Pre GE2025 Rais Samia: Sijawahi kuua mtu labda sisimizi, jibuni hoja zao msikae kimya

Pre GE2025 Rais Samia: Sijawahi kuua mtu labda sisimizi, jibuni hoja zao msikae kimya

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Rais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.

Wakiambiwa mwenyekiti wao/ Rais ni muuaji wajibu kweli, ameua nguvu hasi ya upinzani, ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.

Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.

Sasa huyu Rais ana takia atoke hadharani atuambie ni nani mwenye dhamana ya kuliongoza hili Taifa, ili wananchi tumlalamikie yeye. Maana sasa Mama ana onekana kuto kujua majukumu yake.
Rais Samia ana takiwa akumbuke kiapo chake. Anapi jibu kwa dhihaka kwamba labda ame wahi kuua sisimizi hata sisi ni sisimizi mbele yake.
Atoke hadharani atuambie watu wanao uwawa ni nani ana fanya hayo matukio. Sio kuleta majibu rahisi kwenye hija ngumu.

Kazi ya Rais ni nini? Tumtuhumu nani kama sio yeye? Hao wasaidizi wake wana fanya nini?
 
👇
 

Attachments

  • Screenshot_20240929-103855.jpg
    Screenshot_20240929-103855.jpg
    376.8 KB · Views: 1
Naunga mkono hoja, mtu mwenye wajihi kama huu, Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” hawezi hata kuua panya!, kama ni kuua labda mbu, mende na sisimizi.

Ila kwa vile yuko serikalini na yeye ndie mkuu wa serikali, na anajua kuna mazingira fulani, serikali zote duniani huwa zina waua watu hatarishi kwa usalama wa nchi, dissidents, na kabla hawa dissidents hawajauliwa lazima CinC asaini ile death warrant, then death warrant yoyote ikisainiwa, aliyeua ni aliyesaini death warrant na sio wale watekelezaji.

Ikitokea makosa ya watu wake kumuua kwa makosa mtu safi kwa kudhaniwa ni dissident, then the blood of that person is upon aliyetoa hiyo order kwa niaba yake.

Na kunapotokea vifo ambavyo vingezuilika kwa kufanya kitu lakini hakikufanyika, then damu iliyomwagika is upon yule ambaye angezuia lakini hakuzuia.

Hivyo tumeshauri Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!
P
Atizame Kwa Umakini mikono yake, Kuna kitu ataona.
 
Walioelewa mtueleze nini maana ya SISIMIZI, CHAWA, KUOTA MKIA na NONSENSE. Labda ni misamiati yenye maana tofauti tofauti kwa waswahili.
 
Raisi anasema toto lako. Ni mtoto sio toto
Sasa kama una mtoto mtukutu!? Huyo siyo mtoto tena,bali ni litoto na muda wowote ule litaangukia kwenye mikono ya Magereza likalelewi huko litoto lako lisilokua na adabu!!
 
Rais Samia amesema anasikitishwa baada ya kusikia mwenyekiti (yeye) anavyoshambuliwa na kusema ukweli wanaujua hivyo wasimame imara, akisema mdomo wa mwenyekiti mmoja kujibu hoja zinazotolewa hautoshelezi na ana majukumu mengi badala yake wasimame kujibu hoja hizo.

Wakiambiwa mwenyekiti wao/ Rais ni muuaji wajibu kweli, ameua nguvu hasi ya upinzani, ameua njia zote za kuzidisha umasikini nchini na amekuza uchumi wa nchi hii, ameua giza lililokuwa limegubika Tanzania na kwamba sasa tanzania katika kiwango cha kimataifa inang'ara.

Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Haya ndio aliyowahi kuua, hajawai kuua mtu, labda sisimizi ndio amewahi kuua.

Arguments: waliouwawa ni sisimizi
 
Muuaji anasema yeye hakuua ila alituma watu wakauue baada ya kulazimishwa asiini oder ya kifo yenye picha na jina flan
 
Huyu (muuaji)katukosea sana kuwaita watu ni sisimizi.Atuombe msamaha watanzania
Yaani Marehemu Mzee Kibao leo anafananishwa na sisimizi ! Mungu tunaomba utuamulie huu ugomvi atatumaliza huyu.
 
Back
Top Bottom