Pre GE2025 Rais Samia: Sijawahi kuua mtu labda sisimizi, jibuni hoja zao msikae kimya

Pre GE2025 Rais Samia: Sijawahi kuua mtu labda sisimizi, jibuni hoja zao msikae kimya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nashukuru sina Baba lakini nina utu, kumjali Faith Foxy ingawa simjui, lakini utu wake unathamani kubwa , kuliko urithi anaokimbilia Faiza Foxy
Ni Maneno yanayo gonga kwenye moyo hasa kwa mtu yeyote ambaye bado utu wa binaadam mwingine unayo thamani zaidi ya mali yoyote ipatikanayo kwa kuukanyaga ubinaadam huo.

Sasa lakini unaendelea kunichanganya akili mkuu August; maana hii ni zaidi ya kuganda pale kwenye 'fensi' niliyo wahi kukudokezea hapo awali.
 
Rais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.

Wakiambiwa mwenyekiti wao/ Rais ni muuaji wajibu kweli, ameua nguvu hasi ya upinzani, ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.

Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.



Mama kama kweli kwanini hutaki uchunguzi wa wazi🤦🏾‍♂️ maneno hayatoshi Mama vitendo
 
Amewakana wenzake aisee akina makonda kuna siku watasimama peke yao kama p.didy.
 
Rais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.

Wakiambiwa mwenyekiti wao/ Rais ni muuaji wajibu kweli, ameua nguvu hasi ya upinzani, ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.

Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.

Huyu Mungu acha aitwe Mungu tuu.
Yaani hata mchawi kabla ya kukata roho husema alio wafanyia maovu, sasa naona Mh Rais ina anza kukolea. Ana anza kuongea matendo ya chama chake. Bado kitambo ukweli uta kuwa wazi.
 
If you are Happy to take all the Credit, it make sense to at least take some of the Blame...
 
Ni Maneno yanayo gonga kwenye moyo hasa kwa mtu yeyote ambaye bado utu wa binaadam mwingine unayo thamani zaidi ya mali yoyote ipatikanayo kwa kuukanyaga ubinaadam huo.

Sasa lakini unaendelea kunichanganya akili mkuu August; maana hii ni zaidi ya kuganda pale kwenye 'fensi' niliyo wahi kukudokezea hapo awali.
Sina utamaduni wa kutoka nje ya mstari ambao nina amini ndio taswira ya imani yangu ya kuthamini utu wa mtu
 
Rais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.

Wakiambiwa mwenyekiti wao/ Rais ni muuaji wajibu kweli, ameua nguvu hasi ya upinzani, ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.

Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.

Kwa kweli katutoa gizani, JNHEP bila yeye tungekuwa gizani, na SGR isingekamilika
 
Sasa hivi Tanzania katika viwango vya kimataifa inang’ara?

Kasema hivyo na wamempigia makofi!

Kama inang’ara hivyo mbona hakwenda Marekani kwenye UNGA?

Kama kweli inang’ara basi afanye mahojiano na Stephen Sackur kwenye HARDtalk halafu tuone 🤣.
Unamauninga mengi sana,utakuwa mke wa pdidy huko USA

USSR
 
Rais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.

Wakiambiwa mwenyekiti wao/ Rais ni muuaji wajibu kweli, ameua nguvu hasi ya upinzani, ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.

Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.

HERODE hakuua, bali aliagiza askari "WAKE" enzi za utawala "WAKE" kuua wazaliwa wa kwanza.
 
HERODE hakuua, bali aliagiza askari "WAKE" enzi za utawala "WAKE" kuua wazaliwa wa kwanza.
Katika hadithi ya Herode, mfalme wa Yuda, alitenda vitendo vya ukatili ili kuokoa mamlaka yake.

Alipokaribia kuzaliwa kwa Yesu, alijua kuwa alikuwa mtoto wa pekee ambaye angeweza kumwondoa madarakani.

Kwa hivyo, aliamuru kuuawa kwa wazaliwa wa kwanza wa wanaume, akatumia askari wake kufanya mauaji haya.

Hii ni simulizi inayosisimua na kuonyesha uwezo wa uongozi mbovu na woga wa kupoteza mamlaka.

Ndio, kuna mifano mingi ya viongozi wa kikatili katika historia. Hapa kuna baadhi yao:

1. Adolf Hitler:
Kiongozi wa Ujerumani ambaye aliongoza katika Vita vya Pili vya Dunia na alihusika katika mauaji ya mamilioni ya Wayahudi na makundi mengine kupitia mpango wake wa "Holocaust".

