kirengased
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 6,348
- 7,058
Tumsaidie atimize ndoto zake...
Tumtoe ikulu tumpeleke atcl maana bado hajachelewa
Tumtoe ikulu tumpeleke atcl maana bado hajachelewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani nimetafakari sana nikajikuta nacheka tu kwasababu muhusika na hiyo kazi 🤔Hivi hao watu si wanakuaga ma model flani hivi?Anyway ATCL vibonge wapo lolote lingewezekana as long as ni tz
Hata mie huwa najiuliza hivi huyu Rais katoka wapi ? Ni hovyo na bomu kabisa Bora angefanya kazi ya ndoto zake
Rais Samia ameyazungumza hayo leo katika siku ya wanawake duniani ambapo nae amehudhuria kongamano la wanawake.
---
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati anasoma sekondari ndoto yake ilikuwa ni kuwa mhudumu wa ndege kwa kuwa alivutiwa na wafanyakazi Shirika la Ndege la DRC wanavyovaa.
Rais Samia ameyasema hayo leo Ijumaa, Machi 8, 2024 wakati wa mahojiano ya ana kwa ana na Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd (MCL), Bakari Machumu kwenye kongamano la The Citizen Rising Woman linalofanyika ukumbi wa The Super Dome jijini Dar es Salaam
Source: Mwananchi
Kwani kwa sasa ana tofauti gani na air hostess? Kila siku yupo kwenye ndege
Rais Samia ameyazungumza hayo leo katika siku ya wanawake duniani ambapo nae amehudhuria kongamano la wanawake.
---
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati anasoma sekondari ndoto yake ilikuwa ni kuwa mhudumu wa ndege kwa kuwa alivutiwa na wafanyakazi Shirika la Ndege la DRC wanavyovaa.
Rais Samia ameyasema hayo leo Ijumaa, Machi 8, 2024 wakati wa mahojiano ya ana kwa ana na Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd (MCL), Bakari Machumu kwenye kongamano la The Citizen Rising Woman linalofanyika ukumbi wa The Super Dome jijini Dar es Salaam
Source: Mwananchi
🤣🤣🤣🤣Nadhani hicho ndio anachokifanya kwa sasa, anaishi ndoto zake
🤣🤣🤣🤣Nadhani hicho ndio anachokifanya kwa sasa, anaishi ndoto zake
Hivi upstairs uwa wako vipi!?Yani nimetafakari sana nikajikuta nacheka tu kwasababu muhusika na hiyo kazi 🤔
🤣Sijawahi kuona Air hostage mfupi.
Rais Samia ameyazungumza hayo leo katika siku ya wanawake duniani ambapo nae amehudhuria kongamano la wanawake.
---
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati anasoma sekondari ndoto yake ilikuwa ni kuwa mhudumu wa ndege kwa kuwa alivutiwa na wafanyakazi Shirika la Ndege la DRC wanavyovaa.
Rais Samia ameyasema hayo leo Ijumaa, Machi 8, 2024 wakati wa mahojiano ya ana kwa ana na Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd (MCL), Bakari Machumu kwenye kongamano la The Citizen Rising Woman linalofanyika ukumbi wa The Super Dome jijini Dar es Salaam
Source: Mwananchi
Na
Na huo utukunyema labda mwajiri angekuwa mjomba wake,umbo la bapa na flight attendant wapi na wapi
Acha uchokozi mkuu😄😄😄Hahahaha..Eti baba alikua mwalimu...Kuna siku mama atajisahau amtaje mazima😊😊
Kumbe ndiyo maana kutwa kiguu na njia na ndege zetu kuzurura!
Rais Samia ameyazungumza hayo leo katika siku ya wanawake duniani ambapo nae amehudhuria kongamano la wanawake.
---
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati anasoma sekondari ndoto yake ilikuwa ni kuwa mhudumu wa ndege kwa kuwa alivutiwa na wafanyakazi Shirika la Ndege la DRC wanavyovaa.
Rais Samia ameyasema hayo leo Ijumaa, Machi 8, 2024 wakati wa mahojiano ya ana kwa ana na Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd (MCL), Bakari Machumu kwenye kongamano la The Citizen Rising Woman linalofanyika ukumbi wa The Super Dome jijini Dar es Salaam
Source: Mwananchi
Au hence shownHence proven!
Hence shown!
Asilimia kubwa ya Watu wanafanya kazi ambazo hawakuziwazia.
Rais Samia ameyazungumza hayo leo katika siku ya wanawake duniani ambapo nae amehudhuria kongamano la wanawake.
---
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema wakati anasoma sekondari ndoto yake ilikuwa ni kuwa mhudumu wa ndege kwa kuwa alivutiwa na wafanyakazi Shirika la Ndege la DRC wanavyovaa.
Rais Samia ameyasema hayo leo Ijumaa, Machi 8, 2024 wakati wa mahojiano ya ana kwa ana na Mkurugenzi Mtendaji wa Mwananchi Communications Ltd (MCL), Bakari Machumu kwenye kongamano la The Citizen Rising Woman linalofanyika ukumbi wa The Super Dome jijini Dar es Salaam
Source: Mwananchi
Unasemaaa?!?Hence proven!
Hence shown!