Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

Rais Samia, sio malaika ni binadamu anaweza kukosea. Tusimlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa ya kukoseshwa. Tumvumilie tumpe muda

1.Hataki katiba mpya, maana yake kanogewa na katiba hii ya kidikteta

2. Amesema eti rais hakosei, naona mleta mada wewe unaongea opposite wakati yeye anaamini yuko sahihi all the time

3. Anateua watovu wa nidhamu waliofukuzwa kazi bungeni kama Nassari

4. Anareward tabia mbaya na usaliti na kununuliwa, anajua wazi akina Lijualikali, Walinunuliwa na Magufuli katika mango wake mbovu wa kubadili katiba ili atawake milele, yeye anakwenda kubariki uendawzimu huo wa kisiasa—Tulitegenea kuwa angekuwa sober kidogo na kuachana na mambo ya ajabu ya Magufuli kumbe na yeye anayelea na kuyaempower

5. Tunafurahia kuwa kuna mambomazuri ameyafanya katika kipindi hiki kuelekea siku zake 100 madarakani, sasa ni muda wa yeye kuonyesha shrewdness, statesmanship, visionary leadership kwa kujenga mifumo ya kitaasisi ya nchi, tubataka tuone Akiwa Champion wa Uongozi bora na Siasa Safi. Hivyo vitu haviwezi kupatikana katika katiba hii iliyopitwa na wakati, katiba ya kuipendelea CCM badala ya nchi
 
"Tusimalumu kwa makosa ya kukoseshwa"

Lakini mbona hayo makosa ya kukoseshwa yamekuwa mengi sana kwake kwa muda mfupi aliokaa madarakani tofauti na watangulizi wake, hapa naona bado kuna tatizo la msingi mahala, tusimkwepeshe majukumu, atakoseshwa mpaka lini?

Kuanzia kwa yule mkurugenzi wa TPDC aliemuondoa muda mfupi baada ya uteuzi, yakafuata mengine hapo kati, mpaka kwa haya ya uteuzi wa wakuu wa wilaya, hii kitu inaonesha kuna udhaifu mahali unaojirudia na utamuharibia asipokuwa makini.

Hapa naona ni either hana last say kwenye teuzi anazofanya, au amekuwa mpole sana wa kupitishiwa majina na kuyakubali kwa ile huruma ya "mama kwa wanae", au ameshindwa kuendana na nguvu ya ushawishi/ushindani wa makundi yaliyoko ndani ya chama chake kwa kutaka kuridhisha kila kundi.

Mama Samia anatakiwa awe makini zaidi na hao wasaidizi wake, asiogope, awe na msimamo hata kama hautawafurahisha wengi chamani, japo naunga mkono hoja kwenye lugha inayotumiwa kumkosoa, isiwe kali sana, kwani nae ni binadamu ana udhaifu wake kama tulivyo wengine.
Mama asifanye Mambo kuridhisha watu au kikundi afate muongo ili sahihi na akicheka na nyani atavuna mabua.
 
"Tusimalumu kwa makosa ya kukoseshwa"

Lakini mbona hayo makosa ya kukoseshwa yamekuwa mengi sana kwake kwa muda mfupi aliokaa madarakani tofauti na watangulizi wake, hapa naona bado kuna tatizo la msingi mahala, tusimkwepeshe majukumu, atakoseshwa mpaka lini?

Kuanzia kwa yule mkurugenzi wa TPDC aliemuondoa muda mfupi baada ya uteuzi, yakafuata mengine hapo kati, mpaka kwa haya ya uteuzi wa wakuu wa wilaya, hii kitu inaonesha kuna udhaifu mahali unaojirudia na utamuharibia asipokuwa makini.

Hapa naona ni either hana last say kwenye teuzi anazofanya, au amekuwa mpole sana wa kupitishiwa majina na kuyakubali kwa ile huruma ya "mama kwa wanae", au ameshindwa kuendana na nguvu ya ushawishi/ushindani wa makundi yaliyoko ndani ya chama chake kwa kutaka kuridhisha kila kundi.

