Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Uchawa sio hoja, bali ni utoto.Mdogo wangu Lamomy ,Mimi huwa najibu hoja mpaka wapinzani wanatetemeka na kububujikwa na machozi Utafikiri wamepigwa na bomu la machozi ndani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchawa sio hoja, bali ni utoto.Mdogo wangu Lamomy ,Mimi huwa najibu hoja mpaka wapinzani wanatetemeka na kububujikwa na machozi Utafikiri wamepigwa na bomu la machozi ndani.
Sikujua kuwa rais anaweza kurogwa na akarogeka kirahisi hivyo.....Raisi anasema toto lako. Ni mtoto sio toto
Sasa huyu Rais ana takia atoke hadharani atuambie ni nani mwenye dhamana ya kuliongoza hili Taifa, ili wananchi tumlalamikie yeye. Maana sasa Mama ana onekana kuto kujua majukumu yake.Rais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.
Wakiambiwa mwenyekiti wao/ Rais ni muuaji wajibu kweli, ameua nguvu hasi ya upinzani, ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.
Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.
Mtikisiko CCM ni mkubwa sana, tuendelee na maombi Ili wagawane fito.Wananchi Jilindeni wenyewe- Chalamila
Atizame Kwa Umakini mikono yake, Kuna kitu ataona.Naunga mkono hoja, mtu mwenye wajihi kama huu, Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” hawezi hata kuua panya!, kama ni kuua labda mbu, mende na sisimizi.
Ila kwa vile yuko serikalini na yeye ndie mkuu wa serikali, na anajua kuna mazingira fulani, serikali zote duniani huwa zina waua watu hatarishi kwa usalama wa nchi, dissidents, na kabla hawa dissidents hawajauliwa lazima CinC asaini ile death warrant, then death warrant yoyote ikisainiwa, aliyeua ni aliyesaini death warrant na sio wale watekelezaji.
Ikitokea makosa ya watu wake kumuua kwa makosa mtu safi kwa kudhaniwa ni dissident, then the blood of that person is upon aliyetoa hiyo order kwa niaba yake.
Na kunapotokea vifo ambavyo vingezuilika kwa kufanya kitu lakini hakikufanyika, then damu iliyomwagika is upon yule ambaye angezuia lakini hakuzuia.
Hivyo tumeshauri Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!
P
Nani?Huyu mpumbavu(muuaji)kutukosea sana kuwaita watu ni sisimizi.Atuombe msamaha watanzania
Sasa kama una mtoto mtukutu!? Huyo siyo mtoto tena,bali ni litoto na muda wowote ule litaangukia kwenye mikono ya Magereza likalelewi huko litoto lako lisilokua na adabu!!Raisi anasema toto lako. Ni mtoto sio toto
Arguments: waliouwawa ni sisimiziRais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.
Wakiambiwa mwenyekiti wao/ Rais ni muuaji wajibu kweli, ameua nguvu hasi ya upinzani, ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.
Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu
Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.
Kile kisomo cha Tanga kimeanza kufanya kaziSikujua kuwa rais anaweza kurogwa na akarogeka kirahisi hivyo.....
Huyu maza kupitia speech yake ni wazi kesharogwa kabisa kabisa.
Yaani Marehemu Mzee Kibao leo anafananishwa na sisimizi ! Mungu tunaomba utuamulie huu ugomvi atatumaliza huyu.Huyu (muuaji)katukosea sana kuwaita watu ni sisimizi.Atuombe msamaha watanzania
Katukera sana Huyu muuaji.Mungu atusaidie kutuamulia ugomviYaani Marehemu Mzee Kibao leo anafananishwa na sisimizi ! Mungu tunaomba utuamulie huu ugomvi atatumaliza huyu.