuwa anataka CCM wote wageuke kuwa "CHAWA" wake. Anapenda kusikia kila mwana CCM akiwa kama Lucas Mwashambwa; Tllaa tlaah, VoiceVariable na wengineo.Kusifiwa anasifiwa yeye peke yake na halalamiki, kulaumiwa anataka washirikiane na CCM wote!
Rais wa JMT ana madaraka juu ya serikali yote, mihimili yote, na vyombo vyote vya dola. kiuhalisia yuko juu ya katiba na sheria. Hakuna uhalifu unaoweza kufanywa na vyombo vya dola bila ridhaa yake. Ikitokea hivyo kuna watu watakwenda na maji chapchap. Hatua kali zisipochukuliwa, basi ujue Rais ama KAKUBALIANA au KARUHUSU au hata KAAGIZA. Na akienda mbele na kutetea kinamna kama alivyofanya katika hotuba yake ya majuzi kwenye sherehe ya Jeshi la Polisi, asishangae akinasibishwa na mauaji yanayotuhumiwa kwa vyombo vya dola.Vipi kuhusu Hawa Askari ambao wanaotuhumiwa kila siku kuua raia ?
Vipi kuhusu hao raia ambao wamekuwa wakifa wakiwa mikononi mwa Jeshi la Polisi katika Vituo vya Polisi ?? Nao hawamhusu?
Vipi hao mateka ambao baadhi yao wameokotwa wakiwa tayari wameuawa kinyama? Nao hawamhusu??
Akumbuke kwamba yeye binafsi akiwa Kama Mkuu wa nchi hii kwa mikono yake ndiye aliyewateua hao Viongozi wote wa Serikali hii iliyopo, wakiwamo na Wakuu wa Majeshi ambayo wa-Tanzania wanayatuhumu kwamba yamekuwa yakihusika katika kuwateka raia na kisha kuwaua. Matendo yote yanayofanywa na hao Watu Wateule wake ni sawa sawa kabisa kwamba ameyafanya yeye mwenyewe Mteuaji binafsi. Kushindwa kwa hao Watu ambao amewateua ndio kushindwa kwake yeye Mteuaji. Kwa hiyo kwa namna yoyote ile kamwe hawezi akajitenga na matendo mazuri au mabaya yanayofanywa na Wateule wake.
Aidha, hata tuhuma anazotupiwa za kuhusika na tukio la jaribio la mauaji ya Tundu Lissu kule Dodoma yeye pia tuhuma hizo zinamhusu Moja kwa Moja. Rais Magufuli siyo Mtuhumiwa pekee wa shambulizi lililofanywa dhidi ya Tundu Lissu, hata yeye pia anahusika kwa sababu Serikali ya 'MaguSami' (i.e. Magufuli+Samia) ndio iliyokuwa madarakani wakati ule tukio hilo lilipotokea.
Sijui na wala sioni mantiki ya hoja hii.Sidhani kama kuna mtu alikuwa anamtukana Magufuli kumshinda Mange kipindi chake.
Na uhalisia ni kwamba katika bloggers ambao wapo active kwenye ku-interact na followers wao MangÄ™ anaongoza.
Yeye mwenyewe imebidi akubali watanzania walikuwa wanapenda Magufuli na bado wanampenda; kwa jinsi wanavyo mshambulia akimsema vibaya. Imebidi anyooshe mikono kwa huyo mtu japo yeye amkubali kabisa mpaka kiama.
Sasa followers wa MangÄ™ ni watanzania wa kawaida, huyo mama anatakiwa kuelewa katika hotuba zake kwa watanzania kusema sijui tumetoka kwenye giza na yeye kaleta mwanga ajijengei kabisa kwa wananchi.
Kuna mambo ya kufirika na kuna uhalisia ambayo wananchi wanataka kusikia (ata kama yeye raisi anajua zaidi anachosema maana alikuwa jikoni) watanzania awataki kusikia shujaa wao akibezwa.
LOOoooh!Alimuuwa baba'ko au mama'ko?
Wameishiwa.LOOoooh!
Sasa imebidi jibu la hoja ndiyo iwe hivi?
Na ndiyo maana nikasema huenda wanaoua wanalengo la kumwangushaMungu wa Mbinguni azidi kukubariki mh Rais Samia 🌹
Tatizo ni hawa akina Mwagito Chalamila maelezo yao hawayanyooshi Sawa Sawa
Ila kiukweli hili swala la kushambuliwa Mwenyekiti ambaye ni Rais wa JMT halikubaliki kabisa!
Nashukuru sina Baba lakini nina utu, kumjali Faith Foxy ingawa simjui, lakini utu wake unathamani kubwa , kuliko urithi anaokimbilia Faiza FoxyNyie watoto msio na baba ndiyo zenu hizo, tunawajuwa, akifa mtu ndiyo mnajitokeza kudai urithi. Alipokuwa hai mlikua wapi?
Hata jina umeshindwa kutaja.
Sasa sijui wewe ni kitu gani hasa "unabugia", maana hamtofautiani sana wewe na yeye!Anabugia sana Kitimoto huyo