Mama Samia anatakiwa awe makini zaidi na hao wasaidizi wake, asiogope, awe na msimamo hata kama hautawafurahisha wengi chamani, japo naunga mkono hoja kwenye lugha inayotumiwa kumkosoa, isiwe kali sana, kwani nae ni binadamu ana udhaifu wake kama tulivyo wengine.
Huyu mama hakuna kitu, kila siku anakosea tu
 
Mibavicha ndio haina akili kabisa!

Mwanzo ilikuwa inamsifia sana! Alipofanya uteuzi wa kuwateua kina Nassari na Lijuakli ndio ikawa kama mbogo!

Nawaulizeni nyie mabavicha, hivi mlifikiri mama atafanya kwa matakwa yenu na si ccm?
Huna akili wewe Taga.
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa ya kibinaadamu, hivyo nashauri, tusimfanyie nongwa, tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa madogo madogo kabisa ya kawaida ya kibinaadamu, kwasababu binadamu wote huwa tunakosea, na hakuna mkamilifu.

Ila pale ambapo raia Samia amefanya makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake au vyombo vyake, yakiwemo vyombo vya uteuzi vyenye jukumu la kufanya vetting, kwa baadhi ya watu wa hovyo hovyo kukwaa uteuzi, sio sawa, sio haki kumlaumu na kumshutumu raia Samia, nashauri kwanza, tumuonyeshe makosa ya baadhi ya wateule wake walivyo wa hovyo, kisha tumvumilie kwa tumpe muda, atarekebisha makosa madogo madogo with time, tukiona ameambiwa makosa ya wateule wake, tukamuonyesha madudu ya watu wake, yeye akiwaona bado wanamfaa, tuheshimu maamuzi yake, tusimpangie kwa jinsi ile ile ambayo hatukumpangia mtangulizi wake.

Declaration of Interest
Humu jf, kumezuka mtindo, ukisifia tuu jambo lolote zuri la viongozi wetu, unanyooshewa vidole kuwa unausaka u-DC, na ukikosoa lolote, unanyooshewa kidole cha hizo ni hasira za kuukosa uteuzi.

Naomba ku decrare, mimi Pascal Mayalla nikisifia, sisifii ili kuutafuta uteuzi, wanaosifia kwa ajili ya kutafuta uteuzi, kazi yao itakuwa ni kusifia tuu mwanzo mwisho.

Mimi husifu penye kustahili sifa na hukosoa kwenye makosa, ila ukosoaji wangu ni constructive cricisisim, nikikosoa na hapo hapo kushauri nini cha kufanyika.

Mimi kwa shughuli zangu za PPR, nachangia kuwalipa mishahara ya mwaka mzima RC, DC na Mkurugenzi, kitu ninachokihitaji kwa Mama Samia, ni kuboresha tuu mazingira ya biashara, PPR irudishiwe zile tenda zake za serikali, tumsaidie Mama Samia, kulipa mishahara ya ma RC, DC na Wakurugenzi.

Japo mkubwa ni jalala, na ukiwa kiongozi ni lazima uwe na ngozi ngumu, lakini tusimsakame Mama Samia kwa makosa ambayo sio makosa yake bali ni anakuwa ameshauriwa vibaya.

Pili, Mama, Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine, hivyo anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo tujenge tabia ya uvumilivu kwa yale madogo madogo ya kibinaadamu.

Nakiri kupandisha bandiko kufuatia kelele nyingi za shutuma, lawama, kumsakama Mama Samia kwenye uteuzi wa baadhi ya watu. Mfano ni bandiko hili


Mkuu Nyani Ngabu, kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tu.

Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.

Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.

Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.

Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.

Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychologogal, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, hawa wana ngozi laini, naomba usiyalize yale macho, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.

Just look at her Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

Nasisitiza tusimtoe machozi mtu mwenye macho haya...


Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.

Paskali
Salaam ndugu Paskali, Umenena na kuanalyse vyema kwenye andiko lako hili, Kuna tatizo mahali, tunapojenga hoja za kuhoji na kukosoa mamlaka kwa maslahi mapana ya nchi yetu, uonekana ni usaliti na ukosefu wa uzalendo, Aidha unaposifia na kuonyesha ufanisi wa Serikali na taasisi zake, tuna nangwa na kuitwa wasaka uteuzi kwa kusifia watawala, Sasa " Which is which" Nafikri ni Bora kujenga hoja za utatuzi na uponyaji wa taifa kuliko kusikiliza kelele za watu wasiojulikana wanasimamia nini na kuamini katika Falsafa ipi pale inapokuja mantiki pana ya maslahi ya taifa letu.
 
