#COVID19 Rais Samia: Silazimishi watu kupata chanjo, kila mtu ni mkubwa ana akili yake

#COVID19 Rais Samia: Silazimishi watu kupata chanjo, kila mtu ni mkubwa ana akili yake

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa Zinga, Bagamoyo amesema halazimishi watu kupata Chanjo dhidi ya COVID-19 akieleza, "Kila mtu ni mkubwa ana akili yake. Vituo vipo ukijihisi unataka kwenda nenda, ukiona bado hutaki ni wewe na maamuzi yako"

Amesisitiza "Tusidanganyane, COVID-19 ipo na inachukua maisha ya watu wetu. Sikwambii ukichanja hutopata, ukipata haina maumivu makubwa"
 
Sasa kusema hulazimishwi ndio nini? Kitu kama kina madhara halafu unakaa kimya na wewe ndio kiongozi hiyo maana yake nini? Wewe ni kiongozi wa aina gani sasa unashindwa kuchumbulia wananchi wako lililo baya na lililo jema na ukawashauri accordingly? Huu ni udhaifu wa hali ya juu!!
 
Kila mtu si mkubwa huku ni kujivua uwajibikaji tu.

Si aseme tu kuwa yuko kwenye kusimamisha uchumi wake kwanza?

Corona ipo na inachukua maisha ya watu maana yake nini? Au ndiyo tunayoiona kutuongezea mzigo wa tozo na kodi zaidi?

Takwimu kama walivyo ainishwa wataalamu ziko wapi?

Aache kutufanya mazwazwa kama Jumbe Brown au zandrano
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Sijui kusudi la Mungu Mimi kuzaliwa Bongo Land ni nini tu? Hua najiona ilifaa niwe huko Israeli tu. Maana kila leo vioja. Huku Mama J, hujakaa sawa Ewura na Bei mpya ya mafuta ukitulia kidogo wanakanusha tena. Ukisema yameisha linakuja la watu kujiita Mawakili Wasomi, Kidogo Tena Korona duuh.
 
Kila mtu si mkubwa huku ni kujivua uwajibikaji tu.

Si aseme tu kuwa yuko kwenye kusimamisha uchumi wake kwanza?

Corona ipo na inachukua maisha ya watu maana yake nini? Au ndiyo tunayoiona kutuongezea mzigo wa tozo na kodi zaidi?

Takwimu kama walivyo ainishwa wataalamu ziko wapi?

Aache kutufanya mazwazwa kama Jumbe Brown au zandrano
Ulitaka asemaje mkuu kuhusu chanjo?
 
Sasa kusema hulazimishwi ndio nini? Kitu kama kina madhara halafu unakaa kimya na wewe ndio kiongozi hiyo maana yake nini? Wewe ni kiongozi wa aina gani sasa unashindwa kuchumbulia wananchi wako lililo baya na lililo jema na ukawashauri accordingly?! Huu ni udhaifu wa hali ya juu!!
Kuwa basi rais ili ulazimishe watu unachokitaka. Una elements zote za dikteta!
Rais yuko sahihi! Kila mtu ni mtu mzima. Achague aonavyo vyema.
Kama hupendi, kunywa maji endelea na kazi. Kama una mashaka jifungie ndani utakuwa salama!
 
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa Zinga, Bagamoyo amesema halazimishi watu kupata Chanjo dhidi ya COVID-19 akieleza, "Kila mtu ni mkubwa ana akili yake. Vituo vipo ukijihisi unataka kwenda nenda, ukiona bado hutaki ni wewe na maamuzi yako"

Amesisitiza "Tusidanganyane, COVID-19 ipo na inachukua maisha ya watu wetu. Sikwambii ukichanja hutopata, ukipata haina maumivu makubwa"

ivi bado hazijaisha tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Rais Samia Suluhu Hassan akiwa Zinga, Bagamoyo amesema halazimishi watu kupata Chanjo dhidi ya COVID-19 akieleza, "Kila mtu ni mkubwa ana akili yake. Vituo vipo ukijihisi unataka kwenda nenda, ukiona bado hutaki ni wewe na maamuzi yako"

Amesisitiza "Tusidanganyane, COVID-19 ipo na inachukua maisha ya watu wetu. Sikwambii ukichanja hutopata, ukipata haina maumivu makubwa"
Mbona kama Anaongea kwa HASIRA
 
Sijui kusudi la Mungu Mimi kuzaliwa Bongo Land ni nini tu? Hua najiona ilifaa niwe huko Israeli tu. Maana kila leo vioja. Huku Mama J, hujakaa sawa Ewura na Bei mpya ya mafuta ukitulia kidogo wanakanusha tena. Ukisema yameisha linakuja la watu kujiita Mawakili Wasomi, Kidogo Tena Korona duuh.
Hatari sana mkubwa mara Yesu na Mkewe yaani
 
Tuko na mama. Kuchanjwa ni hiari. Best approach.
 
Back
Top Bottom