Rais Samia, suala ka Bandari umeteleza. Hekima ni kulisahihisha

Rais Samia, suala ka Bandari umeteleza. Hekima ni kulisahihisha

Hajali wala nini. Keshakunja mtonyo wako na masanduku kadhaa ya abayah mixer oud anakuchoreni tu.

Akija kuongea atatutukana wote na vijembe juu mbaya zaidi hakuna atakachofanywa.

Tuombe Mungu asitokee toto moja la mfalme litake watu weusi liwaweke kama mifugo (pet). Tutasombwa kama kina Kunta Kinte tukawe wanasesere wa watoto wa kifalme huko.
Kwa jina la mababu zetu kina Kinjeketile, hilo haliwezekani.
 
Huu ni ushauri wa bure kwa mpendwa wetu Mama Samia.Siyo siri hili suala la ubinafsishwaji Bandari zote za nchi hii iitwayo Tanzania, lina ukakasi wa kutisha.

Huu upinzani mkubwa kwa ubinafsishaji, unatoka kwa wananchi, wenye nchi hii.

Suala la muhimu si kutazama tulipoanguka, bali KULISAHIHISHA, malengo yakiwa wazi kwa wenye nchi, watanzania.

Wasalaam aleikhum.
Jidu! Unaandika upuuzi gani ! Tunahotaji maboresho katika utendaji wa taasisi nyingi na hili limeonyesha matokeo chanya tangu kipindi cha awamu ya tatu! Ila kuna marekebisho machache yakifanyika tunaweza kukuza uchumi wetu!

Sisi wadau wa bandari tunakiri kuwa hatuna uwezo wa kumudu changamoto na ushindani uliopo wakati huu!

Kama ni kuendesha hizo bandari tuliendesha ila matokeo yake ni kipato kidogo huku mashirika mengi yakiendelea kuendeshwa kwa hasara!

Sasa kwa nini serikali isiachie wawekezaji wengine wenye uwezo ili tuweze kupata faida!

Au raha yako wewe ni kuendelea kundesha hizo taasisi kwa hasara!????
 
Kwa jina la mababu zetu kina Kinjeketile, hilo haliwezekani.
Jipeni moyo tu. Muonja damu ya mtu haachi.

Tunarudi zama za ukoloni tena. Muarabu anakuja na hasira, alifukuzwa Zanzibar safari hii wanapewa Tanganyika na mjukuu wao.
 
Huu ni ushauri wa bure kwa mpendwa wetu Mama Samia.Siyo siri hili suala la ubinafsishwaji Bandari zote za nchi hii iitwayo Tanzania, lina ukakasi wa kutisha.

Huu upinzani mkubwa kwa ubinafsishaji, unatoka kwa wananchi, wenye nchi hii.

Suala la muhimu si kutazama tulipoanguka, bali KULISAHIHISHA, malengo yakiwa wazi kwa wenye nchi, watanzania.

Wasalaam aleikhum.
Pamoja na katiba mbovu, pamoja na vyombo vya dola lakini huu mswada ukipitishwa uchaguzi wa 2025 atashindwa vibaya sana na akijaribu kuiba zitatokea vurugu kubwa. Huu ujinga ukipita uchaguzi wa 2025 utakuwa ni ushindani kati watu weusi na waarabu. Agenda kubwa inatakiwa iwe ni Magufuli aliuawa ili waarabu wapewe nchi. Agenda iwe ni kutokubali kuwa tena watumwa. Wazalendo weusi tunaikomboa nchi yetu!
 
Jidu! Unaandika upuuzi gani ! Tunahotaji maboresho katika utendaji wa taasisi nyingi na hili limeonyesha matokeo chanya tangu kipindi cha awamu ya tatu! Ila kuna marekebisho machache yakifanyika tunaweza kukuza uchumi wetu!

Sisi wadau wa bandari tunakiri kuwa hatuna uwezo wa kumudu changamoto na ushindani uliopo wakati huu!

Kama ni kuendesha hizo bandari tuliendesha ila matokeo yake ni kipato kidogo huku mashirika mengi yakiendelea kuendeshwa kwa hasara!