Mibavicha ndio haina akili kabisa!

Mwanzo ilikuwa inamsifia sana! Alipofanya uteuzi wa kuwateua kina Nassari na Lijuakli ndio ikawa kama mbogo!

Nawaulizeni nyie mabavicha, hivi mlifikiri mama atafanya kwa matakwa yenu na si ccm?
Hivi BAVICHA ndio "waliokuvunja uzi"!!?? Kutwa kuchwa BAVICHA hawatoki vidoleni mwako,na hii inaonyesha wamejaa telee bichwani na mdomoni mwako pia.
 
Mkuu mi sikubaliani na wewe,Uraisi ni taasisi,sio mtu mmoja,

Haya mambo ya kuamka na kufsnya teuzi kama vile anateua shoga zake wakwenda nae ngomani yanakera,

Unateuaje viongozi waovyo,ambao clip zao wakifsnya mambo ya hovyo mtaani zipo kibao,hao intelligensia wanafanya Kazi gani!?Kwanini hateui watu kama Antony Mtaka,unaenda kutuletea Almasi Nyangasa!kwa kipi kikubwa alichofanya?

Kipindi Bety Mkwasa anateuliwa kuwa DC,nchi ilimuona kwa juhudi zake za kutoa Elimu ya ukimwi,sasa Hawa Kina Nick wa pili,Mwaipaya,wamefanya nini?

Kwanini anateua watu wa hovyo kabisa,si bora hata Ukampa Diamond unaibu waziri. Nchi inawatu milioni 50+,unateua mijitu ambayo Haina accomplishment yoyote duniani,zaidi ya Swaga za ujana,wapo vijana wadogo Wana PHD,masters zao kwenye vyuo,wapo vijana wanapiga biashara kama Vunja bei,kwanini uwapi hao vyeo kwenye wilaya za kimkakati Ili walete Mawazo mapya,Hawa kina Mwaipaya,sasa hv wanawaza jinsi ya kuongeza kiwanja,kumaliza nyumba ya kupanga,hakuna kitu hapo

wewe ndio ovyooo watu wamechaguliwa jana unataka wakafanye nini kwa siku mbili hizi ujue ni wachapa kazi . unatutajia eti achaguliwe mtu fulani ndio anafaa hatutaki wauza unga kuwa kiongozi
 
Paskali katika UBORA wako .....

Iko siku VETTING itakuona hata UDED....madini yamejaa kwako.....

#KaziInaendelea
Watu was aina ya Pascal huwa wanashindwa kazi mapema Sana, wao kuremba maneno ni hodari Sana vitendo 0.
Mfano mzuri mwigulu nchema, kabla ya kuteuliwa naibu wizara ya mipango na fedha, alijinasibu Sana kuwa yeye ni uchumi Tena kati ya wachumi 10 Tanzania naye yumo.

Alishindwa mapema, watu wakasema aliongozwa na waziri mkuya,
Sasa kapewa wizara kuiongoza mtaona atakavyotuangusha.
Lakini pia alipewa wizara ya polisi, ikamshinda pia
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa ya kibinaadamu, hivyo nashauri, tusimfanyie nongwa, tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa madogo madogo kabisa ya kawaida ya kibinaadamu, kwasababu binadamu wote huwa tunakosea, na hakuna mkamilifu.

Ila pale ambapo raia Samia amefanya makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake au vyombo vyake, yakiwemo vyombo vya uteuzi vyenye jukumu la kufanya vetting, kwa baadhi ya watu wa hovyo hovyo kukwaa uteuzi, sio sawa, sio haki kumlaumu na kumshutumu raia Samia, nashauri kwanza, tumuonyeshe makosa ya baadhi ya wateule wake walivyo wa hovyo, kisha tumvumilie kwa tumpe muda, atarekebisha makosa madogo madogo with time, tukiona ameambiwa makosa ya wateule wake, tukamuonyesha madudu ya watu wake, yeye akiwaona bado wanamfaa, tuheshimu maamuzi yake, tusimpangie kwa jinsi ile ile ambayo hatukumpangia mtangulizi wake.