2. Joseph Stalin:
Kiongozi wa Umoja wa Kisovyeti ambaye alitumia ukatili mkubwa, ikiwa ni pamoja na kuua mahasimu wa kisiasa, kuhamasisha njaa kubwa, na kutekeleza usafirishaji wa watu wengi kwa nguvu.

3.Mao Zedong:
Kiongozi wa China ambaye aliongoza katika kipindi cha "Mgreat Leap Forward" na "Cultural Revolution", matukio ambayo yalisababisha njaa na vifo vya mamilioni ya watu.

4. Pol Pot:
Kiongozi wa Khmer Rouge nchini Cambodia, alihusika katika mauaji ya mamilioni ya watu kati ya mwaka 1975 na 1979, akilenga wasomi na makundi mengine.

5. King Leopold II:
Mfalme wa Ubelgiji aliyesimamia ukoloni wa Kongo, ambapo alihusika katika ukatili na unyonyaji wa rasilimali, na kusababisha vifo vya mamilioni ya watu.

6. Idi Amin:
Rais wa Uganda ambaye alijulikana kwa ukatili na unyanyasaji wa haki za binadamu, akiwashambulia wapinzani wake na kuua maelfu ya watu.

Mifano hii inadhihirisha jinsi viongozi wanavyoweza kutumia mamlaka yao kwa njia mbaya, na athari zao zinaweza kudumu kwa vizazi.
 
..Samia anapovaa nguo za majeshi anafikiri ni fashion show?

..Vyombo vya dola vikiua maana yake Amiri Jeshi Mkuu na Raisi wameua.

..Vyombo vya dola na majeshi wakishinda vita maana yake Amiri Jeshi Mkuu ameshinda vita.

..Samia Suluhu Hassan kama hataki lawama na pongezi kwa utendaji wa vyombo vya dola anapaswa kujiuzulu.
Hata wakijenga hospitali ni Rais kajenga hata kama hajabeba tofali.
 
Rais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.

Wakiambiwa mwenyekiti wao/ Rais ni muuaji wajibu kweli, ameua nguvu hasi ya upinzani, ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.

Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.

Hata SISIMIZI ana haki ya kuishi, SISIMIZI ana watoto,wajukuu, mume na mke, ukiwa haujali vitu vidogo hata vitu vikubwa utapuuza,ukiwa unajali vitu vidogo utajali vitu vikubwa.
 
Hadithi ya Herode kutuma aletewe kichwa cha Yohana Mbatizaji inapatikana katika Injili ya Mathayo 14:1-12. Yohana Mbatizaji alikuwa akimkosoa Herode kwa kumuoa Herodia, mke wa nduguye. Herodia alikasirishwa na ukosoaji wake na alitaka Yohana afe.

Katika sherehe ya siku ya kuzaliwa ya Herode, aliahidi kumtimizia malkia (Herodia) chochote alichotaka. Kwa kutaka kumwua Yohana, Herodia alimuambia Herode ampe kichwa cha Yohana. Herode, licha ya kutokuwa na hamu ya kumuua Yohana, alikubali ombi hilo ili kuokoa uso wake mbele ya wageni wake.

Hadithi hii inaonyesha:

1. Ukatili wa Dikteta:
Herode alitenda kwa sababu ya shinikizo la kisiasa na la kijamii, akionyesha ukatili wa viongozi wanaotafuta kutunza mamlaka yao.

2.Madhara ya Ukosoaji:
Yohana alikumbana na hatari kwa sababu ya kusema ukweli, akionyesha jinsi ukosoaji wa viongozi unaweza kuleta madhara makubwa.

3. Mwanamke na Ushawishi:
Hadithi inaonyesha jinsi wanawake wanaweza kuwa na ushawishi katika siasa, lakini pia huwa na majukumu makubwa katika maamuzi mabaya.

Hadithi hii ni mfano wa jinsi siasa na maadili yanavyoweza kuingiliana na kusababisha matukio makubwa katika historia.
 
Kila Goti Litapigwa Kwa Vitu Vya Duniani Na Mbinguni
 
Sasa hivi Tanzania katika viwango vya kimataifa inang’ara?

Kasema hivyo na wamempigia makofi!

Kama inang’ara hivyo mbona hakwenda Marekani kwenye UNGA?

Kama kweli inang’ara basi afanye mahojiano na Stephen Sackur kwenye HARDtalk halafu tuone 🤣.
kufanya mahojiano na stephen ni kumfanya samia aaibike
 
mama,
Wewe ndio afande NAMBA MOJA HAPA.
maafande wako wa chini wakiua na Wewe umeua.
sababu wewe ndo mwenye amri ya kukataza haya mambo ya utekaji na mauaji.labda useme unawaogopa wakuu wako wa ulinzi.
 
Back
Top Bottom