Mkuu mi sikubaliani na wewe,Uraisi ni taasisi,sio mtu mmoja,
Haya mambo ya kuamka na kufsnya teuzi kama vile anateua shoga zake wakwenda nae ngomani yanakera,
Unateuaje viongozi waovyo,ambao clip zao wakifsnya mambo ya hovyo mtaani zipo kibao,hao intelligensia wanafanya Kazi gani!?Kwanini hateui watu kama Antony Mtaka,unaenda kutuletea Almasi Nyangasa!kwa kipi kikubwa alichofanya?
Kipindi Bety Mkwasa anateuliwa kuwa DC,nchi ilimuona kwa juhudi zake za kutoa Elimu ya ukimwi,sasa Hawa Kina Nick wa pili,Mwaipaya,wamefanya nini?
Kwanini anateua watu wa hovyo kabisa,si bora hata Ukampa Diamond unaibu waziri.
Nchi inawatu milioni 50+,unateua mijitu ambayo Haina accomplishment yoyote duniani,zaidi ya Swaga za ujana,wapo vijana wadogo Wana PHD,masters zao kwenye vyuo,wapo vijana wanapiga biashara kama Vunja bei,kwanini uwapi hao vyeo kwenye wilaya za kimkakati Ili walete Mawazo mapya,Hawa kina Mwaipaya,sasa hv wanawaza jinsi ya kuongeza kiwanja,kumaliza nyumba ya kupanga,hakuna kitu hapo
Mkuu mi sikubaliani na wewe,Uraisi ni taasisi,sio mtu mmoja,
Haya mambo ya kuamka na kufsnya teuzi kama vile anateua shoga zake wakwenda nae ngomani yanakera,
Unateuaje viongozi waovyo,ambao clip zao wakifsnya mambo ya hovyo mtaani zipo kibao,hao intelligensia wanafanya Kazi gani!?Kwanini hateui watu kama Antony Mtaka,unaenda kutuletea Almasi Nyangasa!kwa kipi kikubwa alichofanya?
Kipindi Bety Mkwasa anateuliwa kuwa DC,nchi ilimuona kwa juhudi zake za kutoa Elimu ya ukimwi,sasa Hawa Kina Nick wa pili,Mwaipaya,wamefanya nini?
Kwanini anateua watu wa hovyo kabisa,si bora hata Ukampa Diamond unaibu waziri.
Nchi inawatu milioni 50+,unateua mijitu ambayo Haina accomplishment yoyote duniani,zaidi ya Swaga za ujana,wapo vijana wadogo Wana PHD,masters zao kwenye vyuo,wapo vijana wanapiga biashara kama Vunja bei,kwanini uwapi hao vyeo kwenye wilaya za kimkakati Ili walete Mawazo mapya,Hawa kina Mwaipaya,sasa hv wanawaza jinsi ya kuongeza kiwanja,kumaliza nyumba ya kupanga,hakuna kitu hapo
Ukimuuliza Bi Mkubwa hili, atakwambia anamuenzi JPM kama vile hapo awali yeye alivyowateua Jokate, Patrobas Katambi na Always Happi. Kwa kweli miaka hii mingapi sijui hadi tumpate Rais wa maana, tumepigwa sana!!!
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za kwa Maslahi kwa Taifa" makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu tuu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, ila tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na vyombo vyake, yakiwemo uteuzi ea baadhi ya watu wa hovyo. Nashauri kwanza tumvumilie, kisha tumpe muda, atarekebisha makosa madogo madogo with time.
Declaration of Interest
Humu jf, kumezuka mtindo, ukisifia tuu jambo lolote zuri la viongozi wetu, unanyooshewa vidole kuwa unausaka u-DC, na ukikosoa lolote, unanyooshewa kidole cha hizo ni hasira za kuukosa uteuzi.
Naomba ku decrare, mimi Pascal Mayalla nikisifia, sisifii ili kuutafuta uteuzi, wanaosifia kwa ajili ya kutafuta uteuzi, kazi yao itakuwa ni kusifia tuu mwanzo mwisho.
Mimi husifu penye kustahili sifa na hukosoa kwenye makosa, ila ukosoaji wangu ni constructive cricisisim, nikikosoa na hapo hapo kushauri nini cha kufanyika.
Mimi kwa shughuli zangu za PPR, nachangia kuwalipa mishahara ya mwaka mzima RC, DC na Mkurugenzi, kitu ninachokihitaji kwa Mama Samia, ni kuboresha tuu mazingira ya biashara, PPR irudishiwe zile tenda zake za serikali, tumsaidie Mama Samia, kulipa mishahara ya ma RC, DC na Wakurugenzi.
