Consultant
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 11,503
- 20,892
Wakipotosha kwa makusudi bila facts, then sheria ifuate mkondo wake. Lakini sio sahihi kuwatisha watu na kutaka waogope kurusha madongo heavy kwa kile kinachoitwa “heshima ya kiafrika”Tatizo wengine wanaandika upotoshaji makusudi. Kazi kuharibu tu
Acha matusi we bi kizee!"Mataga mama yako.
Tulieni dawa iwaingieMataga mama yako.
Umenikumbusha, "heshima ya kiafrika" ndo inatuponzaWakipotosha kwa makusudi bila facts, then sheria ifuate mkondo wake. Lakini sio sahihi kuwatisha watu na kutaka waogope kurusha madongo heavy kwa kile kinachoitwa “heshima ya kiafrika”
Kisheria utafungiwa, eenh vipi ukichafuliwa kwa uchafu wa rangi za mafuta na sabuni ya kukusafishia ya magadi unadhan utaeleweka kuwa wewe ni smart.?Wakipotosha kwa makusudi bila facts, then sheria ifuate mkondo wake. Lakini sio sahihi kuwatisha watu na kutaka waogope kurusha madongo heavy kwa kile kinachoitwa “heshima ya kiafrika”
Namuelewa and it was much expected.
Ukiwa na power you become jealous of it to the extent of using every means available to protect it.
Vyombo vya habari muda mwingine vinakosa weledi.kwanini wasiandike habari za kweli? Uzushi na uongo wakati mwingine unaviondolea credibility vyombo hivyo.
VITV ni kisifa tu hakuna kitisho hapo wakuu.Huwezi kuona kitisho hapo mkuu, hakipo.
Your???Wakuu Asalam aleikum,
Hayati Magufuli aliwahi kusema kuwa "your not free to such extent" akiwatahadharisha wanahabari juu ya kile alichokiita upotoshaji na kuwaonya vikali.
Baada ya kauli hiyo vyombo vyote vikawa vya mlengo mmoja na wale waliotaka kwenda kinyume walinyooshwa kwa mkono wa chuma. Kauli ya Magufuli iliumba na kupelekea kuleta matatizo makubwa sana kwa sekta ya habari.
Samia ameanza naye kuvitisha vyombo vya habari, amekuwa kama mtangulizi wake media, kama wanahabari wameandika upotoshaji waambieni ukweli kisha watabadiri taarifa na kuomba radhi ila siyo kuwatisha na kuwadhalilisha et "VITV"
VigazetiSijaelewa...kusema ViTV ndo kutishia?
na baba yake mzazi.Mataga mama yako.
Nani alikufundisha kuwa dharau ni vitisho?Yes, ni kwamba anavidharau na havina maana kwake.
Mtu kama Kubenea ni bingwa sana wa kuchonga vijitaarifa halafu anaita vya uchunguzi.Vyombo vya habari muda mwingine vinakosa weledi.kwanini wasiandike habari za kweli? Uzushi na uongo wakati mwingine unaviondolea credibility vyombo hivyo.