Na hicho ndicho tunachokifanya mimi pamoja na hao wangwana wazalendo muhimu sana kwa Taifa uliowatag.
ChoiceVariable na
Lucas Mwashambwa
Kazi yetu kwa niaba ya chama na wananchi ni kujibu hoja na kueleza kinagaubaga mama huyu kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan na Serikali yake sikivu ya CCM wanafanya nini kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.
Hata siku moja huwezi kuta mimi au hata hao wangwana tunampongeza Rais bila kwanza kueleza kinagaubaga alichofanya kwaajili ya manufaa ya hawa waTanzania..
Kwa mfano,
Hembu angalia uzalendo, nia na dhamira njema ya mama huyu kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan, leo alipaswa kuhutubia Baraza kuu la umoja wa Mataifa huko new York marikani, akaamua kung'ang'ana tu na kuwaletea maendeleo waTanzania wa Ruvuma na Songea.
Kweli tuache kumpongeza Rais kwa hilo mpendwa mtumishi
Lamomy na hata haijulikani umekurupukia kutoka wapi maana ni kitambo hauko jukwaani?, real?🐒