Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
hawa madogo wa humu, wengi hawa uwezo wa kusoma in between the lines.Wewe ndiye huna akili mkuu, rudi shule ukasome. Mkuu Pascal Mayalla njoo huku uwaone vijana wako wa JF waliokosa akili ya kuchambua mambo.
Mimi namuunga mkono Mama kama nilivyo muunga mkono Blaza wangu Naunga mkono Uwanja wa Ndege wa Chato. Una justification, utakuwa kama Ggabolite au Yamoussoukro. Watalii watamiminika!
P