Japo mkubwa ni jalala, na ukiwa kiongozi ni lazima uwe na ngozi ngumu, lakini tusimsakame Mama Samia kwa makosa ambayo sio makosa yake bali ni anakuwa ameshauriwa vibaya.
Pili, Mama, Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine, hivyo anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo tujenge tabia ya uvumilivu kwa yale madogo madogo ya kibinaadamu.
Nakiri kupandisha bandiko kufuatia kelele nyingi za shutuma, lawama, kumsakama Mama Samia kwenye uteuzi wa baadhi ya watu. Mfano ni bandiko hili
Ni Albert Msando. Look at him. Wamekosekana kabisa watu wenye maadili na wanaojiheshimu mpaka kupelekea huyu ateuliwe? What was he doing there? Fingering her? What the hell is wrong with you Samia? Do you just flip a coin when picking these people? Do you conduct any background checks on...
www.jamiiforums.com
Mkuu Nyani Ngabu, kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tu.
Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.
Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.
Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.
Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.
Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychologogal, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, hawa wana ngozi laini, naomba usiyalize yale macho, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.
Wana MMU, Salaam. Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!. Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye...
www.jamiiforums.com
Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.
Paskali bana, una ubendera fulani fuata upepo, hili neno kuwa hatukumpangia Magufuli huwa linasemwa humu mitandaoni, na ww ukalibeba kama lilivyo, kisha unalitumia katika kujenga hoja zako! Kwa taarifa kinachofanyika humu mitandaoni sio kumpangia rais, bali watu wanatoa mitazamo yao, hivyo ni juu ya rais kufuata ama kuacha. Huyo Magufuli mpaka anaingia kuzimu teuzi zake nyingi tulizipinga, ila alikuwa mtu wa kushupaza shingo. Labda uweke bandiko la hizo teuzi zake, tuone watu wakimsifia kwenye hicho unachoiita kutokupangiwa.
Mkuu mi sikubaliani na wewe,Uraisi ni taasisi,sio mtu mmoja,
Haya mambo ya kuamka na kufsnya teuzi kama vile anateua shoga zake wakwenda nae ngomani yanakera,
Unateuaje viongozi waovyo,ambao clip zao wakifsnya mambo ya hovyo mtaani zipo kibao,hao intelligensia wanafanya Kazi gani!?Kwanini hateui watu kama Antony Mtaka,unaenda kutuletea Almasi Nyangasa!kwa kipi kikubwa alichofanya?
Kipindi Bety Mkwasa anateuliwa kuwa DC,nchi ilimuona kwa juhudi zake za kutoa Elimu ya ukimwi,sasa Hawa Kina Nick wa pili,Mwaipaya,wamefanya nini?
Kwanini anateua watu wa hovyo kabisa,si bora hata Ukampa Diamond unaibu waziri.
Nchi inawatu milioni 50+,unateua mijitu ambayo Haina accomplishment yoyote duniani,zaidi ya Swaga za ujana,wapo vijana wadogo Wana PHD,masters zao kwenye vyuo,wapo vijana wanapiga biashara kama Vunja bei,kwanini uwapi hao vyeo kwenye wilaya za kimkakati Ili walete Mawazo mapya,Hawa kina Mwaipaya,sasa hv wanawaza jinsi ya kuongeza kiwanja,kumaliza nyumba ya kupanga,hakuna kitu hapo
Hamna cha ccm, kutokana na hii katiba mbovu, rais anafanya chochote atakacho kwa mapenzi yake, au ya genge la wale wanaomzunguka. Hiyo unayoita ccm inatumika tu kufanikisha agenda za walioshika mpini.
Wengine wanaposoma mtu anamwambia Paschal kuwa anatafuta teuzi na wao wanaiga kwa kufuata mkumbo tu. Wamejaa wa aina hiyo.
Kutafuta teuzi sio dhambi, ikiwa wanasiasa wakubwa wanatumia pesa nyingi kujenga mitandao ya marafiki ili siku moja waje kupata nafasi ya urais wa nchi kuna ubaya gani kwa mtu mmoja kuwa na ndoto za kuteuliwa kuwa mkuu wa mkoa au wilaya au kupewa cheo kingine kikubwa?. Bado humu JF kuna wenye kuendekeza utoto.
