Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Hahaha. ......hawajasemaTunataka report ya kifo cha Meddy kibao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha. ......hawajasemaTunataka report ya kifo cha Meddy kibao.
Huyu mama namuhurumia mno kwakukutana na watanganyika ambao ni mafisi ambao wana lengo la kumvuruga mama wa watu ili aonekane mbayamama,
Wewe ndio afande NAMBA MOJA HAPA.
maafande wako wa chini wakiua na Wewe umeua.
sababu wewe ndo mwenye amri ya kukataza haya mambo ya utekaji na mauaji.labda useme unawaogopa wakuu wako wa ulinzi.
🤣 🤣 🤣Msihangaike sana maana shida ilianzia hapa
Huyu mama namuhurumia mno kwakukutana na watanganyika ambao ni mafisi ambao wana lengo la kumvuruga mama wa watu ili aonekane mbaya
Sasa sheria/mahakama kazi yake nini?Naunga mkono hoja, mtu mwenye wajihi kama huu, Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!” hawezi hata kuua panya!, kama ni kuua labda mbu, mende na sisimizi.
Ila kwa vile yuko serikalini na yeye ndie mkuu wa serikali, na anajua kuna mazingira fulani, serikali zote duniani huwa zina waua watu hatarishi kwa usalama wa nchi, dissidents, na kabla hawa dissidents hawajauliwa lazima CinC asaini ile death warrant, then death warrant yoyote ikisainiwa, aliyeua ni aliyesaini death warrant na sio wale watekelezaji.
Ikitokea makosa ya watu wake kumuua kwa makosa mtu safi kwa kudhaniwa ni dissident, then the blood of that person is upon aliyetoa hiyo order kwa niaba yake.
Na kunapotokea vifo ambavyo vingezuilika kwa kufanya kitu lakini hakikufanyika, then damu iliyomwagika is upon yule ambaye angezuia lakini hakuzuia.
Hivyo tumeshauri Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!
P
Amin, Amen, Amina.CCM wote wauaji, walitaka kumuua Lissu. Kifo cha Kibao mama hafiki 2025
Mimi kwa upande wangu naamini maneno yake. Kinachoniumiza na kunisikitisha kwa nini manusura wanawataja watesi na wauaji wao hadharani kabisa na hawachukuliwi hatua zozote. Hii ni nini maana yake?
Kiufupi inawezekana hajaua ila anajua kinachoendelea, sio?Na hiyo ndio inafanya watu wamhusishe yeye moja kwa moja kwakuwa mamlaka ya kuchukua hatua anayo lakini hatuoni akichukua.
Kiufupi inawezekana hajaua ila anajua kinachoendelea, sio?
NakaziaKiufupi inawezekana hajaua ila anajua kinachoendelea, sio?
You shameless leaders, when are you going to stop hypocrisy???
Vyeo visifanye mtu usahau vitabu vitakatifuu....
Si lazima kushiriki direct lkn hatakama unajua na unaficha na kutetea mauaji tayari umeshiriki mauaji hayo!!
Mtangulizi hakufanya direct ila alitetea kama anavyotetea mpokea kijiti huku akiuficha ukweli badala ya kuruhusu waovu wachukuliwe hatua stahiki yeye
You shameless leaders, when are you going to stop hypocrisy???
Vyeo visifanye mtu usahau vitabu vitakatifuu....
Si lazima kushiriki direct lkn hatakama unajua na unaficha na kutetea mauaji tayari umeshiriki mauaji hayo!!
Mtangulizi hakufanya direct ila alitetea kama anavyotetea mpokea kijiti huku akiuficha ukweli badala ya kuruhusu waovu wachukuliwe hatua stahiki yeye anawapa vyeo!!!
Even the truth can be deceptive , dah wanatukosea sana.You shameless leaders, when are you going to stop hypocrisy???
Vyeo visifanye mtu usahau vitabu vitakatifuu....
Si lazima kushiriki direct lkn hatakama unajua na unaficha na kutetea mauaji tayari umeshiriki mauaji hayo!!
Mtangulizi hakufanya direct ila alitetea kama anavyotetea mpokea kijiti huku akiuficha ukweli badala ya kuruhusu waovu wachukuliwe hatua stahiki yeye anawapa vyeo!!!
Na hicho ndicho tunachokifanya mimi pamoja na hao wangwana wazalendo muhimu sana kwa Taifa uliowatag. ChoiceVariable na Lucas MwashambwaTlaatlaah Lucas Mwashambwa ChoiceVariable mmesikia ujumbe wenu, mama anataka mjibu hoja sio kumsifia..
Unaponichosha ni hayo magazeti yako 😂😂😂Na hicho ndicho tunachokifanya mimi pamoja na hao wangwana wazalendo muhimu sana kwa Taifa uliowatag. ChoiceVariable na Lucas Mwashambwa
Kazi yetu kwa niaba ya chama na wananchi ni kujibu hoja na kueleza kinagaubaga mama huyu kipenzi cha waTanzania Dr. Samia Suluhu Hassan na Serikali yake sikivu ya CCM wanafanya kwa maslahi mapana ya waTanzania wote.
Hata siku moja huwezi kuta mimi au hata hao wangwana tunampongeza Rais bila kwanza kueleza kinagaubaga alichofanya kwaajili ya manufaa ya hawa waTanzania..
Kwa mfano,
Hembu angalia uzalendo, nia nadhamira njema ya mama huyu kipenzi cha waTanzania Dr Samia Suluhu Hassan, leo alipaswa kuhutubia Baraza kuu la umoja wa Mataifa huko new York marikani, akaamua kung'ang'ana tu na kuwaletea maendeleo waTanzania wa Ruvuma na Songea.
Kweli tuache kumpongeza Rais kwa hilo mpendwa mtumishi Lamomy na hata haijulikani umekurupukia kutoka wapi maana ni kitambo hauko jukwaani?, real?🐒
hiyo ni Neema na Baraka za Mungu iliyo ndani yangu dhidi ya watu wa Mungu. Na ntaandika sana. Just imagine kuongea nakuaje sasa , hususani wakati wa kuhubiri au siasa?Unaponichosha ni hayo magazeti yako 😂😂😂
Nyie watu sio machawa ila kunguni mnang’ata kisha mnapotea