Rais Samia sio mzalendo kwao!

Hayo ya vizazinvya sasa na vijavyo.. vina shida gani?

Kujenga watoto na wananchi kihivyo Mimi naona Kuna faida kwa ujenzi wa kuwa na wenye uelevu na ujuzi na ukomavu pia..

Muhimu vitumike vizuri kwa makusufio ya waliowapelekea sio vije vichakae

Hayo mengine alitaka anaweza kufanya baadae..

Sports sio kitu Cha kudharau kabisa...

Kazi iendeleee
 
Zaznibar ni nchi ya wajinga, wanafunzi wa kule asilimia 99 ni vichwa maji, ukitaka amini wape mtihani mmoja afu sahihisha uone.
 
Asante kwa ushauri mkuu. Mimi wasiwasi wangu naona ameanza na vimiradi vidogo sana tofauti na mtangulizi wake, Dr Magufuli.
 
Zaznibar ni nchi ya wajinga, wanafunzi wa kule asilimia 99 ni vichwa maji, ukitaka amini wape mtihani mmoja afu sahihisha uone.
Kwa hiyo unadhani ndio maana mama ameona awapelekee miradi ya michezo badala ya elimu?
 
Kuna jambo unafeli sana.Everybody is "unique"!Wewe ulizubaishwa alivyokuambia wanafanana na Magufuli?Big failure!
 
Kikwao kafanya kubwa sana,ni mzalendo haswa

Kwa post hizi
Tuna shida sana kwenye Elimu yetu.....
 
Zaznibar ni nchi ya wajinga, wanafunzi wa kule asilimia 99 ni vichwa maji, ukitaka amini wape mtihani mmoja afu sahihisha uone.
Sawa lakini huyo Raisi wa JMT anatokea huko sasa hapo sijui mjinga ni nani? anaekubali kuongonzwa na mjinga yeye ni mjinga zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…