Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Huu ni ushauri wa bure kwa mpendwa wetu Mama Samia.Siyo siri hili suala la ubinafsishwaji Bandari zote za nchi hii iitwayo Tanzania, lina ukakasi wa kutisha.
Huu upinzani mkubwa kwa ubinafsishaji, unatoka kwa wananchi, wenye nchi hii.
Suala la muhimu si kutazama tulipoanguka, bali KULISAHIHISHA, malengo yakiwa wazi kwa wenye nchi, watanzania.
Wasalaam aleikhum.
Huu upinzani mkubwa kwa ubinafsishaji, unatoka kwa wananchi, wenye nchi hii.
Suala la muhimu si kutazama tulipoanguka, bali KULISAHIHISHA, malengo yakiwa wazi kwa wenye nchi, watanzania.
Wasalaam aleikhum.