#COVID19 Rais Samia: Silazimishi watu kupata chanjo, kila mtu ni mkubwa ana akili yake

#COVID19 Rais Samia: Silazimishi watu kupata chanjo, kila mtu ni mkubwa ana akili yake

Wewe ni lijinga wa kiwango cha utelezi wa mfinyanzi. Chanjo ni ya majaribio, acha mama atupe uhuru wa kuchagua.
Huyo ni kiongozi, hakupewa hiyo nafasi ili aje aseme kila mtu aamue, mbona watu hawapewi uhuru wa kujinyonga? WaTZ wote ni mali ya serikali na usalama na well being yao ni lazima ulindwe kwa gharama yeyote ile, na sio kuja kusema eti kila mtu aamue, kwani hatuna kiongozi, aseme basi kashindwa ili tutafute anayeweza kutuongoza! Hiyo chanjo ni ya majaribio, na haifanyi kile inachopaswa kufanya, means haikingi kuambukizwa wala kuugua na kufariki na huo ugonjwa. WaTz sio panya wa majaribio, hilo lieleweke wazi!
 
Idiot mkubwa, it will never happen chini ya Mama, sisi tuliowengi hasa Dkt Magufuli alituasa. Ninyi wenye chuki na Mama ndiyo manataka mama afuate ujinga wenu.
Mh Samia rais wetu tunakushukuru sana kwa kuwa na msimamo wa HIARI kwenye kuchanjwa. She knows better. Umeepusha mengi. Utakumbukwa kwa kunusuru WaTanzania na madhara yatokanayo na mashinikizo ya kulazimishwa kuchanjwa.
 
Mbona mmekazana sana na hoja kuwa chanjo ukichanjwa unapata maambukizi. Kwani kuna chanjo gani ambayo ukichanjwa hupati maambukizi kabisa 100%? Hata hizi za BCG wanazochanjwa wtt mbona wengine wanapata maambukizi ya TB lakini huwezi kuta wanapa ile hali mbayaa kabisa. Hebu acheni kubwabwaja kwa kusikia tuu maneno. Mama amekuacha uamue. Kwa waliofiwa na wapendwa wao ndo wanajua mtiti wa COVID uzuri wake hii inakuminya ndani ya siku tuu haupo.
 
Hakuna mkubwa nchi hii anayemzidi Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Mh. Rais wa JMT Samia Suluhu Hassan.
Kauli ya Mh. Rais imekuja wakati muafaka kuashiria watumishi wote wa umma kupata chanjo,kwani utumishi wao ni sehemu ya kutii maelekezo na mfano alioutoa Mh. Rais juu ya chanjo ingawa sio lazima.
Hata hivyo utii wa amri sio shuruti,ingawa inafaa kuzingatia kwani wakati mwingine amri sio lazima itoke kwa ukali na sauti ya kutisha.
 
Hakuna mkubwa nchi hii anayemzidi Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Mh. Rais wa JMT Samia Suluhu Hassan.
Kauli ya Mh. Rais imekuja wakati muafaka kuashiria watumishi wote wa umma kupata chanjo,kwani utumishi wao ni sehemu ya kutii maelekezo na mfano alioutoa Mh. Rais juu ya chanjo ingawa sio lazima.
Hata hivyo utii wa amri sio shuruti,ingawa inafaa kuzingatia kwani wakati mwingine amri sio lazima itoke kwa ukali na sauti ya kutisha.
Idiot. Kuna watumishi I call them hawafai kuwa watumishi wamechanjwa na kupiga picha ili Mama awaone eti awateue hahahaha, idiot kabisa. Inakuwa kama wale wabunge wanategemea wapate uteuzi
 
Idiot. Kuna watumishi I call them hawafai kuwa watumishi wamechanjwa na kupiga picha ili Mama awaone eti awateue hahahaha, idiot kabisa. Inakuwa kama wale wabunge wanategemea wapate uteuzi
Sijaelewa Who is idiot?
By the way let wait & see,time have no barriers wala nini!!!
kinachofanyika sasa ni Just Assumptions.
Public servants ni zaidi ya 6.5- 8M+ sina hakika lakini ,so ikiangalia to-date only around 4K+ ambao ni mchanganyiko... Tasfiri yake ni nini...? Hawataki au hawana elimu, je wamegoma au wana/tuna hofu?
Ukiona mwenzako ananyolewa.....
 
Sasa unazungumzia korona halafu anawajazs wananchi mikutano ya handhara......

Kuna tatizo kubwa sana nchi hii
 
Huyo ni kiongozi, atoe msimamo dhabiti na wenye mantiki na hoja ya kutetea msimamo wake, sio kutia huruma ili kuepuka lawama kwa udhaifu wake. Hizo chanjo ni za majaribio, sasa apime madhara yanayoweza kupatikana kwa kitu ambacho hata hakizuii wala kukinga na yeye anakiri hilo, so?!
Umesema haki ndugu Don. Jambo hili linamshushia hadhi Mama hadi huku vijijini wanaishangaa Serikali.
 