Kwakweli hawamtendei haki Mama, anajitahidi sana kazi anayoifanya sasa sio ya kubeza nafikiri sote tunaona jinsi kesi zinavyopanguliwa na mambo mengine kama hayo.
Tumpe muda na tumsaidie kwa kufanya kazi zetu kwa weledi.
Hakuna Rais anayechaguliwa kwa ajili ya kupangua makesi maswala ya kesi ni mfumo wa kisheria na kimahakama niambie tu toka ameingia ameshashugulikia mfumo wa kisheria na mahakama kuwe na haki hata siku akiwa amestaafu watu wasionewe?
Mkuu mi sikubaliani na wewe,Uraisi ni taasisi,sio mtu mmoja,
Haya mambo ya kuamka na kufsnya teuzi kama vile anateua shoga zake wakwenda nae ngomani yanakera,
Unateuaje viongozi waovyo,ambao clip zao wakifsnya mambo ya hovyo mtaani zipo kibao,hao intelligensia wanafanya Kazi gani!?Kwanini hateui watu kama Antony Mtaka,unaenda kutuletea Almasi Nyangasa!kwa kipi kikubwa alichofanya?
Kipindi Bety Mkwasa anateuliwa kuwa DC,nchi ilimuona kwa juhudi zake za kutoa Elimu ya ukimwi,sasa Hawa Kina Nick wa pili,Mwaipaya,wamefanya nini?
Kwanini anateua watu wa hovyo kabisa,si bora hata Ukampa Diamond unaibu waziri.
Nchi inawatu milioni 50+,unateua mijitu ambayo Haina accomplishment yoyote duniani,zaidi ya Swaga za ujana,wapo vijana wadogo Wana PHD,masters zao kwenye vyuo,wapo vijana wanapiga biashara kama Vunja bei,kwanini uwapi hao vyeo kwenye wilaya za kimkakati Ili walete Mawazo mapya,Hawa kina Mwaipaya,sasa hv wanawaza jinsi ya kuongeza kiwanja,kumaliza nyumba ya kupanga,hakuna kitu hapo
Haya mambo ya kupeana muda ndiyo yanatufanya kila siku badala ya kusonga mbele, tunarudi nyuma.
Huyu alikuwa namba mbili baada ya rais anahitaji muda gani tena wakati mnampa muda mtashangaa Somalia na Burundi zinatupita huku sisi tunapeana muda.
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za kwa Maslahi kwa Taifa" makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu tuu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, ila tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na vyombo vyake, yakiwemo uteuzi ea baadhi ya watu wa hovyo. Nashauri kwanza tumvumilie, kisha tumpe muda, atarekebisha makosa madogo madogo with time.
Declaration of Interest
Humu jf, kumezuka mtindo, ukisifia tuu jambo lolote zuri la viongozi wetu, unanyooshewa vidole kuwa unausaka u-DC, na ukikosoa lolote, unanyooshewa kidole cha hizo ni hasira za kuukosa uteuzi.
Naomba ku decrare, mimi Pascal Mayalla nikisifia, sisifii ili kuutafuta uteuzi, wanaosifia kwa ajili ya kutafuta uteuzi, kazi yao itakuwa ni kusifia tuu mwanzo mwisho.
Mimi husifu penye kustahili sifa na hukosoa kwenye makosa, ila ukosoaji wangu ni constructive cricisisim, nikikosoa na hapo hapo kushauri nini cha kufanyika.
Mimi kwa shughuli zangu za PPR, nachangia kuwalipa mishahara ya mwaka mzima RC, DC na Mkurugenzi, kitu ninachokihitaji kwa Mama Samia, ni kuboresha tuu mazingira ya biashara, PPR irudishiwe zile tenda zake za serikali, tumsaidie Mama Samia, kulipa mishahara ya ma RC, DC na Wakurugenzi.
Japo mkubwa ni jalala, na ukiwa kiongozi ni lazima uwe na ngozi ngumu, lakini tusimsakame Mama Samia kwa makosa ambayo sio makosa yake bali ni anakuwa ameshauriwa vibaya.
Pili, Mama, Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine, hivyo anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo tujenge tabia ya uvumilivu kwa yale madogo madogo ya kibinaadamu.
