masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 18,207
- 13,839
Kwa jina la mababu zetu kina Kinjeketile, hilo haliwezekani.Hajali wala nini. Keshakunja mtonyo wako na masanduku kadhaa ya abayah mixer oud anakuchoreni tu.
Akija kuongea atatutukana wote na vijembe juu mbaya zaidi hakuna atakachofanywa.
Tuombe Mungu asitokee toto moja la mfalme litake watu weusi liwaweke kama mifugo (pet). Tutasombwa kama kina Kunta Kinte tukawe wanasesere wa watoto wa kifalme huko.
Jidu! Unaandika upuuzi gani ! Tunahotaji maboresho katika utendaji wa taasisi nyingi na hili limeonyesha matokeo chanya tangu kipindi cha awamu ya tatu! Ila kuna marekebisho machache yakifanyika tunaweza kukuza uchumi wetu!Huu ni ushauri wa bure kwa mpendwa wetu Mama Samia.Siyo siri hili suala la ubinafsishwaji Bandari zote za nchi hii iitwayo Tanzania, lina ukakasi wa kutisha.
Huu upinzani mkubwa kwa ubinafsishaji, unatoka kwa wananchi, wenye nchi hii.
Suala la muhimu si kutazama tulipoanguka, bali KULISAHIHISHA, malengo yakiwa wazi kwa wenye nchi, watanzania.
Wasalaam aleikhum.
Acha ibinafsishwe ili pawe na maboresho. Rushwa na urasimu vimezidi.Kwa jina la mababu zetu kina Kinjeketile, hilo haliwezekani.
Jipeni moyo tu. Muonja damu ya mtu haachi.Kwa jina la mababu zetu kina Kinjeketile, hilo haliwezekani.
Chuki dhidi wazanzibar kazini.Jipeni moyo tu. Muonja damu ya mtu haachi.
Tunarudi zama za ukoloni tena. Muarabu anakuja na hasira, alifukuzwa Zanzibar safari hii wanapewa Tanganyika na mjukuu wao.
Pamoja na katiba mbovu, pamoja na vyombo vya dola lakini huu mswada ukipitishwa uchaguzi wa 2025 atashindwa vibaya sana na akijaribu kuiba zitatokea vurugu kubwa. Huu ujinga ukipita uchaguzi wa 2025 utakuwa ni ushindani kati watu weusi na waarabu. Agenda kubwa inatakiwa iwe ni Magufuli aliuawa ili waarabu wapewe nchi. Agenda iwe ni kutokubali kuwa tena watumwa. Wazalendo weusi tunaikomboa nchi yetu!Huu ni ushauri wa bure kwa mpendwa wetu Mama Samia.Siyo siri hili suala la ubinafsishwaji Bandari zote za nchi hii iitwayo Tanzania, lina ukakasi wa kutisha.
Huu upinzani mkubwa kwa ubinafsishaji, unatoka kwa wananchi, wenye nchi hii.
Suala la muhimu si kutazama tulipoanguka, bali KULISAHIHISHA, malengo yakiwa wazi kwa wenye nchi, watanzania.
Wasalaam aleikhum.
Hawana amani tenaChuki dhidi wazanzibar kazini.
Kimsingi nchi hii ni Tanganyika, na ni ya Watanganika.Jidu! Unaandika upuuzi gani ! Tunahotaji maboresho katika utendaji wa taasisi nyingi na hili limeonyesha matokeo chanya tangu kipindi cha awamu ya tatu! Ila kuna marekebisho machache yakifanyika tunaweza kukuza uchumi wetu!
Sisi wadau wa bandari tunakiri kuwa hatuna uwezo wa kumudu changamoto na ushindani uliopo wakati huu!
Kama ni kuendesha hizo bandari tuliendesha ila matokeo yake ni kipato kidogo huku mashirika mengi yakiendelea kuendeshwa kwa hasara!
Sasa kwa nini serikali isiachie wawekezaji wengine wenye uwezo ili tuweze kupata faida!
Au raha yako wewe ni kuendelea kundesha hizo taasisi kwa hasara!????
Kwani kuna siku tulimiliki bandari wenyewe au umemsahau yule tikisi pale bandarini cha msingi tuangalie wamekuja kwa njia gani kama ajira zitaongezeka basi itakua jambo la manufaa ila asije akawa kama huyu tikisiHuu ni ushauri wa bure kwa mpendwa wetu Mama Samia.Siyo siri hili suala la ubinafsishwaji Bandari zote za nchi hii iitwayo Tanzania, lina ukakasi wa kutisha.
Huu upinzani mkubwa kwa ubinafsishaji, unatoka kwa wananchi, wenye nchi hii.
Suala la muhimu si kutazama tulipoanguka, bali KULISAHIHISHA, malengo yakiwa wazi kwa wenye nchi, watanzania.