Declaration of Interest
Humu jf, kumezuka mtindo, ukisifia tuu jambo lolote zuri la viongozi wetu, unanyooshewa vidole kuwa unausaka u-DC, na ukikosoa lolote, unanyooshewa kidole cha hizo ni hasira za kuukosa uteuzi.

Naomba ku decrare, mimi Pascal Mayalla nikisifia, sisifii ili kuutafuta uteuzi, wanaosifia kwa ajili ya kutafuta uteuzi, kazi yao itakuwa ni kusifia tuu mwanzo mwisho.

Mimi husifu penye kustahili sifa na hukosoa kwenye makosa, ila ukosoaji wangu ni constructive cricisisim, nikikosoa na hapo hapo kushauri nini cha kufanyika.

Mimi kwa shughuli zangu za PPR, nachangia kuwalipa mishahara ya mwaka mzima RC, DC na Mkurugenzi, kitu ninachokihitaji kwa Mama Samia, ni kuboresha tuu mazingira ya biashara, PPR irudishiwe zile tenda zake za serikali, tumsaidie Mama Samia, kulipa mishahara ya ma RC, DC na Wakurugenzi.

Japo mkubwa ni jalala, na ukiwa kiongozi ni lazima uwe na ngozi ngumu, lakini tusimsakame Mama Samia kwa makosa ambayo sio makosa yake bali ni anakuwa ameshauriwa vibaya.

Pili, Mama, Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine, hivyo anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo tujenge tabia ya uvumilivu kwa yale madogo madogo ya kibinaadamu.

Nakiri kupandisha bandiko kufuatia kelele nyingi za shutuma, lawama, kumsakama Mama Samia kwenye uteuzi wa baadhi ya watu. Mfano ni bandiko hili


Mkuu Nyani Ngabu, kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tu.

Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.

Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.

Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.

Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.

Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychologogal, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, hawa wana ngozi laini, naomba usiyalize yale macho, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.

Just look at her Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

Nasisitiza tusimtoe machozi mtu mwenye macho haya...


Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.

Paskali
Nani anamlaumu kama sio nyie mataga? Unapandisha uzi lakini lengo lako ni tofauti na ulichoandika. Mama yupo. Mpaka 2030
 
Anybody can get it!

Nilimsema sana Magufuli kuhusu Makonda.

Nitamsema Samia pia.

She shouldn’t be mollycoddled just because she’s a woman.

No way! No how!


Mkuu NN, kwanza tukubaliane sisi ni Waafrika, Watanzania na Waswahili, kuna vitu kwa wenzetu wazungu, its ok, lakini kwetu Waafrika, they are not ok, mfano ukimtukana kiongozi mwanaume, inaweza isimuume sana, lakini ukimtukana kiongozi mwanamke inauma sana. JPM tulimkosoa sana kwa lugha ngumu, chungu na za kuudhi, kwasababu na yeye hizo zilikuwa ndio lugha zake, sasa anapokuja kiongozi mwingine, mwanamke, mwenye macho yale, mwenye lugha tamu, laini na ya kutia matumaini wakati wote, tumkosoe kwa lugha inayofanania naye. Being gender conscious na gender maintreaming ni pamoja na kupunguza ukali wa maneno kwa gender tofauti tofauti.
P
 
Nani anamlaumu kama sio nyie mataga? Unapandisha uzi lakini lengo lako ni tofauti na ulichoandika. Mama yupo. Mpaka 2030
Sio kila Kada wa CCM ni taga!.
Tuko makada wa aina tofauti tofauti.
Mimi ni kada ila sio taga!.
P
 
Paskali pambana na njaa zako ndugu, TEUZI zimeisha huwezi kuwa juha kiasi hicho, mama anakosea tena sana huwezi kuteua watu bila vigezo kisa wanajua kuvaa mashati ya kijani never, kwenye huo mkeka aliotoa kuna watu wala hawakustahili kuwa ma monita wa darasa la nne B ,
 
Wanabodi,

Kama kawaida yangu, kila nipatapo fursa, huwaletea hizi makala zangu za "Kwa Maslahi ya Taifa". Makala ya leo ni wito wa ustaarabu kwa Rais Samia, rais Samia Suluhu, sio malaika, ni binadamu kama binaadamu wengine wote na anaweza kukosea kama binaadamu wengine wote, kwa kufanya makosa ya kibinaadamu, hivyo nashauri, tusimfanyie nongwa, tusikalie kumlaumu, kumshutumu na kumponda kwa makosa madogo madogo kabisa ya kawaida ya kibinaadamu, kwasababu binadamu wote huwa tunakosea, na hakuna mkamilifu.

