Nliwasiliana na Moja ya mwanachi wa boma ng'ombe Hai Kilimanjaro, alinieleza kwa hasira sana jinsi alivyojiskia baada ya mama kupita na kuwapungia mkono🙋;
" Yaani tumekaa siku mbili barabarani tunamsubiri, anapita siku ya pili jion eti anapunga mkono tu,,, tena akiwa ndani ya gari, Katudharau sana!!!"🥺