Chanjo ni takoni? Ccm ccm ccm, wanaharibu watu akili sana, ona huyu sasa.Niko na mama Samia!
.
Kila mtu na akili zake, wewe kama unataka chanjo peleka takle zako kawatengee wakupige chanjo kimya kimya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanjo ni takoni? Ccm ccm ccm, wanaharibu watu akili sana, ona huyu sasa.Niko na mama Samia!
.
Kila mtu na akili zake, wewe kama unataka chanjo peleka takle zako kawatengee wakupige chanjo kimya kimya
🤣🤣Mh.Rais ameshauri kitaalamu baada ya kushauriwa na Wataalamu wake....Kila mtu si mkubwa huku ni kujivua uwajibikaji tu.
Si aseme tu kuwa yuko kwenye kusimamisha uchumi wake kwanza?
Corona ipo na inachukua maisha ya watu maana yake nini? Au ndiyo tunayoiona kutuongezea mzigo wa tozo na kodi zaidi?
Takwimu kama walivyo ainishwa wataalamu ziko wapi?
Aache kutufanya mazwazwa kama Jumbe Brown au zandrano
🤣🤣Mh.Rais ameshauri kitaalamu baada ya kushauriwa na Wataalamu wake....
Kinyume chake mkuu Brazaj amekuja na maneno yasiyo ya "KIPOPOMA" kutusema sisi "mazwazwa"....🤣
Alikataa kukaa kwenye kiti cha mwenyekiti wa maadiliSasa ndugai kwann anataka kumuadhibu gwajima Kama Ni hiari
Gwajima ww ni msema kwel Mung yu pamoja na ww ,, rest in peace John pombe magufuriRais Samia Suluhu Hassan akiwa Zinga, Bagamoyo amesema halazimishi watu kupata Chanjo dhidi ya COVID-19 akieleza, "Kila mtu ni mkubwa ana akili yake. Vituo vipo ukijihisi unataka kwenda nenda, ukiona bado hutaki ni wewe na maamuzi yako"
Amesisitiza "Tusidanganyane, COVID-19 ipo na inachukua maisha ya watu wetu. Sikwambii ukichanja hutopata, ukipata haina maumivu makubwa"
Kosa lake ni kuenda kinyume na matakwa ya serikali, govt inataka watu wachanjwe alafu wewe upo tofauti hutaki kuchanjwa sawa, na unashawishi watu wasichanjwe kwa maneno ya uongoSasa ndugai kwann anataka kumuadhibu gwajima Kama Ni hiari
Ulitaka afanyeje kwa mfano?Huyu Mama hawezi kutupeleka mahali hakika nakwambia
Kila mtu si mkubwa huku ni kujivua uwajibikaji tu.
Si aseme tu kuwa yuko kwenye kusimamisha uchumi wake kwanza?
Corona ipo na inachukua maisha ya watu maana yake nini? Au ndiyo tunayoiona kutuongezea mzigo wa tozo na kodi zaidi?
Takwimu kama walivyo ainishwa wataalamu ziko wapi?
Aache kutufanya mazwazwa kama Jumbe Brown au zandrano
Kuongoza watanzania kazi sana.Sasa kusema hulazimishwi ndio nini? Kitu kama kina madhara halafu unakaa kimya na wewe ndio kiongozi hiyo maana yake nini? Wewe ni kiongozi wa aina gani sasa unashindwa kuchumbulia wananchi wako lililo baya na lililo jema na ukawashauri accordingly? Huu ni udhaifu wa hali ya juu!!
Zipi hizo complications mimi nimechanja naenda mwezi wa pili huu sijaona hizo complications?Tatizo sio kuchanja bali ni complications za chanjo
Alitaka awachape viboko wote wanaokataa na kuwadunga kwa nguvu. Mtanzania bana haridhiki kwa loloteUlitaka asemaje mkuu kuhusu chanjo?
Aisee kuwaongoza watanzania inahitaji uwe na roho kama ya paka vile.Alitaka awachape viboko wote wanaokataa na kuwadunga kwa nguvu. Mtanzania bana haridhiki kwa lolote
Wanafunzi hawana wazazi?...Anaposema "kila mtu ni mkubwa" anamaanisha hadi wanafunzi wa shule za msingi au hao sio wa tz?
Yeye ni Rais, anadhamana ya kulinda raia wake, tangu lini mchungaji akaona Simba mbele halafu anawaambia Kondoo kwamba kila mtu aamue kuendelea na Safari au kurudi nyuma? Nini maana ya kuwa kiongozi?! Ni kiongozi wa namna gani huyu?!!!Kuwa basi rais ili ulazimishe watu unachokitaka. Una elements zote za dikteta!
Rais yuko sahihi! Kila mtu ni mtu mzima. Achague aonavyo vyema.
Kama hupendi, kunywa maji endelea na kazi. Kama una mashaka jifungie ndani utakuwa salama!