Sasa kwa nini serikali isiachie wawekezaji wengine wenye uwezo ili tuweze kupata faida!

Au raha yako wewe ni kuendelea kundesha hizo taasisi kwa hasara!????
Kimsingi nchi hii ni Tanganyika, na ni ya Watanganika.
Boresha uwezavyo lakini baada ya kuboresha na bandari ikawa si mali ya watanganyika kisiasa na kujikuta wao ni watazamaji tu, hapo lazima matatizo.
 
Huu ni ushauri wa bure kwa mpendwa wetu Mama Samia.Siyo siri hili suala la ubinafsishwaji Bandari zote za nchi hii iitwayo Tanzania, lina ukakasi wa kutisha.

Huu upinzani mkubwa kwa ubinafsishaji, unatoka kwa wananchi, wenye nchi hii.

Suala la muhimu si kutazama tulipoanguka, bali KULISAHIHISHA, malengo yakiwa wazi kwa wenye nchi, watanzania.

Wasalaam aleikhum.
Kwani kuna siku tulimiliki bandari wenyewe au umemsahau yule tikisi pale bandarini cha msingi tuangalie wamekuja kwa njia gani kama ajira zitaongezeka basi itakua jambo la manufaa ila asije akawa kama huyu tikisi
 
Masahihisho yafanyike lakini piga ua galagaza lazima ibinafsishwe ili kuondoa jam ya makontena.


Sio lazima ibinafsishwe, ni lazima ifanyiwe ukarabati na mabadiliko hayo ambayo hao wanaouziwa watayafanya, ukarabati na hayo mabadiliko ili kuongeza tija yanaweza kufanywa na contractors yeyote mwenye uwezo lakini bandari ibaki chini ya uendeshwaji wa umma, ni hatari kubinafsisha bandari kwa kampuni ya umma ya nchi nyingine.
 
Hajali wala nini. Keshakunja mtonyo wako na masanduku kadhaa ya abayah mixer oud anakuchoreni tu.

Akija kuongea atatutukana wote na vijembe juu mbaya zaidi hakuna atakachofanywa.

Tuombe Mungu asitokee toto moja la mfalme litake watu weusi liwaweke kama mifugo (pet). Tutasombwa kama kina Kunta Kinte tukawe wanasesere wa watoto wa kifalme huko.
Kina Baba Levo na Mwijaku ndio watakuwa wanasesere wa kwanza maana wanapenda mteremko.

Toto la kiarabu linapewa zawadi ya dume la kiafrika lilichezee🤣🤣
 
Sio lazima ibinafsishwe, ni lazima ifanyiwe ukarabati na mabadiliko hayo ambayo hao wanaouziwa watayafanya, ukarabati na hayo mabadiliko ili kuongeza tija yanaweza kufanywa na contractors yeyote mwenye uwezo lakini bandari ibaki chini ya uendeshwaji wa umma, ni hatari kubinafsisha bandari kwa kampuni ya umma ya nchi nyingine.
Acha uoga mkuu. Tunakosa pesa kwa kuwa tunakimbiwa na nchi ambazo hupenda ufanisi ambao ss hatuna.
Wazee wa Dubai wakamilishe dili fasta na serikali izingatie maslahi ya umma kisha wakabidhiwe mzigo.
 
Acha ibinafsishwe ili pawe na maboresho. Rushwa na urasimu vimezidi.
Tatizo kimsingi siyo hilo.
Tatizo ni kwamba historia ya wansopewa hizo Bandari wakishindwa kuperform kama ilivyotarajwa, bado kuwaondia kwa hasara waliyoleta, itabidi uwalipe.
Ubinafsishaji ruksa lakini liabilities must be shared.
 
Kimsingi nchi hii ni Tanganyika, na ni ya Watanganika.
Boresha uwezavyo lakini baada ya kuboresha na bandari ikawa si mali ya watanganyika kisiasa na kujikuta wao ni watazamaji tu, hapo lazima matatizo.
Kwani umeambiwa wanaichukua hiyo Bahari!!!
 