Ila pale ambapo raia Samia amefanya makosa ambayo sio ya kwake, yale makosa ya kukoseshwa na wasaidizi wake au vyombo vyake, yakiwemo vyombo vya uteuzi vyenye jukumu la kufanya vetting, kwa baadhi ya watu wa hovyo hovyo kukwaa uteuzi, sio sawa, sio haki kumlaumu na kumshutumu raia Samia, nashauri kwanza, tumuonyeshe makosa ya baadhi ya wateule wake walivyo wa hovyo, kisha tumvumilie kwa tumpe muda, atarekebisha makosa madogo madogo with time, tukiona ameambiwa makosa ya wateule wake, tukamuonyesha madudu ya watu wake, yeye akiwaona bado wanamfaa, tuheshimu maamuzi yake, tusimpangie kwa jinsi ile ile ambayo hatukumpangia mtangulizi wake.

Declaration of Interest
Humu jf, kumezuka mtindo, ukisifia tuu jambo lolote zuri la viongozi wetu, unanyooshewa vidole kuwa unausaka u-DC, na ukikosoa lolote, unanyooshewa kidole cha hizo ni hasira za kuukosa uteuzi.

Naomba ku decrare, mimi Pascal Mayalla nikisifia, sisifii ili kuutafuta uteuzi, wanaosifia kwa ajili ya kutafuta uteuzi, kazi yao itakuwa ni kusifia tuu mwanzo mwisho.

Mimi husifu penye kustahili sifa na hukosoa kwenye makosa, ila ukosoaji wangu ni constructive cricisisim, nikikosoa na hapo hapo kushauri nini cha kufanyika.

Mimi kwa shughuli zangu za PPR, nachangia kuwalipa mishahara ya mwaka mzima RC, DC na Mkurugenzi, kitu ninachokihitaji kwa Mama Samia, ni kuboresha tuu mazingira ya biashara, PPR irudishiwe zile tenda zake za serikali, tumsaidie Mama Samia, kulipa mishahara ya ma RC, DC na Wakurugenzi.

Japo mkubwa ni jalala, na ukiwa kiongozi ni lazima uwe na ngozi ngumu, lakini tusimsakame Mama Samia kwa makosa ambayo sio makosa yake bali ni anakuwa ameshauriwa vibaya.

Pili, Mama, Samia sio malaika ni binadamu tuu, kama binaadamu wengine, hivyo anaweza kukosea kama, binadamu wengine wowote, hivyo tujenge tabia ya uvumilivu kwa yale madogo madogo ya kibinaadamu.

Nakiri kupandisha bandiko kufuatia kelele nyingi za shutuma, lawama, kumsakama Mama Samia kwenye uteuzi wa baadhi ya watu. Mfano ni bandiko hili


Mkuu Nyani Ngabu, kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tu.

Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.

Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.

Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.

Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.

Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychologogal, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, hawa wana ngozi laini, naomba usiyalize yale macho, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.

Just look at her Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

Nasisitiza tusimtoe machozi mtu mwenye macho haya...


Hitimisho
Kama ambavyo hatukumpangia Magufuli, nashauri pia tusimpangie Samia, tuepuke matukano, lugha za machukizo, ukali kebehi, kubagaza, tuendelee kumkosoa kwa lugha ya heshima, staha, kistaarabu kwa nia ya kujenga, huku tukikosoa constructively kwa nia ya kujenga huku tukishauri, the right thing to do.

Paskali
🤣🤣🤣🤣

Screenshot_20210623-152014.png
 
Lazima akosolewe kwenye mazuri tutampongeza na kwenye mabaya atasemwa ndo maana hata JPM alikosolewa we have to be fair maana JPM alipokuwa anokoselewa wengi humu Jf walikuwa wanashangilia....honeymoon is about to be over
 
Back
Top Bottom