jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 9,604
- 8,812
Kwa hiyo hamkatiwi umeme, maji, kisimamishwa barabarani lisaa, mnaishi kwenye nyumba kama zetu, hamna walinzi, hamvai saa za 100m/- +, hamsafiri nje hovyo hovyo, wala kuishi kifahari,?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It's very cheap for presidentHili linapaswa kufanywa na rais kweli?
Akizungumza wakati anazindua jengo la ofisi y mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga Rais Samia amewataka viongozi wa Halmashauri hiyo kutumia jengo hilo kurahisisha kufanya kazi zao kwa sababu miundombinu ni mizuri na pia aliwataka watumishi watoe huduma nzuri kwa wananchi.
Kaka hata mie nashangaaa whats going on with our female presidentHili linapaswa kufanywa na rais kweli?