Wasalaam aleikhum.
Masahihisho yafanyike lakini piga ua galagaza lazima ibinafsishwe ili kuondoa jam ya makontena.
Kina Baba Levo na Mwijaku ndio watakuwa wanasesere wa kwanza maana wanapenda mteremko.Hajali wala nini. Keshakunja mtonyo wako na masanduku kadhaa ya abayah mixer oud anakuchoreni tu.
Akija kuongea atatutukana wote na vijembe juu mbaya zaidi hakuna atakachofanywa.
Tuombe Mungu asitokee toto moja la mfalme litake watu weusi liwaweke kama mifugo (pet). Tutasombwa kama kina Kunta Kinte tukawe wanasesere wa watoto wa kifalme huko.
Well scripted! Na huu ndio ukweli usiopingika wala hakuna haja ya kuficha kitu chochote!Masahihisho yafanyike lakini piga ua galagaza lazima ibinafsishwe ili kuondoa jam ya makontena.
Acha uoga mkuu. Tunakosa pesa kwa kuwa tunakimbiwa na nchi ambazo hupenda ufanisi ambao ss hatuna.Sio lazima ibinafsishwe, ni lazima ifanyiwe ukarabati na mabadiliko hayo ambayo hao wanaouziwa watayafanya, ukarabati na hayo mabadiliko ili kuongeza tija yanaweza kufanywa na contractors yeyote mwenye uwezo lakini bandari ibaki chini ya uendeshwaji wa umma, ni hatari kubinafsisha bandari kwa kampuni ya umma ya nchi nyingine.
Tatizo kimsingi siyo hilo.Acha ibinafsishwe ili pawe na maboresho. Rushwa na urasimu vimezidi.
Kwani umeambiwa wanaichukua hiyo Bahari!!!Kimsingi nchi hii ni Tanganyika, na ni ya Watanganika.
Boresha uwezavyo lakini baada ya kuboresha na bandari ikawa si mali ya watanganyika kisiasa na kujikuta wao ni watazamaji tu, hapo lazima matatizo.
Huu ni ushauri wa bure kwa mpendwa wetu Mama Samia.Siyo siri hili suala la ubinafsishwaji Bandari zote za nchi hii iitwayo Tanzania, lina ukakasi wa kutisha.
Huu upinzani mkubwa kwa ubinafsishaji, unatoka kwa wananchi, wenye nchi hii.
Suala la muhimu si kutazama tulipoanguka, bali KULISAHIHISHA, malengo yakiwa wazi kwa wenye nchi, watanzania.
Wasalaam aleikhum.
Kuna ukakasi gani? Bandari ipi inayoendeshwa kwa ufasaha hapa Tanzania? Unaweza kuta hata bandarini hujawahi fika alafu unajiandikia tu shwain kabisaHuu ni ushauri wa bure kwa mpendwa wetu Mama Samia.Siyo siri hili suala la ubinafsishwaji Bandari zote za nchi hii iitwayo Tanzania, lina ukakasi wa kutisha.
Huu upinzani mkubwa kwa ubinafsishaji, unatoka kwa wananchi, wenye nchi hii.
Suala la muhimu si kutazama tulipoanguka, bali KULISAHIHISHA, malengo yakiwa wazi kwa wenye nchi, watanzania.
Wasalaam aleikhum.
Unazungumziaje ubinafsishaji wa NMB? Huoni ufanisi wake?
- Mh. MKAPA alikaripiwa na kila mtu: viongozi wa dini na waumini anaendelea kukaza shingo. Watu wazima wanakumbuka kulikuwa na vilio rasmi nchi nzima.
- Serikali yake ilitoa utetezi dhidi ya UBINASFSISHAJI kama unaotolewa wakati huu.
- Kila mtu mwenye akili anajua matokeo ya vile vilio. Serikali ina jeshi, itashinda ila haitofanikisha inachokinadi.
- Ile dhambi aliijutia mpaka akaandika na kwenye kitabu kama moja ya mambo aliyovurunda wakati wa utawala wake.
Huu ni ushauri wa bure kwa mpendwa wetu Mama Samia.Siyo siri hili suala la ubinafsishwaji Bandari zote za nchi hii iitwayo Tanzania, lina ukakasi wa kutisha.
Huu upinzani mkubwa kwa ubinafsishaji, unatoka kwa wananchi, wenye nchi hii.
Suala la muhimu si kutazama tulipoanguka, bali KULISAHIHISHA, malengo yakiwa wazi kwa wenye nchi, watanzania.
Wasalaam aleikhum.
Acha uoga mkuu. Tunakosa pesa kwa kuwa tunakimbiwa na nchi ambazo hupenda ufanisi ambao ss hatuna.
Wazee wa Dubai wakamilishe dili fasta na serikali izingatie maslahi ya umma kisha wakabidhiwe mzigo.