Rimoti iko MsogaWaliomdanganya awapige chini haraka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rimoti iko MsogaWaliomdanganya awapige chini haraka
Sio bandari zote za Tanzania....Bali Bandari zote za TanganyikaSiyo siri hili suala la ubinafsishwaji Bandari zote za nchi hii iitwayo Tanzania, lina ukakasi wa kutisha.
Mbarawa is a wild card cowboy wa mama!Waliomdanganya awapige chini haraka
Pengine kama una akili za kuku.Chuki dhidi wazanzibar kazini.
Mkubwa wetu kashalalaNisamehe Mtanganyika mwenzangu!
Hilo halitawezekana.Jipeni moyo tu. Muonja damu ya mtu haachi.
Tunarudi zama za ukoloni tena. Muarabu anakuja na hasira, alifukuzwa Zanzibar safari hii wanapewa Tanganyika na mjukuu wao.
Ubinafsihaji lazima uwe na vigezo vya kuipendelea nchi yetu, na si vinginevyo.Acha ibinafsishwe ili pawe na maboresho. Rushwa na urasimu vimezidi.
Huo mkataba lazima uangsliwe upya, na uwe kwa maslahi ya Taifa.Ubinafsihaji lazima uwe na vigezo vya kuipendelea nchi yetu, na si vinginevyo.
Kujamba ujambe wewe halafu umsingizie jirani!Kagame ana mchango kwenye hili wazo la kijinga.
Je viongozi wa kuongoza mashirika yetu wanapatikana kutokana name uweledi au ni uteuzi wa utashi wa anayeteua, bodi nazo zinazo simamia haya mashirika nayo ya wajumbe wenye uwezo au nao ni wakisiasa, ripoti za kitaalamu nazo zinatumika au maamuzi ni ya kisiasa. Washauri wenyewe ndio Msukuma, kibajaji, walioiba mitihaniJidu! Unaandika upuuzi gani ! Tunahotaji maboresho katika utendaji wa taasisi nyingi na hili limeonyesha matokeo chanya tangu kipindi cha awamu ya tatu! Ila kuna marekebisho machache yakifanyika tunaweza kukuza uchumi wetu!
Sisi wadau wa bandari tunakiri kuwa hatuna uwezo wa kumudu changamoto na ushindani uliopo wakati huu!
Kama ni kuendesha hizo bandari tuliendesha ila matokeo yake ni kipato kidogo huku mashirika mengi yakiendelea kuendeshwa kwa hasara!
Sasa kwa nini serikali isiachie wawekezaji wengine wenye uwezo ili tuweze kupata faida!
Au raha yako wewe ni kuendelea kundesha hizo taasisi kwa hasara!????
Msikilize bosi wa TPA.Kujamba ujambe wewe halafu umsingizie jirani!
Haaa ndo ujui Bi mkubwq ni kiazi mbatata kichwani hamna kitu halafu leo alikuwa amepanic vile ,anaamini yeye ni kichwa na anafanya vitu vya maana ,mtu asiejifunza kwa makosa ya wenzie hujufunza kwa makosa yakeAnatuletea kampuni ya serikali ya Dubai, halafu anatuambia serikali haifanyi biashara! Duh!
Katika hili, mwachieni mama Samia ajisahihishe.Haaa ndo ujui Bi mkubwq ni kiazi mbatata kichwani hamna kitu halafu leo alikuwa amepanic vile ,anaamini yeye ni kichwa na anafanya vitu vya maana ,mtu asiejifunza kwa makosa ya wenzie hujufunza kwa makosa yake
Lakini acha chuki na kufanya personal attack. Jadili hoja.Pengine kama una akili za kuku.
Kuku anaweza kuharisha na akageukia pale pale kudonoa chakula.
Hili la ubinafsishaji bandari halina uzanzibari wala chuki.Lakini acha chuki na kufanya personal attack. Jadili hoja.