Nakiri kupandisha bandiko kufuatia kelele nyingi za shutuma, lawama, kumsakama Mama Samia kwenye uteuzi wa baadhi ya watu. Mfano ni bandiko hili
Ni Albert Msando. Look at him. Wamekosekana kabisa watu wenye maadili na wanaojiheshimu mpaka kupelekea huyu ateuliwe? What was he doing there? Fingering her? What the hell is wrong with you Samia? Do you just flip a coin when picking these people? Do you conduct any background checks on...
www.jamiiforums.com
Mkuu Nyani Ngabu, kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tu.
Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.
Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.
Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.
Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.
Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychologogal, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, hawa wana ngozi laini, naomba usiyalize yale macho, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.
Wana MMU, Salaam. Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!. Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye...
www.jamiiforums.com
Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.
Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za kwa Maslahi kwa Taifa" makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu tuu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, ila tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na vyombo vyake, yakiwemo uteuzi ea baadhi ya watu wa hovyo. Nashauri kwanza tumvumilie, kisha tumpe muda, atarekebisha makosa madogo madogo with time.
Declaration of Interest
Humu jf, kumezuka mtindo, ukisifia tuu jambo lolote zuri la viongozi wetu, unanyooshewa vidole kuwa unausaka u-DC, na ukikosoa lolote, unanyooshewa kidole cha hizo ni hasira za kuukosa uteuzi.
Naomba ku decrare, mimi Pascal Mayalla nikisifia, sisifii ili kuutafuta uteuzi, wanaosifia kwa ajili ya kutafuta uteuzi, kazi yao itakuwa ni kusifia tuu mwanzo mwisho.
Mimi husifu penye kustahili sifa na hukosoa kwenye makosa, ila ukosoaji wangu ni constructive cricisisim, nikikosoa na hapo hapo kushauri nini cha kufanyika.
Mimi kwa shughuli zangu za PPR, nachangia kuwalipa mishahara ya mwaka mzima RC, DC na Mkurugenzi, kitu ninachokihitaji kwa Mama Samia, ni kuboresha tuu mazingira ya biashara, PPR irudishiwe zile tenda zake za serikali, tumsaidie Mama Samia, kulipa mishahara ya ma RC, DC na Wakurugenzi.
Japo mkubwa ni jalala, na ukiwa kiongozi ni lazima uwe na ngozi ngumu, lakini tusimsakame Mama Samia kwa makosa ambayo sio makosa yake bali ni anakuwa ameshauriwa vibaya.
Pili, Mama, Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine, hivyo anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo tujenge tabia ya uvumilivu kwa yale madogo madogo ya kibinaadamu.
Nakiri kupandisha bandiko kufuatia kelele nyingi za shutuma, lawama, kumsakama Mama Samia kwenye uteuzi wa baadhi ya watu. Mfano ni bandiko hili
Ni Albert Msando. Look at him. Wamekosekana kabisa watu wenye maadili na wanaojiheshimu mpaka kupelekea huyu ateuliwe? What was he doing there? Fingering her? What the hell is wrong with you Samia? Do you just flip a coin when picking these people? Do you conduct any background checks on...
www.jamiiforums.com
Mkuu Nyani Ngabu, kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tu.
Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.
Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.
Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.
Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.
Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychologogal, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, hawa wana ngozi laini, naomba usiyalize yale macho, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.
Wana MMU, Salaam. Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!. Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye...
www.jamiiforums.com
Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.
I could write a listicle about all the foolish ideas this guy has come up with since he became the "Governor" of Dar-Es-Salaam. But I'm not going to do that here. Instead, I'll go straight to his latest grand idea. That being the creation of a database that will contain the names of all married...
When you lose control, you lose balance. When you lose balance, you lose reason. When you lose reason, you lose logic. And when you lose logic, you basically lose your moral compass. Enter Paul Makonda or whatever his name is. He has lost all the above. An argument can be made he never had...
Makosa mengine unaona kabisa kuna tatizo sehemu na hyo sehemu isiporekebishwa itatuletea matatizo huko mbele ya safari ... sehemu yanyewe ni katika teuzi zake mpk unajiuliza hv kuna vetting kweli au kuna madalali wa hz teuzi ? Unafanya teuzi less than 24hrs unatengua teuzi yako , kuna watu wengine mpk unajiuliza hv huyu kweli ?
Hakuna jambo la hatari kusafiri porini usiku huku taa za gari zote ni mbovu kwa maana haziwaki au zinawaka na kuzima akumbuke wateuzi wake ndio taa zake akifikiria 2025 ambayo hakuna alieiona , akashindwa kufikiria maisha ya kila siku ya watu milion 60 binafsi naona kabisa tuendapo Mwanga wake ni mdogo sana kulinganisha na tulipotoka ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.