Pre GE2025 Rais Samia: Sisi ni Watumishi wa Wananchi na si Mabwana wala Watawala wa Wananchi

Pre GE2025 Rais Samia: Sisi ni Watumishi wa Wananchi na si Mabwana wala Watawala wa Wananchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

Akizungumza wakati anazindua jengo la ofisi y mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Rais Samia amewataka viongozi wa Halmashauri hiyo kutumia jengo hilo kurahisisha kufanya kazi zao kwa sababu miundombinu ni mizuri na pia aliwataka watumishi watoe huduma nzuri kwa wananchi.

Samia aliongeza kwa kusema:

Niwatake Watendaji kusimamia miradi na Watendaji ni pamoja na Madiwani, muendelee kuweka nguvu kusimamia miradi ili yale yanayowakera Wananchi yaweze kuondoka, utumishi wetu Mimi na Nyinyi kuhudumia Wanachi, sisi ni Watumishi wa Wananchi na si Mabwana wa Wananchi, si watawala wa Wananchi, sisi ni Watumishi kwa Wananchi, ndio maana Serikali inashusha fedha nyingi ili zifanyiwe kazi Wananchi hawa waondoshewe shida zao
 
Kuzindua jengo? Kazi ambayo inafanywa na mkuu wa mkoa au hata katibu mkuu wa mkoa tena jengo la mkurugenzi??
Ha ha ha haaa naona mpaka mods wameona aibj wameama wabadilishe na tittle.
Tunataka kusikia rais azindua hospital,barabara,viwanda n.k yaani miradi mikubwa
Sasa kwa mwendo huu si ataenda kuzindua hadi na nyumba za wananchi.
Na hii inatokana na kuwa hana mradi wowote ule ambao atajivunia kashazindua ambazo alizikuta zte.
 
Kuzindua jengo? Kazi ambayo inafanywa na mkuu wa mkoa au hata katibu mkuu wa mkoa tena jengo la mkurugenzi??
Ha ha ha haaa naona mpaka mods wameona aibj wameama wabadilishe na tittle.
Tunataka kusikia rais azindua hospital,barabara,viwanda n.k yaani miradi mikubwa
Sasa kwa mwendo huu si ataenda kuzindua hadi na nyumba za wananchi.
Na hii inatokana na kuwa hana mradi wowote ule ambao atajivunia kashazindua ambazo alizikuta zte.
Kuzindua kitu gani? waachiwe wabunge na madiwani kuzindua
 
Sasa mbona uamuzi wa kila kitu upo juu yao, sisi tukitaka tunachotaka mpaka tuandamane , Tupigwe na virungu ..
 
Sasa mbona uamuzi wa kila kitu upo juu yao, sisi tukitaka tunachotaka mpaka tuandamane , Tupigwe na virungu ..
Anacheza na watoto Jana wamemchangia 1000 na 100 anaenda kuziweka makumbusho yeye kawapa mchele na unga na mazaga mengine, anakula good time kidogo

Mods msinipige ban hapa nimeandika vizuri sasa bwahahaha
 
Huo ni uwongooo
Huo ni Uwongooo

Hayo ni maneno tu ya kila siku lakini katika utendaji ni tofauti.
tena hakuna neno sipendi kulisikia kutoka kwa mwana siasa kama hilo
 
Anacheza na watoto Jana wamemchangia 1000 na 100 anaenda kuziweka makumbusho yeye kawapa mchele na unga na mazaga mengine, anakula good time kidogo

Mods msinipige ban hapa nimeandika vizuri sasa bwahahaha
Kiongozi asieogopwa inatakiwa awe na Hekima sana, otherwise mambo ya ajabu lazima yatokee .
 
Kama kweli ni mtumishi wa wananchi Kwa Nini Sasa wananchi anawaua hadharani na kuwauzia kufanya maandamano ili wapinge mauaji.huyu atakuwa mtumishi wa shetani
 
Back
Top Bottom