Anapaswa kama Rais ku-declare kuwa Chanjo Ni lazima. Kama Chanjo hii ni salama, Serikali inajiuma-uma nini. Hii ndiyo maana wananchi wanasombwa na conspiracies.
Chanjo mpaka sasa zipo kiasi gani mkuu na watanzania wapo wangapi?
 
Alitaka awachape viboko wote wanaokataa na kuwadunga kwa nguvu. Mtanzania bana haridhiki kwa lolote
Kwanini iwe lazima kwenye afya ya mtu ambayo kila mmiliki ana maamuzi yake? Pia hizo chanjo Mil 1 na elfu 40 sijui zitawatoshaje watanzania wote waliokidhi vigezo vya kuchanjwa?
 
Sasa kusema hulazimishwi ndio nini? Kitu kama kina madhara halafu unakaa kimya na wewe ndio kiongozi hiyo maana yake nini? Wewe ni kiongozi wa aina gani sasa unashindwa kuchumbulia wananchi wako lililo baya na lililo jema na ukawashauri accordingly? Huu ni udhaifu wa hali ya juu!!
We ni mpuuzi, katibu mkuu wizara ya afya alishatoa ufafanuzi, unataka Rais aongee nini zaidi we mgalatia
 
We ni mpuuzi, katibu mkuu wizara ya afya alishatoa ufafanuzi, unataka Rais aongee nini zaidi we mgalatia
Hata chini ya Katibu mkuu kuna watendaji kama waganga wakuu wa mikoa nk; ila bado kiongozi mkuu wa nchi anawajibu collectively wa kuonyesha dira ambayo kila mmoja anapaswa kufuata; maisha ya WaTanzania sio ya kufanyia bahati nasibu, anaposema anaetaka kuchanjwa achanje na asiye taka kuchanja asichanjwe maana yake anajivua lawama, kwamba ukachanja na likakukuta la kuwakuta aje aseme ‘mi si nilisema kama unataka chanja, sikukulazimisha mimi, kwahiyo usinilaumu’. Mtu wa namna hii ni kiongozi?!
 
Hata chini ya Katibu mkuu kuna watendaji kama waganga wakuu wa mikoa nk; ila bado kiongozi mkuu wa nchi anawajibu collectively wa kuonyesha dira ambayo kila mmoja anapaswa kufuata; maisha ya WaTanzania sio ya kufanyia bahati nasibu, anaposema anaetaka kuchanjwa achanje na asiye taka kuchanja asichanjwe maana yake anajivua lawama, kwamba ukachanja na likakukuta la kuwakuta aje aseme ‘mi si nilisema kama unataka chanja, sikukulazimisha mimi, kwahiyo usinilaumu’. Mtu wa namna hii ni kiongozi?!
SO UNAONA NI BORA YABJIWE ALIYEONYESHA MSIMAMO WAKE, MOJA KWA MOJA KUWA NATAKA NCHI TWENDE HIVI AU VILE?
 
SO UNAONA NI BORA YABJIWE ALIYEONYESHA MSIMAMO WAKE, MOJA KWA MOJA KUWA NATAKA NCHI TWENDE HIVI AU VILE?
Hapana, tunahitaji hoja zote zifanyiwe kazi, kwamba kwanini zitumiwe na kwamba kwanini zisitumiwe, hoja itakayoibuka na ushindi wote tuifuate. Sasa kuacha hoja zinaelea hewani halafu unasema tu anaeona anataka kuchanjwa achanjwe, asiyetaka aache, ni akili za kitoto sana, na ni aibu kutolewa na kiongozi wa nchi.
Watu wanauliza, side effects za hizo chanjo za muda mfupi, muda wa kati (5yrs) na za muda mrefu (10yrs) ni zipi? Badala ya kujibu hoja mtu anakwambia ukitaka kachanje, hutaki acha ufe! Jamani, tuna kiongozi tuna nini hapo?!
Watu wanauliza, chanjo ili iitwe chanjo, kwa mujibu wa hao waliopitisha hiyo wanayoita chanjo (CDC Marekani), inatakiwa iweze kufanya nini na nini, na je, hicho kilicholetwa, kinafanya hayo ili kiweze kukidhi hivyo vigezo vya kuitwa chanjo? Definition ya chanjo ya CDC ipo yeyote anaweza kuipata kwenye website yao, labda kama wabadilishe sasa hivi hiyo definition, na kwa yeye kusema kwamba haizuii kuambukizwa, kuugua na kufariki basi automatically inafeli kuingia kwenye category ya chanjo, sasa watu wanauliza hii kama si chanjo, basi ni nini mnachotaka kutuchoma?! Je ni dawa? Definition ya dawa ni ipi? Na hii inakidhi vya kuitwa dawa?
Binafsi nashangazwa na aina ya udhaifu tulionao katika uongozi, udhaifu kama huu tulikuwa nao awamu ya 4 tu, na sidhani kama itakuja kujirudia tena; hatutakubali.
 
Back
Top Bottom