Rais Samia: Sikuwa na ndoto za kuwa Rais bali nilikuwa na ndoto za kuwa mhudumu wa ndege (Air hostess)

Rais Samia: Sikuwa na ndoto za kuwa Rais bali nilikuwa na ndoto za kuwa mhudumu wa ndege (Air hostess)

View attachment 2928740

Rais Samia ameyazungumza hayo leo katika siku ya wanawake duniani ambapo nae amehudhuria kongamano la wanawake.
---
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati anasoma sekondari ndoto yake ilikuwa ni kuwa mhudumu wa ndege kwa kuwa alivutiwa na wafanyakazi Shirika la Ndege la DRC wanavyovaa.

Rais Samia ameyasema hayo leo Ijumaa, Machi 8, 2024 wakati wa mahojiano ya ana kwa ana na Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd (MCL), Bakari Machumu kwenye kongamano la The Citizen Rising Woman linalofanyika ukumbi wa The Super Dome jijini Dar es Salaam

Source: Mwananchi
Hatimaye kitendawili kimetenguliwa
 
View attachment 2928740

Rais Samia ameyazungumza hayo leo katika siku ya wanawake duniani ambapo nae amehudhuria kongamano la wanawake.
---
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati anasoma sekondari ndoto yake ilikuwa ni kuwa mhudumu wa ndege kwa kuwa alivutiwa na wafanyakazi Shirika la Ndege la DRC wanavyovaa.

Rais Samia ameyasema hayo leo Ijumaa, Machi 8, 2024 wakati wa mahojiano ya ana kwa ana na Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd (MCL), Bakari Machumu kwenye kongamano la The Citizen Rising Woman linalofanyika ukumbi wa The Super Dome jijini Dar es Salaam

Source: Mwananchi
Kama ndoto imezidi kiwango, si atuachie nchi 2025!!?
 
View attachment 2928740

Rais Samia ameyazungumza hayo leo katika siku ya wanawake duniani ambapo nae amehudhuria kongamano la wanawake.
---
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati anasoma sekondari ndoto yake ilikuwa ni kuwa mhudumu wa ndege kwa kuwa alivutiwa na wafanyakazi Shirika la Ndege la DRC wanavyovaa.

Rais Samia ameyasema hayo leo Ijumaa, Machi 8, 2024 wakati wa mahojiano ya ana kwa ana na Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd (MCL), Bakari Machumu kwenye kongamano la The Citizen Rising Woman linalofanyika ukumbi wa The Super Dome jijini Dar es Salaam

Source: Mwananchi
ni sawa tu 🐒

ndoto saa zingine,
kutokana na mazingira hushindwa kutimia na badala yake kazi na maisha mengine huchukua hatamu 🐒

muhimu uskate tamaa...
 
Na
View attachment 2928740

Rais Samia ameyazungumza hayo leo katika siku ya wanawake duniani ambapo nae amehudhuria kongamano la wanawake.
---
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati anasoma sekondari ndoto yake ilikuwa ni kuwa mhudumu wa ndege kwa kuwa alivutiwa na wafanyakazi Shirika la Ndege la DRC wanavyovaa.

Rais Samia ameyasema hayo leo Ijumaa, Machi 8, 2024 wakati wa mahojiano ya ana kwa ana na Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd (MCL), Bakari Machumu kwenye kongamano la The Citizen Rising Woman linalofanyika ukumbi wa The Super Dome jijini Dar es Salaam

Source: Mwananchi
Na huo utukunyema labda mwajiri angekuwa mjomba wake,umbo la bapa na flight attendant wapi na wapi
 
View attachment 2928740

Rais Samia ameyazungumza hayo leo katika siku ya wanawake duniani ambapo nae amehudhuria kongamano la wanawake.
---
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati anasoma sekondari ndoto yake ilikuwa ni kuwa mhudumu wa ndege kwa kuwa alivutiwa na wafanyakazi Shirika la Ndege la DRC wanavyovaa.

Rais Samia ameyasema hayo leo Ijumaa, Machi 8, 2024 wakati wa mahojiano ya ana kwa ana na Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd (MCL), Bakari Machumu kwenye kongamano la The Citizen Rising Woman linalofanyika ukumbi wa The Super Dome jijini Dar es Salaam

Source: Mwananchi
ndo' maana anapenda kuzurura'flying president'.
 
Rais Samia amesema akiwa mdogo alitamani kuwa Muhudumu wa Ndege ( air hostess)

Rais Samia amesema hayo siku ya Wanawake duniani

Source: Wasafi fm
 

Rais Samia ameyazungumza hayo leo katika siku ya wanawake duniani ambapo nae amehudhuria kongamano la wanawake.
---
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati anasoma sekondari ndoto yake ilikuwa ni kuwa mhudumu wa ndege kwa kuwa alivutiwa na wafanyakazi Shirika la Ndege la DRC wanavyovaa.

Rais Samia ameyasema hayo leo Ijumaa, Machi 8, 2024 wakati wa mahojiano ya ana kwa ana na Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd (MCL), Bakari Machumu kwenye kongamano la The Citizen Rising Woman linalofanyika ukumbi wa The Super Dome jijini Dar es Salaam

Source: Mwananchi
Aweke picha ya enzi hizo tuone.
 
Back
Top Bottom