Huu ni ushauri wa bure kwa mpendwa wetu Mama Samia.Siyo siri hili suala la ubinafsishwaji Bandari zote za nchi hii iitwayo Tanzania, lina ukakasi wa kutisha.

Huu upinzani mkubwa kwa ubinafsishaji, unatoka kwa wananchi, wenye nchi hii.

Suala la muhimu si kutazama tulipoanguka, bali KULISAHIHISHA, malengo yakiwa wazi kwa wenye nchi, watanzania.

Wasalaam aleikhum.
  • Mh. MKAPA alikaripiwa na kila mtu: viongozi wa dini na waumini anaendelea kukaza shingo. Watu wazima wanakumbuka kulikuwa na vilio rasmi nchi nzima.
  • Serikali yake ilitoa utetezi dhidi ya UBINASFSISHAJI kama unaotolewa wakati huu.
  • Kila mtu mwenye akili anajua matokeo ya vile vilio. Serikali ina jeshi, itashinda ila haitofanikisha inachokinadi.
  • Ile dhambi aliijutia mpaka akaandika na kwenye kitabu kama moja ya mambo aliyovurunda wakati wa utawala wake.
 
Huu ni ushauri wa bure kwa mpendwa wetu Mama Samia.Siyo siri hili suala la ubinafsishwaji Bandari zote za nchi hii iitwayo Tanzania, lina ukakasi wa kutisha.

Huu upinzani mkubwa kwa ubinafsishaji, unatoka kwa wananchi, wenye nchi hii.

Suala la muhimu si kutazama tulipoanguka, bali KULISAHIHISHA, malengo yakiwa wazi kwa wenye nchi, watanzania.

Wasalaam aleikhum.
Kuna ukakasi gani? Bandari ipi inayoendeshwa kwa ufasaha hapa Tanzania? Unaweza kuta hata bandarini hujawahi fika alafu unajiandikia tu shwain kabisa
 
  • Mh. MKAPA alikaripiwa na kila mtu: viongozi wa dini na waumini anaendelea kukaza shingo. Watu wazima wanakumbuka kulikuwa na vilio rasmi nchi nzima.
  • Serikali yake ilitoa utetezi dhidi ya UBINASFSISHAJI kama unaotolewa wakati huu.
  • Kila mtu mwenye akili anajua matokeo ya vile vilio. Serikali ina jeshi, itashinda ila haitofanikisha inachokinadi.
  • Ile dhambi aliijutia mpaka akaandika na kwenye kitabu kama moja ya mambo aliyovurunda wakati wa utawala wake.
Unazungumziaje ubinafsishaji wa NMB? Huoni ufanisi wake?
 
Huu ni ushauri wa bure kwa mpendwa wetu Mama Samia.Siyo siri hili suala la ubinafsishwaji Bandari zote za nchi hii iitwayo Tanzania, lina ukakasi wa kutisha.

Huu upinzani mkubwa kwa ubinafsishaji, unatoka kwa wananchi, wenye nchi hii.

Suala la muhimu si kutazama tulipoanguka, bali KULISAHIHISHA, malengo yakiwa wazi kwa wenye nchi, watanzania.

Wasalaam aleikhum.


People don't know that the issue about the ports is the beginning of CCM downfall ---CCM must go by committing suicide, the ports issues serve as a sacrifice to topple CCM.
 
Acha uoga mkuu. Tunakosa pesa kwa kuwa tunakimbiwa na nchi ambazo hupenda ufanisi ambao ss hatuna.
Wazee wa Dubai wakamilishe dili fasta na serikali izingatie maslahi ya umma kisha wakabidhiwe mzigo.


Ubinafshishaji wenye masharti ya kuumiza nchi??--- kipindi hicho kunatokea migogoro ya mkataba labda mimi na wewe hatutakuwepo duniani, ni watoto wetu labda ndio itabidi wakabiliane na "uozo" wa hiyo mikataba iliyojaa ufisadi.
 
Back
Top Bottom